Ads: info@gazetini.co.tz |
21.6 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Kundi la kigaidi linaloitesa Afrika Magharibi

BAMAKO, MaliKWA miaka ya hivi karibuni, Ukanda wa Afrika Magharibi umekuwa ukiandamwa na mashambulizi ya kigaidi yanayotekelezwa na Kundi la Jama'at Nusrat al-Islam wal-Muslimin...

Urusi, China zazijadili Marekani, Ukraine

MOSCOW, UrusiMAWAZIRI wa Mambo ya Nje wa Urusi na China wamezungumzia uwezekano wa kumaliza vita inayoendelea kati ya Taifa hilo la Ulaya na majirani...

Obi: Bila kipa mpya Chelsea ‘haitoboi’

LONDON, EnglandKIUNGO wa zamani wa Chelsea, John Obi Mikel, ameitaka klabu hiyo kusajili mlinda mlango mpya kama inataka kutwaa mataji msimu ujao.Chelsea imetanua kikosi...

Arsenal wamponza straika Ureno

LISBON, UrenoKITENDO cha Viktor Gyokeres kushindwa kuungana na wenzake mazoezini akishinikiza kujiunga na Arsenal, kimewatibua mabosi wa klabu yake ya Sporting Lisbon.Taarifa zinaeleza kuwa...

Messi gari limewaka huko Marekani

MIAMI, MarekaniMSHAMBULIAJI wa Inter Miami, Lionel Messi, ameendeleza makali yake ya kufunga mabao mawili katika kila mchezo, safari hii akiwatungua Nashville.Messi anakuwa mchezaji wa...

Ruto atafaulu mtihani wa ‘Gen Z’?

NAIROBI, KenyaUPEPO unavuma vibaya kwa William Ruto, huku sehemu kubwa ya wakosoaji wake wakiwa ni vijana wa kizazi kipya, wakifahamika pia kwa jina la...

Utafiti: Ugumu wa maisha chanzo utoaji mimba Uingereza

LONDON, EnglandMATUKIO ya utoaji wa mimba yameripotiwa kuongezeka kwa kasi nchini Uingereza, huku kupanda kwa gharama za maisha kukitajwa kuwa moja ya sababu.Utoaji wa...

Haja ndogo isizidi sekunde 21 tu

LONDON, EnglandUMEWAHI kujiuliza huwa unatumia muda gani kumaliza haja ndogo unapoingia maliwato? Sasa, swali hilo lina maana kubwa mno kwa afya yako.Kwa mujibu wa...

Kuna nini Trump na viongozi Afrika?

WASHINGTON DC, Marekani JUMATANO ya wiki hii, Rais wa Marekani, Donald Trump, alifungua Mkutano wa siku tatu na viongozi wa nchi tano za Afrika mjini...

Van Gaal: Nimepona saratani, narudi mzigoni

AMSTERDAM, Uholanzi KOCHA mkongwe, Louis van Gaal, amesema amepona ugonjwa wa saratani na sasa yuko fiti kurejea katika majukumu yake. Miaka mitatu iliyopita, Mholanzi huyo mwenye...

Dembele; ndoa ilivyookoa kipaji kilichozikwa na majeraha, kamari

PARIS, Ufaransa KWA rahisi, maisha yake ndani ya klabu ya Barcelona yalitawaliwa na vurugu nyingi lugha za ndani na nje ya uwanja. Baada ya kucheza...

Dili 15 zilizobamba usajili kiangazi Ulaya

LONDON, England HARAKATI za usajili wa majira ya kiangazi zinaendelea barani Ulaya, huku macho yakielekezwa zaidi kwa klabu za England, Bundesliga, La Liga, Ligue 1...

Recent articles

spot_img