Ads: info@gazetini.co.tz |
21.3 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

‘Usikimbilie kuoa kama huna pesa’

LAGOS, Nigeria HUO ni ushauri wa staa wa mtandao wa TikTok nchini Nigeria, Amadou Elizabeth Aminata, maarufu kwa jina la Jarvis. Jarvis amekuja na ujumbe huo kwa...

Davido afichua kuhusu watoto wake

LAGOS, Nigeria  STAA wa Afrobeats, David Adeleke, maarufu Davido, amesema watoto wake wamemuuliza kwanini hawakupatikana kwa mama mmoja. Mwanamuziki huyo ana watoto sita katika mahusiano yake na...

Video ya Diamond yazua gumzo hatima ya Zuchu

Na mwandishi wetu, Gazetini SIKU chache tu baada ya taarifa za Diamond Platnumz kuachana na Zuchu, imeibuka video ya bosi huyo wa Lebo ya Wasafi...

Mwandishi mkongwe zaidi Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani AKIWA na umri wa miaka 91 kwa sasa, Enrique Macaya Marquez ni miongoni mwa waandishi wa habari walioko Marekani wakisubiri kuripoti mechi ya...

England ya makocha 15 ‘haijatoboa’ Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani  LICHA ya matumaini makubwa waliyokuwa nayo, mashabiki wa timu ya soka ya Taifa ya England wamelikosa tena taji la fainali za Kombe la...

Iran inatishia au italipiza kisasi kifo cha Khamenei?

TEHRAN, Iran TANGU Iran ilipomzika Ayatollah Ali Khamenei siku chache zilizopita, mamlaka za nchi hiyo zimeahidi kulipiza kisasi kwa wahusika wa mauaji ya kiongozi wao huyo. Mtoto...

Argentina v Hispania: Messi dhidi ya kivuli cha Yamal

MIAMI, Marekani JUMAPILI ya wiki hii, Julai 19, 2026, nyasi za Uwanja wa MetLife nchini Marekani zitawaka moto kwa mchezo wa fainali ya msimu huu...

Mkeka wa ratiba Ligi Kuu ya England 2026-27

LONDON, Uingereza RATIBA ya Ligi Kuu ya England (EPL) kwa msimu ujao wa 2026-27 iko hadharani. Je, lini mechi zitaanza na nani kufungua pazia? AGOSTI 21,...

Waziri aagiza uchunguzi vurugu za uchaguzi

NAIROBI, Kenya WAZIRI wa Usalama wa Ndani wa Kenya, Kipchumba Murkomen, ameagiza vyombo vya usalama nchini humo kufanya uchunguzi wa kina kuhusu madai ya vurugu...

Polisi Kilimanjaro wakamata watuhumiwa 188, mmoja ahukumiwa kifo

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 188 wa makosa mbalimbali ya jinai, huku mmoja akihukumiwa kunyongwa...

Marekani yashambulia tena meli ya mafuta

TEHRAN, Iran Mvutano kati ya Marekani na Iran umechukua sura mpya baada ya jeshi la Marekani kushambulia meli ya mafuta katika Ghuba ya Uajemi, huku...

Mtanzania anyakua tuzo ya uandishi bora wa filamu ya malaria Marekani

Na mwandishi wetu, Gazetini MTANZANIA, Gloria Majule, ameendelea kuiwakilisha vyema Tanzania katika jukwaa la kimataifa la sanaa baada ya kuibuka mshindi wa tuzo ya uandishi...