-Wakiwa viongozi wa JET, sasa wanaiwakilisha Tanzania katika nafasi za juu za Umoja wa Mataifa chini ya mkataba wa UNCCD.
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Tanzania imeendelea...
THE HAGUE, UholanziMAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imehairisha usikilizaji wa mashitaka yanayomkabili Rais wa zamani wa Ufilipino, Rodrigo Duterte.Kwa mujibu wa wanasheria wake,...
LONDON, EnglandNI mapema mno lakini tayari baadhi ya klabu zinaonesha dalili ya kushuka daraja msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL). Ikumbukwe, timu...
LONDON, UingerezaTUKUTANE Januari. Zipo dili nyingi zilizokwama wakati wa usajili wa dirisha kubwa lililofungwa hivi karibuni na sasa zinasubiri Januari.Je, ni dili zipi zilizoshindwa...
MANCHESTER, UingerezaNI Jumapili ya wiki hii, ambapo nyasi za Uwanja wa Etihad zitabeba uzito wa dakika 90 za 'derby' ya jijini Manchester.Manchester City watakaokuwa...
CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona inaangalia uwezekano wa kuiambia Manchester United imchukue mshambuliaji wake raia wa England, Marcus Rashford.Rashford alijiunga na Barcelona kwa mkopo akitokea...
MERSEYSIDE, England
LIVERPOOL ndiyo klabu ya Ligi Kuu ya England iliyotumia fedha nyingi zaidi wakati wa dirisha kubwa la usajili wa kiangazi barani Ulaya.
Usajili huo...
MIAMI, MarekaniMSHAMBULIAJI wa zamani wa Liverpool, Luis Suarez, amefungiwa mechi sita baada ya kitendo chake cha kumtemea mate kocha wa timu pinzani.Suarez alimfanyia hivyo...
KINSHASA, DRCUMOJA wa Mataifa umezionya pande mbili zinazopigana nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ukisema zinahusika katika uhalifu wa kivita nchini humo.Licha ya...
PARIS, UfaransaNAHODHA wa timu ya taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe, amefikisha mabao 51 akiwa na kikosi hicho, akiifikia rekodi ya Thierry Henry.Mbappe aliandika historia...
NYON, UswisWAKONGWE wa soka, George Weah na Didier Drogba, wameteuliwa kuingia kwenye jopo la wachezaji 16 wa zamani watakaoendesha kampeni ya kupinga vitendo vya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
UTAFITTI mpya nchini Uingereza umebaini kuwa asilimia zaidi ya 65 ya vijana wenye umri chini ya miaka 40 wanakabiliwa na changamoto...