Na mwandishi wetu, Gazetini
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, ametangaza kustaafu siasa na utumishi wa umma,...
Douala, Cameroon
MMREMBO anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Injili nchini Cameroon, Relie M, amewakosha wapenzi wa muziki huo baada ya kuachia wimbo mpya wenye...
LAGOS, Nigeria
KIKONGWE mwenye umri wa miaka 101, bi. Esther Ogunmabo, anashikiliwa na polisini nchini Nigeria kwa kosa la kuuza dawa za kulevya aina ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA sehemu iliyopita, tuliona Israel, Uingereza na hata India zikisitisha mahusiano ya kidiplomasia na Uganda ya Idi Amin, huku Libya, Umoja...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TULIISHIA wapi? Katika sehemu ya tano ya makala haya, tuliishia tukio la Juni 25, 1976, ambapo Baraza la Ulinzi la Uganda...
Na mwandishi wetu, Gazetini
USAMBAZAJi wa umeme unaotekelezwa na Wakala wa Nishati nchini (REA) umeendelea kubadilisha maisha ya wananchi, wakiwamo wa vitongojini.
Mpango uliopo ni kuhakikisha...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SASA wananchi wa Dodoma watapata umeme unaozalishwa katika Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) kupitia njia ya usafirishaji wa nishati hiyo kutoka...
TEHRAN, Iran
JESHI la Mapinduzi ya Kiislam la Iran (IRGC) limejipanga kujibu mapigo kwa Marekani iliyotangaza 'kiama cha uchumi' kwa nchi hiyo ya Mashariki ya...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
KWA miaka mitatu mfululizo tangu aliposajiliwa mwaka 2023, amekuwa kwenye kiwango kile kile kutoka mechi moja hadi nyingine. Na inapotokea siku...
ISTANBUL, Uturuki
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Liverpool, Mohamed Salah, amefunga mabao mawili katika mechi yake ya kwanza aliyoingia 'first eleven' akiwa na timu yake mpya...