Na Safina Sarwatt, Gazetini
HOSPITALI ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) imeanza ujenzi wa Taasisi ya Moyo itakayokuwa ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba amesema wananchi wa Mkoa wa Rukwa wataanza kupata umeme wa gridi kuanzia mwezi mei mwaka...
Na Catherine Sungura, Tarura
Hata hivyo, waendesha bodaboda wametakiwa kupunguza mwendo kufuatia kuimarika kwa barabara hizo ili kuepuka ajali zinazoweza kusababisha vifo au majeraha.
Akizungumza na...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Katika kuadhimisha kilele cha Siku ya Wanawake Duniani inayoadhimishwa Machi 8 kila mwaka, Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania...
Na mwandishi wetu, Gazetini
UTAFITI mpya wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) umebaini kuwa wagonjwa wapya wa saratani zaidi ya milioni saba...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SIKU chache baada ya kutoka sare ya kutokufungana dhidi ya Simba, Yanga imeibuka na kuitwanga barua nzito Kamati ya Uendeshaji ya...
Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale
KIFUNGU cha 196 kinaweka msingi wa kosa la murder. Lakini kifungu cha 203 ndicho kinachoeleza kwa kina uwiano wa sababu...
TEHRAN, Iran
VITA vinavyoendelea kati ya Marekani na Israel zilizoungana kuishambulia Iran vinatajwa kuathiri sekta ya utalii Mashariki mwa Kati.
Kwa mujibu wa Shirika la Utalii...
RIO, Brazil
MSHAMBULIAJI huyo wa zamani wa Manchester United na West Ham za England, Jesse Lingard, ametua Ligi Kuu ya Brazil baada ya kusajiliwa na...
TEHRAN, Iran
WAKATI Marekani ilipoanza kuishambulia Iran wiki chache zilizopita, Donald Trump alijitamba kuwa wataangamiza viwanda vyote vya silaha nchini humo.
Hata hivyo, Rais Trump alisahau...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester City imeanza mazungumzo ya kumsajili kiungo wa Bayern Munich, Aleksandar Pavlovic.
Nyota huyo ana umri wa miaka 21 na ameshacheza mechi...