29.3 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Uingereza yatoa msimamo wake vita ya Iran

LONDON, Uingereza WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Sir Keir Starmer, amesema serikali yake itashirikiana kwa karibu na sekta zilizoathirika pamoja na washirika wa kimataifa ili kukabiliana...

CAF yaisogeza mbele WAFCON

CAIRO, Misri SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetangaza kuzisogeza mbele fainali za Mataifa Afrika kwa Wanawake (WAFCON). Awali, michuano hiyo ilitarajiwa kuanza Marchi 17, 2026, lakini...

Becker wa Liverpool awindwa Serie A

MILAN, Italia KLABU mbili za Ligi Kuu ya Italia (Serie A), Inter Milan na Juventus, zinapigana vikumbo kuiwania saini ya kipa wa Liverpool, Alisson Becker. Becker...

Rodrygo afunguka magumu anayopitia

MADRID, Hispania MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Rodrygo Goes, amepata majeraha ya goti yatakayomweka nje ya dimba kwa miezi isiyopungua 10. Rodrygo alipata majeraha hayo katika mechi dhidi...

Sakata la Bruno, Man United limekaaje?

MANCHESTER, Uingereza KIUNGO wa Manchester United raia wa Ureno, Bruno Fernandes, hajaeleweka juu ya hatima yake klabuni hapo. Ataondoka au atabaki? Haijajulikana. Bruno amekuwa mchezaji muhimu...

Biashara haramu ya dawa tiba za kulevya, kengele mpya ya tahadhari

Na mwandishi wetu, Gazetini KUKAMATWA kwa chupa 1,795 za dawa tiba zenye asili ya kulevya katika basi la abiria lililokuwa likitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

Israel: Kiongozi yeyote wa Iran atauawa

TEL AVIV, Israel SERIKALI ya Israel imeweka wazi kuwa itamshambulia kijeshi, ikiwamo kumuua, kiongozi yeyote atakayeingia madarakani kuiongoza Iran. Ujumbe huo wa tishio unalenga kiongozi atakayechukua...

Trump aitangazia uadui Hispania

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ametishia kusitisha uhusiano wa kibiashara na Hispania, huku Iran ikiwa chanzo cha msuguano huo. Trump ameeleza nia yake...

Kazier Chiefs yamrudia Nwabali

PRETORIA, Afrika Kusini VIGOGO wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini, Kaizer Chiefs, imeanza tena kuifuatilia saini ya mlinda mlango wa timu ya taifa ya Nigeria...

Rais Zimbabwe aachia wafungwa 4,000

HARARE, Zimbabwe RAIS wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, ametangaza msamaha wa wafungwa takribani 4,000, ikiwa ni hatua ya kupunguza msongamano magerezani. Hatua hiyo ni utekelezaji wa kile...

FCT yawajengea uwezo wafanyabiashara Lindi kuhusu sheria za ushindani na rufaa

Na mwandishi wetu, Gazetini ILI kuongeza uelewa wa sheria za ushindani na taratibu za rufaa katika shughuli za kibiashara, Fair Competition Tribunal (FCT) imewakutanisha wafanyabiashara...

Tsavorite; Hazina ya kijani na fahari ya Tanzania isiyojulikana

Na Wizara ya Madini, Dodoma KATIKA safu ya madini adimu ya vito yanayotambulika katika masoko ya kimataifa, Tsavorite ya Tanzania imeendelea kujijengea nafasi ya kipekee,...