26.6 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

KCMC yajenga taasisi ya moyo ya pili nchini

Na Safina Sarwatt, Gazetini HOSPITALI ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) imeanza ujenzi wa Taasisi ya Moyo itakayokuwa ya...

Salome: Wananchi Rukwa mtapata umeme wa gridi Mei 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba amesema wananchi wa Mkoa wa Rukwa wataanza kupata umeme wa gridi kuanzia mwezi mei mwaka...

TARURA yajenga barabara za lami karatu, bodaboda waonywa

Na Catherine Sungura, Tarura Hata hivyo, waendesha bodaboda wametakiwa kupunguza mwendo kufuatia kuimarika kwa barabara hizo ili kuepuka ajali zinazoweza kusababisha vifo au majeraha. Akizungumza na...

JET: Wanawake wana wajibu wa kuhifadhi mazingira

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika kuadhimisha kilele cha Siku ya Wanawake Duniani inayoadhimishwa Machi 8 kila mwaka, Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania...

WHO: Saratani inaepukika, chukua hatua

Na mwandishi wetu, Gazetini UTAFITI mpya wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) umebaini kuwa wagonjwa wapya wa saratani zaidi ya milioni saba...

Yanga yaitwanga maswali 5 Bodi ya Ligi, bao la Mwalimu latajwa

Na mwandishi wetu, Gazetini SIKU chache baada ya kutoka sare ya kutokufungana dhidi ya Simba, Yanga imeibuka na kuitwanga barua nzito Kamati ya Uendeshaji ya...

David Luiz kwa sasa anakula maisha tu

LONDON, Uingereza UNAMKUMBUKA beki wa kati wa zamani wa Chelsea na timu ya taifa ya Brazil 'Selecao', David Luiz? Kwa sasa, nyota huyo ana umri...

Mwangwi wa sheria| Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-2

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale KIFUNGU cha 196 kinaweka msingi wa kosa la murder. Lakini kifungu cha 203 ndicho kinachoeleza kwa kina uwiano wa sababu...

Vita dhidi ya Iran kuangusha utalii Mashariki ya Kati?

TEHRAN, Iran VITA vinavyoendelea kati ya Marekani na Israel zilizoungana kuishambulia Iran vinatajwa kuathiri sekta ya utalii Mashariki mwa Kati. Kwa mujibu wa Shirika la Utalii...

Jesse Lingard na maisha yake mapya huko Brazil

RIO, Brazil MSHAMBULIAJI huyo wa zamani wa Manchester United na West Ham za England, Jesse Lingard, ametua Ligi Kuu ya Brazil baada ya kusajiliwa na...

Hizi ndizo ‘drone’ za bei rahisi inazotumia Iran kuzibomoa Marekani, Iran

TEHRAN, Iran WAKATI Marekani ilipoanza kuishambulia Iran wiki chache zilizopita, Donald Trump alijitamba kuwa wataangamiza viwanda vyote vya silaha nchini humo. Hata hivyo, Rais Trump alisahau...

Man City yamsogelea ‘mido’ Bayern

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City imeanza mazungumzo ya kumsajili kiungo wa Bayern Munich, Aleksandar Pavlovic. Nyota huyo ana umri wa miaka 21 na ameshacheza mechi...