26.6 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

David Luiz kwa sasa anakula maisha tu

LONDON, Uingereza UNAMKUMBUKA beki wa kati wa zamani wa Chelsea na timu ya taifa ya Brazil 'Selecao', David Luiz? Kwa sasa, nyota huyo ana umri...

Mwangwi wa sheria| Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-2

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale KIFUNGU cha 196 kinaweka msingi wa kosa la murder. Lakini kifungu cha 203 ndicho kinachoeleza kwa kina uwiano wa sababu...

Vita dhidi ya Iran kuangusha utalii Mashariki ya Kati?

TEHRAN, Iran VITA vinavyoendelea kati ya Marekani na Israel zilizoungana kuishambulia Iran vinatajwa kuathiri sekta ya utalii Mashariki mwa Kati. Kwa mujibu wa Shirika la Utalii...

Jesse Lingard na maisha yake mapya huko Brazil

RIO, Brazil MSHAMBULIAJI huyo wa zamani wa Manchester United na West Ham za England, Jesse Lingard, ametua Ligi Kuu ya Brazil baada ya kusajiliwa na...

Hizi ndizo ‘drone’ za bei rahisi inazotumia Iran kuzibomoa Marekani, Iran

TEHRAN, Iran WAKATI Marekani ilipoanza kuishambulia Iran wiki chache zilizopita, Donald Trump alijitamba kuwa wataangamiza viwanda vyote vya silaha nchini humo. Hata hivyo, Rais Trump alisahau...

Man City yamsogelea ‘mido’ Bayern

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City imeanza mazungumzo ya kumsajili kiungo wa Bayern Munich, Aleksandar Pavlovic. Nyota huyo ana umri wa miaka 21 na ameshacheza mechi...

Maisha, mikasa ya Bob Marley (2)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA chapisho lililopita, ambalo ni sehemu ya kwanza ya Simulizi ya maisha ya gwiji wa muziki wa Reggae, Bob Marley, tuliona...

Evra awavaa Scholes, Neville kisa Carrick

MANCHESTER, Uingereza BEKI wa zamani wa Manchester, Patrice Evra, amewatolea uvivu wakongwe wenzake wa timu hiyo, Paul Scholes, Gary Neville na Roy Keane, akiwaambia waache...

Ronaldo nje Kombe la Dunia?

RIYADH, Saudi Arabia MSHAMBULIAJI wa Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, atakuwa nje ya dimba kwa muda na hiyo imezua hofu kuwa huenda akazikosa fainali zijazo za Kombe...

‘Makomandoo’ wazitia hasara Simba na Yanga

Na Mwandishi Wetu,Gazetini KLABU za Simba na Yanga zimetozwa faini ta sh.5,000,000 kila moja kwa kosa la walinzi wake kugombana na kutoleana lugha za matusi...

Visual| Marais ving’ang’anizi wa madaraka duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini FEBRUARI 28, 2026 imeingia kwenye kumbukumbu baada ya kuwa ndiyo siku aliyouawa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ambaye aliuawa katika ...

Mwamuzi aliyekataa bao la Simba Zanzibar afungiwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MWAMUZI Kassim Mpanga Mpanga wa Dar es Salaam, amefungiwa miezi sita  kosa la kukataa bao halali la Simba wakati wa mchezo...