Ads: info@gazetini.co.tz |
23.7 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Maajabu ya ‘hat-trick’ za Kombe la Dunia

NYON, Uswis HIVI unafahamu kuwa zimeshafungwa 'hat-trick' 54 katika historia ya michuano ya soka ya Kombe la Dunia kwa wanaume tangu ilipoanza mwaka 1930? Chukua hiyo....

Usiyoyajua kuhusu ugonjwa wa mkwe wa Rais Trump

WASHINGTON DC, Marekani ALIYEWAHI kuwa mke wa mtoto wa Rais Donald Trump aitwaye Donald Trump Jr, Vanessa, amegundulika kuwa na ugonjwa wa saratani ya matiti. Vanessa...

Vita vya Iran vinavyochochea uharamia wa meli Somalia

MOGADISHU, Somalia MAHARAMIA wanaoteka meli nchini Somalia wameripotiwa kunufaika na mgogoro unaoendelea Mashariki ya Kati ukizihusisha Marekani na Israel kwa upande mmoja na na Iran...

Nani kumrithi Guterres kiti cha Katibu Mkuu UN?

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres, atamaliza muda wake Desemba, 2026, na tayari mbio za kusaka mrithi wake...

Casillas hataki hata kumsikia huyo Mourinho

MADRID, Hispania KIPA wa zamani wa Real Madrid, Iker Casillas, ameibuka na majina ya makocha 10, ambao amesema wanastahili kuajiriwa na klabu hiyo kuliko kumpa...

Nyota waliogoma kuingia anga za Pep Guardiola

MANCHESTER, Uingereza PEP Guardiola anaondoka Manchester City, klabu aliyoinoa kwa mafanikio makubwa tangu ilipomuajiri mwaka 2016 akitokea Bayern Munich ya Bundesliga. Kwa upande mwingine, miaka yake...

WHO: Unywaji wa pombe chanzo cha vifo milioni 2 kila mwaka

NEW YORK, Marekani SHIRIKA la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limeeleza katika ripoti yake ya hivi karibuni, kwamba unywaji wa pombe husababisha vifo milioni...

Ubabe wa Oleksandr Usyk: Miaka 16 bila kupigwa ulingoni

KYIV, Ukraine RAIA huyo wa Ukraine kwa sasa ni tishio kwenye tasnia ya ngumi za uzito wa juu duniani na atapanda ulingoni kesho Mei 23,...

Usiyoyajua kuhusu Siku ya Fistula itokanayo na uzazi

Na mwandishi wetu, Gazetini MEI 23, kama ambavyo hufanyika kila mwaka, Dunia inaadhimisha Siku ya Fistula itokanayo na uzazi, ambayo husababisha kwa asilimia 90 visa...

WB: Vita vya Iran vinayaachia madeni Afrika

NEW YORK, Marekani BENKI ya Dunia (WB) imeeleza kuwa vita vya Iran vimezifanya nchi nyingi za Afrika kukopa fedha ili kukabiliana na dharura ya kiuchumi. Vita...

Mastaa wa soka ‘waliotoka’ na mabinti wa makocha wao

LONDON, Uingereza UKARIBU wa wachezaji wa soka na makocha wao hauishii uwanjani tu, bali wakati mwingine huenda mbali zaidi na kufika hadi ngazi ya familia. Lakini,...

Vilio, simanzi vyatawala msibani kwa mmiliki wa kiwanda cha XIL LI

Na mwandishi wetu, Gazetini VILIO na simanzi vilitawala katika eneo la kiwanda cha kuchakata chupa za plastiki cha XIL LI kilichopo Mabibo Sokoni, Wilaya ya...