LONDON, England
MSIMU ujao wa 2025-26 uko njiani, ukitarajiwa kuanza kutimua vumbi mwezi ujao. Ni Ligi Kuu ya England (EPL), michuano ya soka inayotajwa kufuatiliwa...
LONDON, England
KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, aliingia sokoni majira haya ya kiangazi akihitaji straika. Msako wake umeinasa saini ya mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden,...
PRETORIA, Afrika Kusini
TEMBO wanatajwa kuwa ndiyo wanyama walio hatarini zaidi katika vitendo vya ujangili duniani kote, huku Afrika ikichomoza katika takwimu hizo.
Kwa mujibu wa...
NEW DELHI, India
TAKWIMU za wanafunzi 13,000 kujiua kila mwaka zimewaibua wataalamu wa afya ya akili nchini India, wakizitaka mamlaka kuamka na kuchukua hatua za...
NEW DELHI, India
INAWEZA kukushangaza kidogo. Huenda pia ikakufikirisha, achilia mbali kuhisi ni simulizi ya kuikirika tu. La hasha! Ni kisa cha kweli kabisa.
Kijana raia...
DOHA, QatarMABINGWA wa Ligi Kuu ya Qatar, Al Sadd, wamemsajili na kumpa mkataba wa miaka miwii mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Roberto Firmino.Nyota huyo...
MWANDISHI WETU, GazetiniNI rasmi sasa, kwamba benchi la ufundi la Yanga liko chini ya kocha mpya raia wa Ufaransa, Romain Folz.Ikielezwa kuwa amesaini mkataba...
LONDON, EnglandALIYEWAHI kuwa mchezaji wa Arsenal, Jay Emmanuel-Thomas, amejiunga na AFC Totton, zikiwa ni wiki chache tu tangu alipotoka jela.Jay alihukumiwa kifungo cha miaka...
LONDON, EnglandCHELSEA wanakaribia kukamilisha usajili wa kiungo wa RB Leipzig na timu ya taifa ya Uholanzi, Xavi Simons.Baada ya kumuuza Noni Madueke aliyejiunga na...
MADRID, HispaniaREAL Madrid wametenga Pauni milioni 100 (zaidi ya Sh bil. 348 za Tanzania) za kuibomoa Manchester City kwa kumchukua kiungo wao, Rodri.Kocha mpya,...
MUNICH, UjerumaniKOCHA wa Bayer Leverkusen, Erik ten Hag, ameweka wazi kuwa kiungo wake raia wa Uswis,Granit Xhaka, hauzwi.Xhaka aliyewahi kukipiga Arsenal, anahusishwa na mpango...
MANCHESTER, EnglandBAADA ya kutangazwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa Barcelona, Marcus Rashford amesema anajisikia yuko nyumbani.Rashford mwenye umri wa miaka 27, amejiunga na Barca...