Na mwandishi wetu, Gazetini
SUALA la kupata nafasi ya ajira baada tu ya kumaliza masomo limekuwa 'pasua kichwa' kwa wahitimu wengi wa vyuo vikuu. Si...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KWA wapenzi wa mitandao ya kijamii, hasa 'walevi' wa habari za burudani, Chief Godlove si jina geni masikioni na machoni mwao.
Ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
DUNIA inakwenda kasi. Maendeleo ya sayansi na teknolojia yanaibua gunduzi zinazorahisha na kuleta ufanisi wa shughuli mbalimbali.
Kwa sasa, fani ya udaktari...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus Sangu, amezindua kampeni ya mafunzo kwa wajasiriamali wadogo ambayo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NDIYE aliyefunga mabao yote katika ushindi wa 2-0 walioupata Yanga 'Timu ya Wananchi' katika mchezo uliopita dhidi ya Cosmo Politan.
Ulikuwa ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MATAIFA mawili yanayopeana upinzani mkali katika nyanja ya kiuchumi, yakitajwa kuongoza duniani kwa upande wa maendeleo ya sayansi na teknolojia.
Kupitia utafiti...
Na Mwandishi Wetu,Gazetini
AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Samia Suluhu Hassan, leo Februari 24, 2026, amezindua jengo la Makao Makuu...
MILAN, Italia
MWANDISHI wa habari raia wa Italia, Danika Mason, ameomba radhi baada ya video iliyosambaa mitandaoni kumuonesha akiwa amelewa pombe.
Mason ni miongoni mwa waandishi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
Wito umetolewa kwa makampuni makubwa ya uchimbaji madini nchini kuwekeza katika kuwawezesha wachimbaji wadogo katika nyanja mbalimbali ikiwemo teknolojia za kisasa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KWA miaka mingi, matumizi ya vilevi yamekuwa yakitafsiriwa kuwa ni mtindo wa kisasa wa maisha ya vijana wengi duniani kote.
Licha ya...