Ads: info@gazetini.co.tz |
28.5 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

DR Congo yafungua kesi dhidi ya Rwanda ICJ

DRC, Congo JAMHURI ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imefungua kesi dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) iliyoko The Hague, Uholanzi, ikiitaka...

Maisha, utata wa kifo, maziko ya Rais Edgar Lungu (2)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA toleo la kwanza lililopita, tuliona Lungu akikaimu urais baada ya Michael Sata kwenda nje ya nchi kwa ajili ya matibabu....

Kifo cha baba yake Minaj kilivyoipa mkwanja mrefu familia yake

LOS ANGELES, Marekani HATIMAYE mama mzazi wa rapa Nicki Minaj, Carol Maraj, amefuta kesi baada ya mtu aliyemuua mumewe kukubali kulipa fidia ya Dola za...

Amber Rose hapindui kwa marapa wa kiume

LOS ANGELES, Marekani UMARURU wake ulianza mwaka 2008 baada ya kutumika kama mrembo wa video katika ngoma ya rapa Young Jeezy iitwayo 'Put On'. Ni wimbo...

Mastaa hawa wameyakataa mataifa waliyozaliwa Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeshuhudia idadi kubwa zaidi kuwahi kutokea ya wachezaji walioyapa kisogo mataifa waliyozaliwa. Takwimu zinaonesha...

Israel, Marekani ‘zimechafua’ Uchaguzi Colombia?

BOGOTA, Colombia RAIS aliyeondoka madarakani nchini Colombia, Gustavo Petro, ameendelea kutokuyatambua matokeo yaliyompa ushindi Abelardo de la Espriella. De la Espriella (47), ameingia Ikulu akimpiku Ivan...

Klopp: Hakuna kama Ronaldo, Messi

MUNICH, Ujerumani KOCHA wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp, amewataja Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kuwa ndiyo wachezaji bora duniani kwa sasa. Klopp amesema siyo ishu...

Baba yake Haaland: Hakuna kama Guardiola

MANCHESTER, Uingereza BABA mzazi wa Erling Haaland, Alfie Haaland, amesema hakuna kocha wa kufikia daraja la Pep Guardiola. Alfie ametoa kauli hiyo baada ya Man City...

Huyu ndiye tapeli hatari zaidi sekta ya Afya

LOS ANGELES, Marekani HIVI karibuni, Shirika la Ujasusi la Marekani (FBI) lilimtia mkononi mfanyabiashara maarufu, Ibrahim Khaldoon Hilmi, aliyekuwa akikimbia kukamatwa kwa miaka mingi. Khaldoom Hilmi...

Yanayowakuta Wapalestina magereza ya Israel yanatisha

JERUSALEM, Israel WANAHARAKATI wa haki za binadamu duniani wanataka kuona Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) ikiichunguza Israel juu ya uhalifu dhidi ya...

Shearer apanga kikosi cha ubingwa England

LONDON, Uingereza MKONGWE Alan Shearer ametaja 'first eleven' inayoweza kuipa ubingwa wa msimu wa Kombe la Dunia timu ya soka ya Taifa ya England. England chini...

Uholanzi kuivaa Morocco, Brazil mikononi mwa Japan

MEXICO CITY, Mexico KATIKA hatua ya 32 Bora ya msimu huu wa Kombe la Dunia, timu ya soka ya Taifa ya Uholanzi itakuwa na kibarua...