Na Hassan Mwasha, Gazetini
SIMBA ikiwa nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, haipaswi kupoteza hata mchezo mmoja, huku ikiiombea dua mbaya Yanga...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
MSIMU wa Ligi Kuu Bara unaelekea ukingoni, huku Yanga na Azam zikiwa ndizo timu pekee ambazo hadi sasa hazijafungwa katika mechi...
ISTANBUL, Uturuki
MKONGWE wa Inter Milan, Obinna Nsofor, amemshauri Mnigeria mwenzake, Victor Osimhen, kuondoka Galatasaray, akisema ameshafanya makubwa Ligi Kuu ya Uturuki (Super Lig).
Osimhen ameshinda...
Na Hassan Mwasha,Gazetini
KWA mashabiki wa soka wa Tanzania, macho na masikio yao yameelekezwa katika vita mbili kubwa. Ubingwa wa Ligi Kuu Bara na ile...
TEHRAN, Iran
JESHI la Iran (IRGC) limetangaza kuruhusu meli zaidi ya 30 zilizobeba mafuta kupita katika Mlango-Bahari wa Hormuz usiku wa Mei 14, 2026.
Iran imeimarisha...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
KATIKA moja ya nukuu zake maarufu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwahi kutaja maradhi kuwa ni moja ya maadui watatu wa Taifa...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
MOJA ya hatua kubwa zilizopigwa na Shirika la Reli nchini (TRC) ni kuondokana na utegemezi kwa Serikali, ambapo katika Mwaka wa...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
KASI kubwa ya maendeleo imeshuhudiwa katika bandari za mwambao wa Bahari ya Hindi na Maziwa Makuu, ikiwamo uboreshaji wa miundombinu unaochagiza...