Ads: info@gazetini.co.tz |
29.4 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Historia inavyomuuliza maswali Mchungaji Msigwa

Na Hassan Mwasha, Gazetini KUONDOKA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) haikutosha kwa Mchungaji Peter Msigwa. Akahamia kwa washindani wao wakubwa katika siasa za Tanzania,...

Nje ya soka, hii hapa ‘pisi kali’ ya Mikel Arteta

LONDON, Uingereza ACHANA na ndani ya uwanja, ambako tayari ameshaweka rekodi ya kuipa Arsenal taji la Ligi Kuu ya England (EPL) baada ya klabu hiyo...

Hivi ndivyo Chelsea walivyoteseka 2025-26

LONDON, Uingereza BLUES waliuingia msimu huu wakiwa na 'mzuka' baada ya kutwaa mataji makubwa mawili; Ligi ya Europa na Kombe la Dunia kwa ngazi ya...

David Raya alifanya mazoezi timu mbili tofauti ili kutimiza ndoto

LONDON, Uingereza AKIWA na umri wa miaka 16, bado David Raya hakuwa akifahamika katika ulimwengu wa soka. Alikuwa kipa asiye na nafasi ya kuanza hata...

Refa aliyetoswa Kombe la Dunia kuamua fainali ya Arsenal, PSG

LONDON, Uingereza WIKIENDI hii, Washika Bunduki wa London, Arsenal, na matajiri wa Paris, PSG, watavaana katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Vita hiyo...

Serengeti Boys v Senegal: Ni fainali ya aina gani AFCON?

Na mwandishi wetu, Gazetini TIMU ya soka ya Taifa ya U-17 ya Tanzania, Serengeti Boys, itashuka dimbani wikiendi hii, Juni 2, 2026, kumenyana na Senegal...

Baada ya kufukuzwa Kaizer, kocha Yanga aibukia huku

PRETORIA, Afrika Kusini ZIKIWA ni siku chache tu zimepita tangu kocha wa zamani wa Yanga, Cedric Kaze, afukuzwe Kaizer Chiefs, ameanza mazungumzo na Sekhukhune United...

Barca kumlipa Gordon mshahara wa bil. 21.4/-

CATALUNYA, Hispania WINGA wa kimataifa wa England, Anthony Gordon, amejiunga na Barcelona na mshahara wake ni euro milioni saba (zaidi ya Sh bil. 21.4 za...

Tume ya Taifa ya Mipango yaongoza mjadala wa Afrika kujitegemea kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TUME ya Taifa ya Mipango imeongoza mjadala wa wanazuoni na wadau mbalimbali kuhusu mustakabali wa maendeleo na kujitegemea kiuchumi kwa nchi...

Yametimia! Mourinho asaini miaka mitatu Madrid

MADRID, Hispania NI rasmi Real Madrid imemrejesha Jose Mourinho kuwa kocha wao mpya na Mreno huyo amesaini mkataba wa miaka mitatu Hata hivyo, 'Special One' mwenye...

Búlamu ya Sela Mulonda yazidi kupeta

Na Christopher Msekena, Gazetini MSANII wa muziki wa Injili anayeishi Ireland, Sela Mulonda, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa wimbo wake mpya ya Búlamu. Sela Mulonda mwenye...

Waislamu Serengeti watakiwa kudumisha umoja

Na Malima Lubasha, Serengeti WAUMINI wa dini ya Kiislamu wilayani Serengeti mkoani Mara wametakiwa kuendeleza ibada, kudumisha umoja, upendo na mshikamano ili kuendelea kulinda amani...