Ads: info@gazetini.co.tz |
22.9 C
Dar es Salaam

Makala

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Argentina (3)

LONDON, UingerezaARGENTINA inashika nafasi ya pili katika viwango vya ubora wa soka dunaini. Imeporomoka kwa nafasi moja kwani ilikuwa ya kwanza Julai, mwaka huu.'La...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Uholanzi (1)

AMSTERDAM, UholanziTIMU ya soka ya taifa ya Uholanzi, maarufu kwa jina la 'Oranje', nayo itakwenda katika fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwakani.Uholanzi...

Usiyoyajua kuhusu ‘playoff’ inayoisubiri DRC

LONDON, UingerezaMACHI 31, mwakani, ndipo zitakapopatikana timu zote 48 zitakazoshiriki fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika katika mataifa matatu; Marekani, Canada na Mexico.Kufikia sasa,...

Wakali wa mabao kufuzu Kombe la Dunia

Na mwandishi wetu, GazetiniFAINALI za Kombe la Dunia zimekuwa na rekodi nyingi, ikiwamo ile maarufu ya wafungaji bora wa muda wote wa mechi za...

Soma hapa maajabu ya Haiti kufuzu Kombe la Dunia

Na mwandishi wetu, GazetiniTIMU ya taifa ya Haiti nayo imefanikiwa kufuzu fainali za Kombe la Dunia za mwakani katika mazingira yaliyowashangaza wengi.Haiti, ambao hii...

Casemiro; Mashine iliyozaliwa upya United, Brazil

RIO, BrazilMIEZI 18 iliyopita, beki wa zamani wa Liverpool na timu ya taifa ya England 'Three Lions', Jamie Carragher alikuwa mbele ya kamera za...

Pochettino bado hali tete Marekani

LOS ANGELES, MarekaniBAADA ya timu ya soka ya taifa ya Marekani kuishia hatua ya makundi katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2022,...

Mastaa 12 hawa ‘out’ Kombe la Dunia 2026

LONDON, UingerezaFAINALI za Kombe la Dunia za mwakani ziko njiani, ikiwa ni kwa mara ya kwanza michuano hiyo itashuhudia timu 48 zikishiriki.Miongoni mwa timu...

Curacao; Taifa dogo zaidi Kombe la Dunia 2026

LONDON, UingerezaKISIWA cha Curacao kimeandika historia ya kuwa taifa dogo zaidi kukata tiketi ya kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia.Awali, rekodi hiyo ilikuwa...

DRC na safari ya jasho, damu kuwania tiketi Kombe la Dunia 2026

Na mwandishi wetu, GazetiniTIMU ya soka ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) itaiwakilisha Afrika katika mchujo wa mwisho wa kupata timu...

Jonathan Barnett; Wakala wa soka na kashfa ya ubakaji

LONDON, UingerezaUPEPO unavuma vibaya kwa Jonathan Barnett, ambapo wakala huyo wa soka anakabiliwa na mashitaka ya ubakaji mjini London.Kwa mujibu wa kile kilichoelezwa mahakamani,...

Neymar kuibukia England Januari?

RIO, BrazilMSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Brazil, Neymar, atakuwa mchezaji huru katika usajili wa dirisha dogo la usajili hapo Januari, mwakani. Mkataba wake na Santos...

Recent articles