Ads: info@gazetini.co.tz |
28.5 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Maisha, utata wa kifo, maziko ya Rais Edgar Lungu (3)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya pili ya makala haya,tuliona Lungu akipoteza kiti cha urais mbele ya mpinzani wake, Hichilema, ambaye awali alimshinda mara...

Fei Toto hatanii, atupia tena kubaki kileleni

NA Hassan Mwasha NI kama kiungo wa Azam, Feisal Salum 'Fei Toto', amepania kuondoka na kiatu cha ufungaji bora msimu huu wa 2025-26 wa Ligi...

Jordan wabahatika kupishana na Messi

MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Scaloni, amethibitisha kuwa atampumzisha nahodha wake, Lionel Messi, katika mchezo wao dhidi...

Simba yajipigia Singida, Mpanzu afikisha ‘asisti’ 10

Na Hassan Mwasha, Gazetini SIMBA ikiwa nyumbani katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamhuyo, imeondoka na pointi zote tatu baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi...

Yanga yaifumua TRA, Okello ana balaa zito

Na Hassan Mwasha KATIKA mwendelezo wa kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara, Yanga imeibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya TRA...

Cape Verde wanasa kwa Argentina; watatoboa kweli?

MEXICO CITY, Mexico BAADA ya kuvuka hatua ya makundi, sasa timu ya soka ya Taifa ya Cape Verde imeangukia kwa mabingwa watetezi wa msimu huu...

32 Bora: Morocco kuendeleza ‘uteja’ kwa Uholanzi?

TORONTO, Canada NI mtihani kwa timu zote mbili katika kuwania tiketi ya kwenda hatua inayofuata ya 16 Bora ya msimu huu wa fainali za Kombe...

32 Bora: Paraguay siyo kinyonge kwa Ujerumani

MEXICO CITY, Ujerumani ZITAKUTANA katika mchezo wa hatua ya 32 Bora msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Mechi itachezwa keshokutwa (Juni 29, 2026). Licha...

Marekani, Iran ‘kimenuka’ tena

WASHINGTON DC, Marekani JESHI la Marekani limeishambulia Iran, zikiwa ni saa chache tu tangu Rais Donald Trump aliposema wenzao hao wamekiuka makubaliano ya Juni 17,...

Japan kuishangaza Brazil hatua ya 32 Bora?

HOUSTON, Marekani MECHI ya kukata na shoka ya kusaka tiketi ya kutinga 16 Bora itakayochezwa Juni 29, 2026 kwenye Uwanja wa NRG mjini Houston, Marekani. Huo...

Mastaa wa muziki, filamu walivyoibukia Kombe la Dunia 2026

CALIFORNIA, Marekani KWA miaka mingi, soka limekuwa likiwaunganisha si tu wachezaji, bali pia mastaa wa tasnia ya burudani, kama ilivyoshuhudiwa wakati wa ufunguzi wa msimu...

Hii ndiyo Bosnia ya Edin Dzeko inayotamba Kombe la Dunia

TORONTO, Canada BOSNIA and Herzegovina ni miongoni mwa timu zilizokata tiketi ya kucheza hatua inayofuata ya 32 Bora ya fainali za Kombe la Dunia za...