Ads: info@gazetini.co.tz |
26.7 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Marekani, Iran: Dunia bado gizani bei ya mafuta

WASHINGTON DC, Marekani MAREKANI imefanya shambulizi la usiku kwa mara ya tatu huko Iran. Katika shambulizi la mwisho, watu wawili wamefariki huko Kusini-Magharibi mwa Iran,...

Porro: Kufuzu fainali ni ndoto iliyotimia

NEW YORK, Marekani BEKI wa Hispania na mchezaji bora wa mechi, Pedro Porro, amesema kufuzu kwa timu yake fainali ni ndoto aliyokuwa akiisubiri kwa muda...

WHO yaanza majaribio ya dawa ya kuzuia maambukizi ya ebola

DRC, Congo SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuanza kwa majaribio ya kwanza ya kitabibu ya dawa inayolenga kuzuia maambukizi ya Ebola kwa watu waliokaribiana...

Hii ndiyo sababu ya ingia, toka ya wanawake kwa Diamond?

Na mwandishi wetu, Gazetini HIVI karibuni, mwanamuziki nyota kutoka Wasafi Classic Baby (WCB), Zuchu, alifichua kuachana na supastaa wa Bongo Fleva na bosi wa Lebo...

Joshua atapona kwa huyu mwamba?

LOS ANGELES, Marekani BONDIA wa ngumi za uzito wa juu ambaye pia ni mshindi wa medali ya dhahabu katika michuano ya Olimpiki, Anthony Joshua, atapanda...

Andrey Santos; Jembe jipya ndani ya Old Trafford

MANCHESTER, Uingereza USAJILI wake umekamilika baada ya Manchester United kuipa Chelsea kitita cha Pauni milioni 48. Ni kiungo wa Kibrazil, Andrey Santos. Man United imeachana na...

Hii ndiyo Siku ya Nelson Mandela

Na mwandishi wetu, Gazetini JULAI 18 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya kumbukizi ya mchango mkubwa alioutoa Nelson Mandela katika ulimwengu wa siasa,...

Steve Barker kuendeleza alipoishia?

Na mwandishi wetu, Gazetini NDANI ya muda wake mfupi ndani ya soka la Tanzania, Steve Barker 'amesepa na kijiji', akithibitisha kuwa ni kocha wa daraja...

Yanga, Simba katikati ya Mamelodi inayosaka rekodi CAF

Na mwandishi wetu, Gazetini SHIRIKISHO la Soka barani Afrika (CAF) hivi karibuni lilianika kalenda ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa msimu ujao wa 2026-27, ukiwa...

Bangi yamzimisha mbwa, azinduka siku ya pili

LONDON, Uingereza TIMU ya waokoaji wa Mlima Ben Nevis imelazimika kumuokoa mbwa aliyepoteza fahamu baada ya kutumia kilevi aina ya bangi. Tukio hilo lilitokea wikiendi iliyopita,...

Japan silaha ya Urusi dhidi ya Ukraine?

NEW YORK, Marekani URUSI imekuwa ikiitegemea Japan katika teknolojia na udukuzi wakati huu wa vita vyake na Ukraine, kwa mujibu wa ripoti ya Gazeti la...

Majanga ya moto tishio maeneo ya starehe

BANGKOK, Thailand TUKIO la baa kuwaka moto na kuua watu 27, sambamba na kujeruhi wengine kadhaa, mjini Bangkok, Thailand, limeteka vichwa vya habari duniani. Wakati huo...