Ads: info@gazetini.co.tz |
20.9 C
Dar es Salaam

Jamii

Utafiti: Kukosa usingizi chanzo ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KUKOSA muda wa kutosha wa kulala, hasa nyakati za usiku, kunaweza kusababisha ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu, kwa mujibu wa utafiti mpya...

DC Nyamagana: Serikali inatambua kazi nzuri ya OSHA nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKUU wa Wilaya ya Nyamagana, Amina Makilagi, amesema serikali inatambua kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa...

Ubungo yatenga zaidi ya milioni 28 kwa malezi ya awali ya watoto

Na Patricia Kimelemeta, Gazetini MANISPAA ya Ubungo imetengea bajeti ya fedha zaidi ya Sh milioni 28 kwa ajili ya utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Malezi,...

Tanzania yapoteza hekta 460,000 za misitu kila mwaka, sheria zatajwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TANZANIA inakabiliwa na ongezeko kubwa la upotevu wa misitu, hali inayochochea ukame, kukauka kwa vyanzo vya maji na kuharakisha mabadiliko ya...

OSHA kuiwezesha shule ya Kambangwa vifaa vya kujifunzia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAKALA wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeahidi kuiwezesha Shule ya Sekondari Kambangwa iliyopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam...

Afrika ‘jalala’ la wahamiaji haramu kutoka Marekani?

Na mwandishi wetu, GazetiniUGANDA imeungana na Eswatini, Sudan Kusini na Rwanda kuingia mkataba wa kupokea wahamiaji haramu wasiotakiwa nchini Marekani.Kuwaondosha wahamiaji haramu ni moja...

Ethiopia na hali mbaya ya vyombo vya habari 

Na mwandishi wetu, GazetiniMATUKIO ya vyombo vya dola kuvibana mbavu vyombo vya habari yameshika kasi nchini Ethiopia kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni, mwakani.Wengi...

Dira ya Maendeleo 2050 yasisitiza malezi bora ya watoto nchini

Na Patricia Kimelemeta, Gazetini DIRA ya Maendeleo ya Mwaka 2020-2050 imeitaka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuimarisha uchumi wa kati wa kiwango cha juu sambamba na...

Ajali ya gari yaua wahamiaji Afghanistan

KABUL, Afghanistan WAHAMIAJI 37, wakiwamo watoto 17, waliokuwa wakirejeshwa kutoka Iran wamefariki baada ya gari lao kupata ajali Magharibi mwa Afghanistan.Ofisi Habari wa Taliban, Ahmadullah...

Nini chanzo ajali za ndege Afrika?

Na mwandishi wetu, GazetiniMIEZI ya hivi karibuni imeshuhudia ajali za ndege zikitisa na kuacha majonzi barani Afrika, ikitosha kutolewa mfano katika mataifa ya Ghana...

Ahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa shambulio la aibu kwa mtoto

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mahakama ya Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, Agosti 18, 2025 imetoa hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela kwa mtuhumiwa Idd...

Utafiti: Kamari husababisha changamoto ya afya ya akili

LOS ANGELES, MarekaniUTAMADUNI wa kucheza kamari umeonekana kukita mizizi kwa vijana wengi duniani, ingawa sasa utafiti umebaini kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya tabia...

Recent articles