28.7 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Taifa Stars yaandika historia CHAN, yatinga robo fainali kibabe

Na Mwandishi Wetu Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeandika historia kwa mara kwanza kwa kutinga robo fainali ya michuano ya CHAN 2024, ikiichapa...

Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga kuanzia Angola, Simba Botswana

Na Mwandishi Wetu Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga itaanza hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wiliete Benguela ya Angola...

OKWI ASAJILIWA POLICE FC

Nyota wa zamani wa Simba na Yanga, Emmanuel Okwi, raia wa Uganda amejiunga na Police FC ya Rwanda akitokea AS Kigali ya nchini humo...

Salum Mwalimu mgombea urais Chaumma, Devota Minja mgombea mwenza

Na Mwandishi Wetu CHAMA cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimemtangaza Salum Mwalimu kuwa mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu...

Mfanyabiashara ahukumiwa jela maisha kwa kubaka mtoto wa miaka minne

Na Mwandishi Wetu Mahakama ya Wilaya ya Mbozi imemtia hatiani na kumhukumu kifungocha maisha gerezani, mfanyabiashara Athuman Mtibwa (35) na kulipa kiasi cha fidia milioni...

Taifa Stars yaendelea kutoa vichapo CHAN

Na Mwandishi Wetu Bao pekee la Shomary Kapombe dakika ya 89, limeipa ushindi wa 1-0 Taifa Stars dhidi ya Mauritania katika mchezo wa michuano ya...

Maendeleo ya elimu ni mkombozi wa Taifa lolote duniani- Majaliwa

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa maendeleo katika sekta ya elimu ni mkombozi na mafanikio ya Taifa lolote duniani. Amesema kwa kutambua hilo,...

Dodoma Jiji yatambulisha mrithi wa Maxime, kiungo

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Dodoma Jiji yamtangaza kocha Vincent Mashami kutoka Polisi FC ya Rwanda akichukua nafasi ya Mecky Maxime aliyeondoka mwishoni  msimu uliomalizika. Kwa mujibu...

Shetta ashinda kura za maoni Mchikichini

Na Mwandishi Wetu Msanii Nurdin Bilal maarufu Shetta, ameshinda kwenye kura za maoni ya kugombea udiwani Kata ya Mchikichini, Ilala, Dar es Salaam kupitia CCM. Katika...

Urio awabwaga wanne Kunduchi aongoza kura za maoni

Na Mwandishi Wetu Mgombea wa udiwani Kata ya Kunduchi, jijini Dar es Salaam anayetetea nafasi yake Michael Urio ameibuka kinara katika kura za maoni kwa...

Dogo Janja aibuka kidedea kura za maoni ya udiwani Ngarenaro

Na Mwandishi Wetu Msanii wa Bongofleva, Abdulaziz Abubakar ' Dogo Janja', ameongoza katika kura za maoni ya udiwani katika Kata Ngarenaro, mkoani Arusha kupitia Chama...

Mnyama Simba anaendelea kuweka hadharani vifaa vyake vipya

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Simba leo Julai 30, 2025, imemtambulisha Alassane Kante raia wa Senegal , akitokea CA Bizertin ya Tunisia. Kiungo huyo mkabaji mwenye...

Recent articles

spot_img