CARACAS, Venezuela
MJI mkuu wa Venezuela, Caracas, mapema leo umetikiswa na matetemeko mawili makubwa ya ardhi yaliyotokea kwa tofauti ya sekunde chache, hali iliyozua taharuki...
LOS ANGELES, Marekani
JINA la Angelina Jolie haliwezi kuwa geni masikioni mwa wapenzi wa filamu duniani. Ni mwigizaji na prodyuza maarufu katika soko la Hollywood,...
LONDON, Uingereza
BAADA ya Keir Starmer kujiuzulu siku chache zilizopita, majina kadhaa ndani ya Chama tawala cha Labour yameanza kuhusishwa na kiti cha Waziri Mkuu...
MADRID, Hispania
REAL Madrid imemnasa nyota raia wa Sweden, Felicia Schroeder, na anakuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kusajiliwa kwa dau kubwa katika historia ya...
MEXICO CITY, Mexico
UHONDO wa mechi za fainali za Kombe la Dunia unaendelea huko Marekani, Mexico na Canada, huku yakijitokeza matukio kadhaa yaligusa hisia za...
NYON, Uswis
RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametangaza kuwa Donald Trump atakuwepo uwanjani siku ya fainali ya msimu huu wa...
PARIS, Ufaransa
MAMLAKA za afya nchini Ufaransa zimetangaza kisa cha kwanza cha maambukizi ya Ebola kwa daktari wake aliyetokea DRC.
Daktari hyo alikuwa DRC katika programu...
ISLAMABAD, Pakistan
POLISI nchini Pakistan wanamshikilia mwanaume mmoja kwa kosa la kumtesa mkewe, ikiwamo kumpiga na kumfungia kwenye chumba maalum, akifanya hivyo kwa miaka 12...
KYIV, Ukraine
SHAMBULIZI la anga la Ukraine limesababisa sehemu kubwa ya eneo linaloshikiliwa na Urusi nchini humo kukosa huduma ya umeme.
Kwa mujibu wa taarifa, shambulizi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
LICHA ya kuonekana ungekuwa mchezo mgumu, Azam FC imekubali kichapo kizito cha mabao 3-0 kutoka kwa Yanga, ambayo sasa imejishindilia kileleni...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
ACHANA na kuzihitaji pointi tatu. Yanga wataivaa Azam wakiwa na hasira baada ya matajiri hao wa Chamazi kuwafunga katika mchezo wa...