27 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Anguko la Leicester City kutoka ubingwa EPL hadi ‘mchangani’

LONDON, Uingereza MIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliushangaza ulimwengu wa soka walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL). Walifanya hivyo msimu wa 2015-16. Kwa sasa,...

Marekani, Israel zamuua Ali Khamenei

TEHRAN, Iran NI rasmi sasa, kwamba kiongozi wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameuawa na vikosi vya Marekani vinavyoshirikiana na Israel. Marekani na washirika wake, Israel, wameanzisha...

Mtoto wa Beckham ‘atatoboa’ kimuziki?

MIAMI, Marekani ANAITWA Cruz Beckham. Ni mtoto wa mwisho wa kiume wa staa wa soka, David Beckham. Kwake, soka halijawa njia sahihi, na badala yake...

Man City wapishana na Mbappe

MADRID, Hispania MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe, huenda asicheze dhidi ya Manchester City katika mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu hizo zitakwaana...

Mambo 5 usiyoyajua kuhusu Kardinali Pengo

Na Malisa GJ Mosi, jina lake halisi ni nani? Kuna watu wanadhani Mwadhama ni jina lake? Wengine wanadhani Polycarp ni cheo chake. Jina lake ni...

Maajabu ya kitabu cha ‘Istilahi za Uhalifu na Usalama’

Na Christopher Cyrillo FIKIRIA wewe ni mtumishi wa taasisi au mamlaka fulani ya kisiasa, na zaidi ya hapo wewe ni shushushu wa kuaminiwa na taasisi...

Kanisa Katoliki Tanzania na historia ya majina ya maaskofu wake

Na Malisa GJ KATIKA historia ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania kumekuwa na Maaskofu Wakuu watatu (Archbishops) wenye jina Rugambwa. Wawili kati yao wakiwa Makardinali na...

Aucho asimamishwa Singida Bs kwa utovu wa nidhamu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KIUNGO Khalid Aucho amesimamishwa kwa miezi mitatu na klabu yake ya Singida Black Stars kwa kosa la utovu wa nidhamu na...

Yanga v Simba; ‘Kariakoo Derby’ ya maswali mengi ndani ya uwanja

Na mwandishi wetu, Gazetini YANGA itakuwa mwenyeji wa mchezo kuwakaribisha wapinzani wao, Simba, katika dakika 90 za mtoto, ukiwa ni mwendelezo wa Ligi Kuu Bara...

Sekta ya anga Tanzania yavutia mashirika mapya ya ndege, abiria waongezeka

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imeendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji katika sekta ya usafiri wa anga kwa kuimarisha miundombinu ya viwanja vya ndege, hatua iliyochangia...

Upatikanaji wa umeme vijijini wachochea uchumi, RC Malima aipongeza REA

Na mwandishi wetu, Morogoro MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, ameipongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini na...

Dk. Mataragio: PURA ongezeni kasi ya utafiti kuvutia wawekezaji

Na mwandishi wetu, Gazetini Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dk. James Mataragio, ameielekeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa...