LOS ANGELES, Marekani
RAPA asiyeishiwa matukio, Kanye West, anaendelea na ziara yake ya muziki katika maeneo mbalimbali duniani na sasa amepanga kuibukia Israel.
Kanye anaendeleza ziara...
LONDON, Uingereza
BAADA ya Manchester City kuinyuka Manchester City mabao 3-0, sasa presha imerudi kwa Arsenal iliyoko kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya England...
PRETORIA, Afrika Kusini
KWA sasa, Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini anakabiliwa na tishio la kupigiwa kura ya kutokuwa na imani na rais. Amekuwa madarakani tangu...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
RAIS Yoweri Museveni ameapishwa kuanza awamu yake ya saba baada ya ushindi katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Januari, 2026, akiandika historia ya...
LONDON, Uingereza
KABLA ya kuivaa West Ham katika mchezo uliopita, Arsenal ilitabiriwa ubingwa wa Ligi Kuu na aliyekuwa beki kisiki wa Liverpool, Jamie Carragher.
"Endapo Arsenal...
BARCELONA, Hispania
FC Barcelona wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa La Liga baada ya kuichapa Real Madrid mabao 2-0 katika mchezo mkubwa wa El Clásico uliochezwa kwenye...
DAKAL, Senegal
BUNGE la Senegal limepitisha sheria mpya inayolenga kudhibiti tabia ya baadhi ya wabunge wanaosusia vikao vya Bunge bila sababu za msingi, hatua ambayo...
WASHINGTON, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump amesema hakuwahi kutangaza kumalizika kwa operesheni za kijeshi dhidi ya Iran bali alieleza kuwa Marekani imefanikiwa kuishinda Iran...