Ads: info@gazetini.co.tz |
30.3 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Mateso waliyopitia Liverpool msimu wa 2025-26

MERSEYSIDE, Uingereza LIVERPOOL waliuanza msimu huu wa 2025-26 wakiwa na matarajio makubwa ya kufanya vizuri baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL)...

Nchi zinazoongoza matumizi makubwa ya umeme duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini CHINA ndiyo nchi inayoongoza kwa matumizi ya kiwango kikubwa cha umeme duniani, ikifuatiwa na Marekani, India na Urusi, kwa mujibu wa...

Miezi mitatu baada ya kifo, Khamenei kuzikwa Julai

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza kuwa kiongozi wake Mkuu aliyeuawa Februari, 2026, Ali Khamenei, atazikwa mwezi ujao, Julai 9, mjini Mashhad. Awali, Ali Khamenei alitarajiwa...

Haiti: Soka lilivyorejesha tabasamu la muda katikati ya vilio, simanzi

PORT-AU-PRINCE, Haiti HAITI ni Kisiwa kilichopo Caribbean, kikifahamika kwa hali yake mbaya ya usalama kutokana na machafuko yanayosababishwa na utitiri wa magenge ya uhalifu yaliyotapakaa...

Nani anayezalisha ‘wanyonge’ wanaomsumbua Waziri Mkuu?

Na Hassan Mwasha, Gazetini NIMEKUWA nikifuatilia kwa karibu ziara za Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt....

Vinicus Jr: Tutarudi kivingine, bado mapema

MEXICO CITY, Mexico WINGA wa timu ya Taifa ya Brazil, Vinicius, amesema sare ya bao 1-1 waliyopata katika mchezo wa kwanza dhidi ya Morocco umewapa...

Madrid wafikia patamu kwa Cucurella

LONDON, Uingereza KLABU ya Real Madrid imefikia makubaliano na beki wa Chelsea, Marc Cucurella, na huenda akatua Santiago Bernabeu baada ya Kombe la Dunia. Cucurella (27),...

Shabiki auawa, mabasi yachomwa moto ubingwa wa NBA

LOS ANGELES, Marekani VURUGU zilizotokana na shangwe la ubingwa wa New Knicks ya Ligi Kuu ya Kikapu ya Marekani (NBA) zimesabaisha kifo cha shabiki, huku...

Ujerumani yaweka rekodi mpya Kombe la Dunia

NEW YORK, Ujerumani BAADA ya ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Curacao, timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani imeandika historia mpya katika michuano ya...

Kipigo cha Sweden kufukuzisha kocha Tunisia

NEW YORK, Marekani SHIRIKISHO la Soka la Tunisia linaweza kumfuka kocha wa timu yake ya Taifa, Sabri Lamouchi. Taarifa hizo zinakuja baada ya Tunisia kupoteza mchezo...

Irankunda: Kutoka kambi ya wakimbizi Tanzania hadi rekodi Kombe la Dunia

TORONTO, Canada WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea Marekani, Mexico na Canada, jina la kinda Nestory Irankunda limeandika historia mpya katika michuano hiyo. Ni...

Kiboko ya Wabrazil anayezitoa udenda Arsenal, Liverpool

TORONTO, Canada KATIKA mchezo uliomalizika kwa sare ya bao 1-1 kati ya timu ya soka ya Taifa ya Brazil na Morocco, kinda Ayyoub Bouaddi alikuwa...

Recent articles

spot_img