Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA sehemu ya pili ya makala haya,tuliona Lungu akipoteza kiti cha urais mbele ya mpinzani wake, Hichilema, ambaye awali alimshinda mara...
MEXICO CITY, Mexico
KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Scaloni, amethibitisha kuwa atampumzisha nahodha wake, Lionel Messi, katika mchezo wao dhidi...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
SIMBA ikiwa nyumbani katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamhuyo, imeondoka na pointi zote tatu baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi...
MEXICO CITY, Ujerumani
ZITAKUTANA katika mchezo wa hatua ya 32 Bora msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Mechi itachezwa keshokutwa (Juni 29, 2026).
Licha...
WASHINGTON DC, Marekani
JESHI la Marekani limeishambulia Iran, zikiwa ni saa chache tu tangu Rais Donald Trump aliposema wenzao hao wamekiuka makubaliano ya Juni 17,...
HOUSTON, Marekani
MECHI ya kukata na shoka ya kusaka tiketi ya kutinga 16 Bora itakayochezwa Juni 29, 2026 kwenye Uwanja wa NRG mjini Houston, Marekani.
Huo...
CALIFORNIA, Marekani
KWA miaka mingi, soka limekuwa likiwaunganisha si tu wachezaji, bali pia mastaa wa tasnia ya burudani, kama ilivyoshuhudiwa wakati wa ufunguzi wa msimu...
TORONTO, Canada
BOSNIA and Herzegovina ni miongoni mwa timu zilizokata tiketi ya kucheza hatua inayofuata ya 32 Bora ya fainali za Kombe la Dunia za...