Ads: info@gazetini.co.tz |
22.1 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Visual| Sekta ya Madini ilivyovuka lengo la Trilioni 1 kabla ya wakati

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba, amesema kuwa hadi kufikia Juni 28, 2025 — zikiwa zimebaki siku chache...

DAS Kinondoni aipongeza MONTI International kwa kuibua, kulea vipaji vya watoto

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dar es Salaam Katibu tawala wilaya ya Kinondoni - DAS, Warda Abdallah ameipongeza Shule ya Kimataifa ya Monti kwa kuibua na kulea...

Iran yataka Israel, Marekani ziadhibiwe

TEHRAN, Iran WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuzitambua Israel na Marekani kuwa ni...

Uvutaji sigara holela marufuku Ufaransa

PARIS, UfaransaSHERIA mpya nchini Ufaransa inapiga marufuku uvutaji wa sigara katika maeneo ya fukwe, shule na maegesho ya magari. Kwa mujibu wa sheria, atakayekiuka, basi...

Museveni atangaza nia urais

KAMPALA, Uganda RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ameweka wazi mpango wake wa kugombea nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mapema mwakani. Rais Museveni, ambaye sasa ana...

Rais Trump: Nina wateja wa kuinunua TikTok

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema tayari ana matajiri wake wanaoweza kuununua mtandao wa kijamii wa TikTok, ambao umepigwa marufuku nchini humo...

Ramos: Nileteeni Madrid robo fainali

MEXICO CITY, Mexico NAHODHA wa zamani wa Real Madrid, Sergio Ramos, amesema ni ndoto yake kukutana na timu hiyo katika hatua ya robo fainali ya...

Nabi yajayo yanafurahisha ‘Sauzi’

JOHANNESBURG, Afrika KusiniBEKI wa zamani wa Kaizer Chiefs, Mokete Tsotetsi, anaamini timu hiyo inayonolewa na kocha Nasreddine Nabi itakuja kivingine msimu ujao. Kaizer ilimaliza msimu...

Osimhen haondoki Napoli

NAPOLI, Italia LICHA ya kuhusishwa na klabu kadhaa za Ulaya, zikiwamo pia za Saudi Arabia, Victor Osimhen ataungana na wachezaji wengine wa Napoli kwa ajili...

Staa England adakwa kwa ulevi

LONDON, EnglandKIUNGO wa zamani wa Liverpool na timu ya taifa ya England, Paul Ince, ameingia matatani baada ya kukutwa akiendesha gari akiwa amelewa. Ince mwenye...

LeBron aiweka njiapanda Lakers

LOS ANGELES, MarekaniHATUA ya staa wa Angeles Lakers ya Ligi Kuu ya Kikapu ya Marekani (NBA), LeBron James, kutokuongeza mkataba imeibua minong'ono kuwa huenda...

Alis Moore; Binti anayetafuna pesa za wanasoka Ulaya

MADRID, Hispania KISIWA cha Ibiza. Kinapatikana nchini Hispania na ni moja ya maeneo ghali na yenye starehe za kiwango cha juu duniani. Kutokana na upekee wake,...

Recent articles

spot_img