Ads: info@gazetini.co.tz |
27.9 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Steve Barker: Hao Mtibwa Sugar waje tu

Na mwandishi wetu, Gazetini KOCHA wa Simba, Steve Barker, amesema vijana wake wamejiandaa kimwili na kisaikolojia kukabiliana na Mtibwa Sugar. Simba wako mkoani Morogoro kwa ajili...

Kwanini Wapalestina wamechagua kuishangilia Hispania?

JERUSALEM, Palestina KATIKATI ya maisha magumu wanayopitia raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, burudani ya fainali za Kombe la Dunia imepenya na kupata nafasi...

Mabao mawili ya Ronaldo yaweka rekodi tatu

HOUSTON, Marekani AMEKASIRIKA! Baada ya kupondwa kwa kiwango alichokionesha katika mchezo wa kwanza dhidi ya DRC, straika wa timu ya soka ya Taifa ya Ureno,...

Deschamps afiwa na mama yake, aondoka Kombe la Dunia

NEW YORK, Marekani KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Didier Deschamps, amerejea jijini Paris baada ya taarifa za kifo cha mama yake...

Croatia njiapanda, Modric afikisha mechi 200

TORONTO, Canada TIMU ya soka ya Taifa ya Croatia sasa inahitaji ushindi tu mbele ya Ghana ili kufuzu hatua inayofuata (32 Bora) ya msimu huu...

Arsenal, United vita nzito kisa kiungo

LONDON, Uingereza KLABU za Arsenal na Manchester United zimeingia kwenye vita ya kuiwania saini ya kiungo wa Bournemouth, Alex Scott, ambaye ana thamani ya Pauni...

Familia ya Rais Lungu yashinda kesi

LUSAKA, Zambia UKIWA ni mwaka mmoja tu tangu kifo cha Rais Edgar Lungu, familia yake imeshinda kesi baada ya Mahakama kuamuru ipewe mwili kwa ajili...

Mwanaharakati ahukumiwa kifungo cha maisha gerezani

ISLAMABAD, Pakistan MWANAHARAKATI wa haki za binadamu nchini Pakistan, Mahrang Baloch, amehukumiwa kifungo cha maisha. Baloch ameangukiwa na hukumu hiyo katika mashitaka ya ugaidi na kusababisha...

Neymar Jr ataja zitakazokutana fainali

TORONTO, Canada SUPASTAA wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Neymar, ametabiri watakutana na Hispania katika mchezo wa fainali msimu huu wa Kombe la...

Kuziona Yanga, Azam buku tano tu Zanzibar

Na mwandishi wetu, Gazetini YANGA imetangaza viingilio vya uwanjani katika mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam, huku bei ya chini ikiwa Sh...

England v Ghana: Refa wa kadi nyingi kusimamia shoo

NEW YORK, Marekani UKIWA ni mchezo wa Kundi L, timu ya soka ya Taifa ya England itaivaa Ghana leo Juni 23, 2026 kwenye Uwanja wa...

Duh! Huyu ni Lionel Messi au ‘AI’?

NEW YORK, Marekani LIONEL Messi ameendelea kuthibitisha upekee wake katika ulimwengu wa mchezo wa kandanda, licha ya umri mkubwa wa miaka 38 alionao. Katika mechi yao...