23.4 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Rais Samia: Yaliyotokea yameipunguzia sifa Tanzania, sioni shida kubadilisha mawaziri

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema yaliyotokea Oktoba 29, yameitia doa Tanzania na huenda yakaipunguzia sifa...

Watoto mapacha wajinyonga Pemba, kisa kazi za ndani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba linachunguza tukio la kujinyonga kwa watoto wawili wa kike wenye umri wa miaka 11,...

Yanga yatua Zanzibar kuisubiri AS FAR Rabat

Na Na Winfrida Mtoi, Gazetini Msafara wa kikosi cha Yanga umetua visiwani Zanzibar kwa maandalizi ya kuikabili AS FAR Rabat ya Morocco katika mchezo wa...

Baraza jipya la Mawaziri ‘surprise’, walioachwa, wapya na waliobaki

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza baraza jipya la mawaziri, akiunda jumla ya wizara 27, mbili zikiwa...

Mayele aingia tatu Bora Tuzo ya mchezaji Bora Afrika

Na Mwandishi Wetu Nyota wa Pyramids, Fiston Mayele ameingia katika tatu bora ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa  klabu kwa Afrika kwa mwaka...

Simba nje Tuzo za Klabu Bora Afrika

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Simba imeondolewa katika kinyang'anyiro cha kuwania Tuzo ya Klabu Bora Afrika ambapo CAF imetangaza timu tatu zilizoingia fainali ya kuwania...

MC Pilipili afariki dunia

Na Mwandishi Wetu Mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias 'MC Pilipili' amefariki dunia leo, Novemba 16, 2025. Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya  Mkoa wa Dodoma,...

Dk. Mwigulu: Mafaili yamfuate mjamzito kitandani, marufuku

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba leo Novemba 15, 2025 amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma...

Serikali kuunda Tume kuchunguza yaliyotokea Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais Samia Suluhu Hassan amesema amehuzunishwa na vurugu zilizotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 na kusema kuwa Serikali imeunda...

Rais Samia amuapisha Mwigulu, ampa tahadhari

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais Samia Suluhu Hassan amemuapisha Dk. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku akimtaka kuhakikisha anaongeza kasi...

Rais Mwinyi ateua Mawaziri, Wizara nne zawasubiri ACT Wazalendo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza uteuzi Mawaziri 20, watakaunda Baraza jipya litakalosimamia...

JKT Queens na matumaini nusu  fainali CAFWCL mbele ya TP Mazembe

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Baada ya timu ya JKT Queens kutoa sare mbili mfululizo Ligi ya Mabingwa Wanawake Afrika (CAFWCL), bado ina matumaini ya kutinga...

Recent articles

spot_img