Ads: info@gazetini.co.tz |
20.2 C
Dar es Salaam

World

Sifa za ‘mashine’ mpya ya Arsenal

LONDON, Uingereza MABINGWA wa Ligi Kuu ya England (EPL) msimu wa 2025-26, Arsenal, wameimarisha safu yao ya kiungo kwa kumsajili Bruno Guimaraes kutoka Newcastle United,...

PSG yatabiriwa ‘ndoo’ Ligi ya Mabingwa

PARIS, Ufaransa MTANDAO wa takwimu wa Polymarket SuperComputer umeipa PSG nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wao wa Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao wa 2026-27. Kwa...

Banda kinara wa mabao WAFCON

RABAT, Morocco MSHAMBULIAJI wa kati wa timu ya soka ya Taifa ya Wanawake ya Zambia, Barbra Banda, ndiye anayeongoza msimamo wa wafungaji bora msimu huu...

Maresca kuchagua nahodha mpya Man City

MANCHESTER, Uingereza KOCHA wa Manchester City, Enzo Maresca, yuko mbioni kutangaza nahodha mpya wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2026-27. Man City inahitaji...

Jembe jipya Arsenal lachimba mkwara

LONDON, Uingereza KIUNGO wa kimataifa wa Brazil, Bruno Guimaraes, amesema amewaahidi mashabiki wa Arsenal kuwa ataendeleza moto aliokuwa nao Newcastle United. Arsenal walikamilisha usajili wake wikiendi...

Paul Biya: Rais aliyewaacha njiapanda wananchi Cameroon

YOUNDE, Cameroon HAJAONEKANA hadharani kwa miezi miwili sasa na wananchi wa Cameroon wanahoji; itachukua muda gani Rais Paul Biya kurudi nchini akitokea mjini Geneva, Uswis? Wakati...

Miaka minne baada ya mapinduzi, Traore amefanikiwa?

OUAGADOUGOU, Burkina Faso ALIINGIA madarakani mwaka 2022 akiliongoza jeshi kuipindua Serikali iliyokuwa madarakani. Anaitwa Kapt.Ibrahim Traore, kijana mwenye umri wa miaka 38 tu. Kwa upande mmoja,...

FIFA yalaani mpango wa kumng’oa Infantino

NYON, Uswis SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limelaani mpango wowote unaolenga kumng'oa kwenye kiti Rais wake, Gianni Infantino. Infantino anakabiliwa na shinikizo la kutakiwa kujiuzulu...

TARURA yatajwa miongoni mwa taasisi bora za miundombinu Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini RAIS wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania, Wakili Boniventure Mwambaja, amesema anaiona Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA)...

Rais Samia: Vijana wa Afrika wasiwe watumiaji wa teknolojia pekee

Na mwandishi wetu, Gazetini RAIS wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Afrika inapaswa kuwekeza zaidi katika elimu, ujuzi wa ufundi na uwezo wa kidijitali...

Wajawazito DRC na changamoto ya Ebola

BUNIA, DRC MLIPUKO wa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) umeathiri kwa kiasi kikubwa utaratibu wa wajawazito kwenda kliniki, kama anavyoeleza...

Vijana wa Liberia na urahibu wa bangi

MONROVIA, Liberia KATIKA mitaa ya Mji Mkuu, Monrovia, utumizi wa dawa za kulevya aina ya bangi si jambo linalohitaji utafiti mkubwa kulibaini, na badala yake...

Recent articles