MOSCOW, Urusi
UMOJA wa Ulaya (EU) umekanusha madai ya Urusi iliyolalamikia ofisi zake za umma kushambuliwa na vikosi vya Ukraine.
Kwa mujibu wa mwanadiplomasia mwandamizi wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
JENERALI wa jeshi, Mamady Doumbouya, ametangazwa kuwa mshindi wa kinyang'anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni nchini Guinea.
Kwa mujibu...
FLORIDA, Marekani
RAIS wa Marekani Donald Trump na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky wamesema kuna maendeleo makubwa yamepatikana katika mazungumzo ya kumaliza vita vya Ukraine,...
OAXACA, Mexico
TAKRIBAN watu 13 wamefariki dunia na wengine karibu 100 kujeruhiwa baada ya treni ya abiria kuacha njia ya reli katika jimbo la Oaxaca,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
UCHAGUZI Mkuu wa Uganda unatarajiwa kufanyika Januari 15, mwakani, ambapo Rais Yoweri Museveni anawania muhula wake wa saba madarakani.
Wakati Rais Museveni...
MANCHESTER, Uingereza
WIKI iliyopita, kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, alisema klabu hiyo inapaswa kujiandaa na maisha mapya bila uwepo wake kwenye benchi la ufundi.
Mhispania...
LOS ANGELES, Marekani
UKIWEKA kando soka, masumbwi ni mchezo mwingine unaofuatiliwa zaidi, ukifuatiwa na mpira wa kikapu. Takwimu zinaonesha hivyo.
Kutokana na ushawishi wake duniani, mchezo...
RABAT, Morocco
ILIKUWA ni safari ya umbali mrefu wa kilometa 3,000 akitoka Paris, Ufaransa, hadi nchini Morocco kuzifuata fainali za Mataifa ya Afrika za mwaka...
MOSCOW, Urusi
Idadi ya mabilionea nchini Urusi imeongezeka kwa kasi na kufikia kiwango cha juu zaidi, hususan katika kipindi cha vita vya Ukraine. Hata hivyo,...