Ads: info@gazetini.co.tz |
22 C
Dar es Salaam

World

Arsenal yang’oa nahodha Madrid

LONDON, Uingereza KLABU ya Arsenal imekamilisha usajili wa nahodha wa timu ya wanawake ya klabu ya Real Madrid, Misa Rodriguez. Nyota huyo mwenye umri wa miaka...

Staa mpya Chelsea apewa jezi ya Hazard

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI mpya wa Chelsea, Morgan Rogers, atavaa jezi namba 17 msimu ujao, ambayo iliwahi kuvaliwa na lejendari wa timu hiyo, Eden Hazard. Nyota huyo...

Wanaume washauriwa kuvaa kaptula ofisini

TOKYO, Japan MAMLAKA za Tokyo zimewashauri wafanyakazi wa ofisini kuachana na suti, na badala yake kuvaa kaptula kipindi hiki cha joto kali. Kwa mujibu wa mamlaka,...

Aliyefariki mikononi mwa polisi aibua maandamano

MILAN, Italia MAELFU ya raia wa Italia wameingia barabarani kulaani taarifa za kifo cha mwenzao aliyefariki akiwa anashikiliwa na polisi huko Kaskazini mwa Mji wa...

Barca yanasa winga Ubelgiji

CATALUNYA, Hispania KLABU ya Barcelona imekamilisha usajili wa winga kutoka Club Brugge ya Ligi Kuu nchini Ubelgiji, Jesse Bisiwu. Aliyefichua kukamilika kwa dili hilo ni mwandishi...

Mwanaume anayetaka nipike hanifai

LAGOS, Nigeria ALIYEWAHI kuwa mshindi wa Shindano la Big Brother Naija, Mercy Eke, amezua mjadala mzito mitandaoni kwa kauli yake ya kusema hawezi kuolewa na...

Ebola katikati ya Serikali, waasi wa M23

KINSHASA, DRC KUNDI la waasi la M23 linajivunia idadi ndogo ya maambukizi ya Ebola katika maeneo yake, likidai kuwa hilo linathibitisha uwezo wake mkubwa wa...

Ajali ya basi yaua wanafunzi 20, mmiliki wa shule 

KAMPALA, Uganda AJALI ya basi la shule imesababisha vifo vya wanafunzi 20, pamoja na mtu mzima mmoja, katika eneo la Kapchorwa, Mashariki mwa Uganda. Taarifa ya polisi imeeleza...

Hii ndiyo Siku ya Nelson Mandela

Na mwandishi wetu, Gazetini JULAI 18 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya kumbukizi ya mchango mkubwa alioutoa Nelson Mandela katika ulimwengu wa siasa,...

Afrika ya vipaji v Ulaya ya mifumo

MIAMI, Marekani AFRIKA haina mwakilishi katika hatua ya nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Ni timu za Bara la Ulaya pekee zilizobaki. Hata...

Mafuriko yatikisa Ghana, yaua watu 12

ACCRA, Ghana WATU 12 wameripotiwa kupoteza maisha katika mafuriko yaliyotokea katika maeneo mbalimbali nchini Ghana, ukiwamo Mji Mkuu wa Accra. Mvua iliyonyesha ni ya kiwango cha...

‘Maisha ya Nigeria magumu kuliko Marekani’

LAGOS, Nigeria HIYO ni kauli ya staa wa soko la muziki wa Nigeria, Daniel Benson, maarufu kwa jina la BNXN, baada ya kuwasili akitokea Los...

Recent articles