Ads: info@gazetini.co.tz |
26.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Marekani yavunja rekodi ya Deni la Taifa

WASHINGTON DC, Marekani DENI la Taifa la Marekani limefikia Dola trilioni 40, kiasi kikubwa zaidi cha fedha katika historia ya nchi hiyo, huku lawama zikielezwa...

Lewandowski kurudi Barcelona

CATALUNYA, Hispania IMEFICHUKA kuwa uongozi wa klabu ya Barcelona unaangalia uwezekano wa kumrejesha kundini mshambuliaji wake tishio, Robert Lewandowski. Lewandowksi aliyeondoka Barcelona majira haya ya kiangazi,...

Uratibu wa maafa sasa kidijitali zaidi, Serikali yawaita wadau

Na Hassan Mwasha, Gazetini AGOSTI 19 ya kila mwaka, Tanzania, kama zilivyo nchi zingine duniani, huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Misaada ya Kibinadamu. Kwa kuyataja...

PSSSF yawaandaa waandishi wa habari kuijenga jamii

Na mwandishi wetu, Gazetini MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kuhusu masuala ya hifadhi...

Wadau watakiwa kuwawezesha wanawake wajasiriamali Serengeti

Na Malima Lubasha, Gazetini WADAU mbalimbali wa maendeleo pamoja na taasisi wilayani Serengeti, mkoani Mara, wametakiwa kuwawezesha wanawake wajasiriamali wanaofanya biashara katika Soko Kuu la...

DATA CHECK: Tangazo la “Uajiri TANAPA 2026” ni la uongo

Na mwandishi wetu, Gazetini DAI: Tangazo linalosambaa mitandaoni likiwaalika wananchi kuomba ajira TANAPA mwaka 2026 kupitia kiunganishi kinachodaiwa kuwa cha uajiri wa Shirika ni tangazo...

Rais Trump na Baraza la Mawaziri la mabilionea

WASHINGTON DC, Marekani VIGOGO wote 57 walioteuliwa na Rais Donald Trump katika awamu yake ya pili madarakani ni matajiri wa kutupwa. Kila mmoja ana utajiri...

Rooney aitaka United kumsajili staa wa Arsenal

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Manchester United, Wayne Rooney, ameishauri klabu hiyo kumsajili 'fasta' nyota wa Arsenal mwenye umri wa miaka 19, Myles Lewis-Skelly. Rooney anaamini ujio...

Barca yampa Rodri jezi namba 16

CATALUNYA, Hispania KIUNGO wa kimataifa wa Hispania aliyejiunga na Barcelona akitokea Manchester City, Rodri, amepewa jezi namba 16 katika kikosi cha Wacatalunya hao. Aliyefichua hayo si...

Waziri Mkuu wa Uingereza: Tutaendelea kuiunga mkono Ukraine

LONDON, Uingereza WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Andy Burnham, amesema Serikali yake inaiunga mkono Ukraine kwa asilimia 100 na itaendelea kufanya hivyo. Kauli yake hiyo inakuja baada...

Wananchi wanasemaje kuhusu JNHPP?

Na mwandishi wetu, Gazetini NI safari ya miaka takribani saba, ikianza kama ndoto iliyobeba maono makubwa ya kuimarisha hali ya upatikaji wa huduma ya uhakika...

Adebayor aibuka kumtetea Salah

LONDON, Uingereza BAADA ya kuondoka Liverpool mwishoni mwa msimu uliopita (2025-26), Mohamed Salah amesaini mkataba wa miaka miwili na Trabzonspor ya Ligi Kuu ya Uturuki. Uamuzi...