Ads: info@gazetini.co.tz |
22.1 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Israel kumpokea Kanye West?

LOS ANGELES, Marekani RAPA asiyeishiwa matukio, Kanye West, anaendelea na ziara yake ya muziki katika maeneo mbalimbali duniani na sasa amepanga kuibukia Israel. Kanye anaendeleza ziara...

Arsenal, Man City hakuna kulala ubingwa EPL

LONDON, Uingereza BAADA ya Manchester City kuinyuka Manchester City mabao 3-0, sasa presha imerudi kwa Arsenal iliyoko kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya England...

Ramaphosa alivyowekwa kwenye kona kashfa ya ‘Farmgate’

PRETORIA, Afrika Kusini KWA sasa, Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini anakabiliwa na tishio la kupigiwa kura ya kutokuwa na imani na rais. Amekuwa madarakani tangu...

Kwa England hii, Tuchel ‘ataua’ mtu Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu ziko njiani. Zitaanza Juni 11 na kufanyika kwa mwezi mmoja hadi Julai 19, 2026, huku...

Makubwa ya kufahamu kuelekea Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza NI takribani mwezi mmoja umebaki kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu. Michuano hiyo itaanza Juni 11, 2026,...

Museveni amekana kivuli chake akiwa amesahau au makusudi?

Na Hassan Mwasha, Gazetini RAIS Yoweri Museveni ameapishwa kuanza awamu yake ya saba baada ya ushindi katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Januari, 2026, akiandika historia ya...

Arsenal sasa washindwe wao tu ubingwa EPL

LONDON, Uingereza KABLA ya kuivaa West Ham katika mchezo uliopita, Arsenal ilitabiriwa ubingwa wa Ligi Kuu na aliyekuwa beki kisiki wa Liverpool, Jamie Carragher. "Endapo Arsenal...

Prisons ilivyoipa Simba bonge la rekodi

Na Hassan Mwasha, Gazetini KATIKA mchezo wa jana Mei 10, 2026, Simba iliibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Tanzania Prisons na kuweka rekodi...

Ubingwa La Liga … Jeuri ya Barca iko hapa

CATALUNYA, Hispania USHINDI wa mabao 2-0 mbele ya Real Madrid jana Mei 10, 2026 umeipa Barcelona ubingwa wa msimu huu wa Ligi Kuu ya Hispania...

Barcelona wafalme wa La Liga

BARCELONA, Hispania FC Barcelona wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa La Liga baada ya kuichapa Real Madrid mabao 2-0 katika mchezo mkubwa wa El Clásico uliochezwa kwenye...

Senegal yakaza kamba kwa wabunge wanaosusia bunge

DAKAL, Senegal BUNGE la Senegal limepitisha sheria mpya inayolenga kudhibiti tabia ya baadhi ya wabunge wanaosusia vikao vya Bunge bila sababu za msingi, hatua ambayo...

Trump: Hatujamalizana na Iran, tumewashinda

WASHINGTON, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump amesema hakuwahi kutangaza kumalizika kwa operesheni za kijeshi dhidi ya Iran bali alieleza kuwa Marekani imefanikiwa kuishinda Iran...