28.7 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Taasisi na asasi za elimu ya mpiga kura zatakiwa kuzingatia sheria

Na Mwandishi Wetu Taasisi na asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu zimetakiwa kufanya...

Januari Makamba, Mpina wakwama, Nape avuka uteuzi CCM

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Amos Makalla amejata majina ya wagombea sita wa  Jimbo...

Rais wa Yanga akatwa uteuzi Jimbo la Kigamboni, Jemedali, Shafii Dauda mambo mazuri

Na Mwandishi Wetu Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Hersi Saidi ameshindwa kupenya katika  uteuzi wa awali wa wagombea ubunge  Jimbo la Kigamboni kupitia Chama...

Watoto yatima watano wafariki dunia kwa moto

Na Mwandishi Wetu Watoto watano waliokuwa wanalelewa katika kituo cha watoto yatima cha Igambilo Manispaa ya Tabora, wamefariki dunia baada ya bweni walililokuwa wamelala kuteketea...

‘Dar Boxing Derby’ unaambiwa ulingo utatitia Leders Club kesho

Na Mwandishi Wetu Hatimaye ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na wadau, wapenzi wa ngumi imefika ambapo kesho yatapigwa mapambano ya ngumi za kulipwa ‘Dar...

Taifa Stars yawekewa bilioni moja CHAN

Na Mwandishi Wetu  Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, imeahidiwa kiasi cha fedha  shilingi bilioni moja  kama zawadi, ikifanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya...

Mbaroni kwa kumuua mama mkwe na kumjeruhi mkewe

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linamshikilia Jumanne Kibagi, mkazi wa kijiji cha Nyarufu wilayani Bunda kwa tuhuma za kumuua mama mkwe...

Polisi Babati yawafikia vijana  wakaa vijiweni, wacheza pool table

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Wilaya ya Babati mkoani  Manyara limewataka vijana kuacha tabia ya kukaa vijiweni na kucheza pool table asubuhi badala yake wajishughulishe...

Boti  ya mirungi kutoka Kenya yanaswa Tanga

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga, limekamata boti aina ya fibre, iliyokuwa ikisafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi kutoka nchini Kenya...

CCM yaja na mbinu mpya kudhibiti uzushi

Na Mwandishi Wetu Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kutumia nembo maalumu (QR Code) ya utambuzi wa taarifa zake ili kuzuia  na kudhibiti uzushi na upotoshaji. Kupitia...

Kenya yajitoa  mashindano ya  CECAFA 

Na Mwandishi Wetu Timu ya Taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ imejiondoa katika mashindano maalumu ya CECAFA  yaliyopangwa kuanza leo Julai 21,2025 jijini Arusha  kwa ajili  ya maandalizi...

Maajabu ya Betty Malange yazidi kupaa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mwimbaji anayekuja kwa juu kwenye muziki wa Injili nchini, Betty Malange, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa ya wimbo wake unaoitwa...

Recent articles

spot_img