23.4 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Bunge lamthibitisha Dk. Mwigulu kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, asubiri uapisho

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemthibitisha Dk. Mwigulu Nchemba, kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania akichukua nafasi ya Kassim Majaliwa,...

Waziri Mkuu mpya kujulikana kesho

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kesho Alhamisi Novemba 13, 2025 katika Kikao cha tatu cha Mkutano wa kwanza wa...

FIFA yampa majukumu Baraka Kuzuguto

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limemteua Mtanzania, Baraka Kizuguto kuwa Mratibu Mkuu wa michezo ya nusu fainali ya hatua za awali...

Nyota JKT Queens aipigia hesabu Asec Mimosa

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Mshambuliaji wa JKT Queens FC, Jamila Rajabu, amesema  amejipanga  kutengeneza  nafasi na kufunga mabao katika mchezo wa pili wa hatua ya...

Fountain Gate yatoa kocha bora

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Kocha wa timu ya Fountain Gate,  Mohamed Laizer amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Oktoba wa Ligi Kuu Bara msimu wa...

Mbunge kupitia ACT Wazalendo aeleza mtazamo wake bunge la 13

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini wa Chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu, amesema watanzania wanalitazama kwa umakini mkubwa Bunge la 13...

Rais Mwinyi azindua Baraza la Wawakilishi, ataja mwelekeo wa Serikali yake

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Baraza la 11 la Wawakilishi Zanzibar,...

Nana Miriam awaonjesha mashabiki ‘C’est Jesus’

Na MWANDISHI WETU MWIMBAJI anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Injili nchini Kongo, Nana Miriam ameachia kionjo cha wimbo mpya, C'est Jésus, alioshirikiana na Sylvain...

Rais Samia ateua wabunge sita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wabunge sita katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Taarifa ya uteuzi wa wabunge...

Zaidi ya washindi 400 wazawadiwa kupitia kampeni ya ‘Tamba na Bonasi’

Na Iman Nathaniel, Gazetini Zaidi ya washindi 400 wamejishindia zawadi mbalimbali kupitia kampeni inayoendeshwa HaloPesa inayoitwa Tamba na Bonasi'. Kupitia kampeni hiyo wateja wa HaloPesa wanapata...

Viongozi wa dini waendelea kihimiza amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha amani, umoja na uzalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,...

Simba nayo yaenda hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

Na Winfrida Mtoi Mabao ya ugenini yameibeba Simba kwenda makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya leo kulazimishwa suluhu na Nsingizini kwenye Uwanja wa...

Recent articles

spot_img