RABAT, Morocco
MSHAMBULIAJI wa kati wa timu ya soka ya Taifa ya Wanawake ya Zambia, Barbra Banda, ndiye anayeongoza msimamo wa wafungaji bora msimu huu...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MKUU wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, amekipongeza Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kwa kuendelea kuandika na...
MANCHESTER, Uingereza
KOCHA wa Manchester City, Enzo Maresca, yuko mbioni kutangaza nahodha mpya wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2026-27.
Man City inahitaji...
LONDON, Uingereza
KIUNGO wa kimataifa wa Brazil, Bruno Guimaraes, amesema amewaahidi mashabiki wa Arsenal kuwa ataendeleza moto aliokuwa nao Newcastle United.
Arsenal walikamilisha usajili wake wikiendi...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
SHIRIKA la Ugavi wa Umeme nchini (TANESCO) lina mengi ya kujivunia katika miaka ya hivi karibuni lakini kubwa zaidi ni uboreshaji...
YOUNDE, Cameroon
HAJAONEKANA hadharani kwa miezi miwili sasa na wananchi wa Cameroon wanahoji; itachukua muda gani Rais Paul Biya kurudi nchini akitokea mjini Geneva, Uswis?
Wakati...
OUAGADOUGOU, Burkina Faso
ALIINGIA madarakani mwaka 2022 akiliongoza jeshi kuipindua Serikali iliyokuwa madarakani. Anaitwa Kapt.Ibrahim Traore, kijana mwenye umri wa miaka 38 tu.
Kwa upande mmoja,...
WASHINGTON DC, Marekani
FAIDA wakati wa vita. Ndicho kinachoonekana wakati huu Iran na Marekani zikiwa kwenye mgogoro unaotikisa si tu Mashariki ya Kati, bali dunia...
NYON, Uswis
SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limelaani mpango wowote unaolenga kumng'oa kwenye kiti Rais wake, Gianni Infantino.
Infantino anakabiliwa na shinikizo la kutakiwa kujiuzulu...
Rais wa Simba SC, Mohammed Dewji, amewataka wanachama na mashabiki wa klabu hiyo kutogawanyika, akisisitiza kuwa Simba ni kubwa kuliko changamoto yoyote inayokabili klabu...
Na mwandishi wetu, Gazetini
CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kitovu cha utafiti, ubunifu na teknolojia nchini baada ya kuwasilisha bunifu...