Ads: info@gazetini.co.tz |
23 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Usiyoyajua kuhusu WAFCON 2025

CAIRO, Misri FAINALI za Mataifa Afrika kwa upande wa soka la Wanawake (WAFCON) zitaanza kutimua vumbi wikiendi hii (Julai 5) huko Morocco. Wenyeji kwa mara ya...

Nyuma ya pazia mkataba wa Ronaldo

RIYADH, Saudi ArabiaBAADA ya kusaini mkataba mpya wa miaka miwili, sasa staa wa Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, atavuna Pauni milioni 492 (zaidi ya Sh tril....

Kessie akili yote Serie A

MILAN, ItaliaRIPOTI zinaeleza kuwa kiungo wa zamani wa AC Milan, Franck Kessie, ameanza kutamani kurudi Ligi Kuu ya Italia (Serie A). Kessie mwenye umri wa...

Waarabu kumng’oa staa Liverpool?

MERSEYSIDE, England KLABU tajiri ya Al-Nassr ya Ligi Kuu ya Saudi Arabia imemtengea dau nono winga wa Liverpool, Luis Diaz.Taarifa zinaeleza kuwa Al-Nassr itaipelekea Liver...

Mbappe fiti kuivaa Juve

MADRID, HispaniaUWEZEKANO ni mkubwa kwa mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappe, kuikabili Juventus katika mchezo wa keshokutwa.Madrid itavaana na vigogo hao wa Serie A,...

Selena amtaja Eminem

LOS ANGELES, MarekaniSTAA wa muziki wa Pop, Selena Gomez, amemtaja Eminem kuwa ndiye rapa aliyekuwa akivutiwa naye alipokuwa mdogo.Selena (32), ameyasema hayo hivi karibuni...

Pogba amwaga machozi akisaini Monaco

MONACO, Ufaransa KATIKA video iliyosambaa mitandaoni, kiungo wa zamani wa Manchester United, Paul Pogba, anaonekana akimwaga machozi wakati akisaini mkataba wa kujiunga na Monaco ya...

Pochettino atoswa EPL

LONDON, England MAURICIO Pochettino ni miongoni mwa makocha waliokuwa kwenye usahili wakati Brentford ilipokuwa ikisaka kocha hivi karibuni. Pochettino aliyewahi kufanya kazi Ligi Kuu ya England...

Trump akana kuisaidia Iran

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amekana madai ya kuiwezesha Iran kiasi cha Dola bilioni 30 ili kitumike katika mpango wa nyuklia. Siku chache zilizopita, Shirika...

Maandamano ya kumng’oa Rais yashika kasi Serbia

MAELFU ya wanafunzi na wanaharakati nchini Serbia wameandama wakishinikiza uchaguzi mkuu wa haraka ili kumng'oa madarakani Rais Aleksandar Vucic. Huu ni mwendelezo wa miezi mingi...

Wapalestina 81 wafariki, 400 wajeruhiwa

KWA saa 24 zilizopita, mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza yamesababisha vifo vya Wapalestina 81, huku zaidi ya 800 wakijeruhiwa. Asubuhi ya leo (Jumamosi),...

Utafiti: Nchi zenye wanawake warembo zaidi

*Ni kwa mujibu wa maoni ya watumiaji wa mtandao wa Reddit Na Mwandishi Wetu, Gazetini Utafiti uliofanyika kupitia jukwaa la mtandaoni la Reddit na kuhusisha maoni...

Recent articles

spot_img