RABAT, Morocco
MATAIFA mawili makubwa katika soka yatavaana Jumamosi hii ya Januari 10, 2026, ukiwa ni mchezo wa robo fainali ya msimu huu wa michuano...
RABAT, Morocco
NI kesho Januari 9, 2026, ambapo ni wazi mashabiki wa timu ya soka ya Tanzania 'Taifa Stars' watakuwa upande wa Cameroon katika mchezo...
RABAT, Morocco
NI 'derby' ya majirani wa Afrika ya Magharibi, ukiwa ni mchezo wa robo fainali ya michuano ya AFCON 2025 inayoendelea nchini Morocco.
Mali na...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
WAKATI Simba kitarajia kukabiliana na Azam FC kesho katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya kombe la Mapinduzi, mshambuliaji wa...
LONDON, Uingereza
UONGOZI wa Chelsea umemtangaza kocha mpya atakayechukua nafasi ya Enzo Maresca. Anaitwa Liam Rosenior.
Je, ni yapi usiyoyajua kuhusu kocha huyo mwenye umri wa...
MADRID, Hispania
MSHAMBULIAJI Kylian Mbappe amebaki nyumbani wakati kikosi cha Real Madrid kiliposafiri kwenda Saudi Arabia kwa mchezo wao wa Spanish Super Cup.
Madrid watakuwa nchini...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Chelsea imemtangaza, Liam Rosenior kuwa kocha mpya atakayechukua mikoba ya Enzo Maresca.
Rosenior amejiunga na Chelsea akitokea Strasbourg, ambayo pia inamilikiwa na...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Arsenal imejitosa kuiwania saini ya beki wa Newcastle United, Tino Livramento, ambaye pia anaitoa udenda Manchester City.
Livramento aliibuliwa na 'academy' ya...
MANCHESTER, Uingereza
NAHODHA wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand, anaamini Darren Fletcher anatosha kuibeba timu hiyo baada ya Ruben Amorim kutimuliwa.
Amorim amefutwa kazi baada...
RABAT, Morocco
MABAO mawili ya Victor Osimhen yameiwezesha timu ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles' kupata ushindi wa 4-0 dhidi ya Msumbiji katika mchezo wa...
MANCHESTER, Uingereza
HATIMAYE Manchester United wamemfuta kazi Ruben Amorim. Mreno huyo ameondoka akiwa amehudumu kwenye benchi la ufundi kwa miezi 14 pekee tangu alipoajiriwa akitokea...