Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema yaliyotokea Oktoba 29, yameitia doa Tanzania na huenda yakaipunguzia sifa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba linachunguza tukio la kujinyonga kwa watoto wawili wa kike wenye umri wa miaka 11,...
Na Na Winfrida Mtoi, Gazetini
Msafara wa kikosi cha Yanga umetua visiwani Zanzibar kwa maandalizi ya kuikabili AS FAR Rabat ya Morocco katika mchezo wa...
Na Mwandishi Wetu,Gazetini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza baraza jipya la mawaziri, akiunda jumla ya wizara 27, mbili zikiwa...
Na Mwandishi Wetu
Nyota wa Pyramids, Fiston Mayele ameingia katika tatu bora ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa klabu kwa Afrika kwa mwaka...
Na Mwandishi Wetu
Klabu ya Simba imeondolewa katika kinyang'anyiro cha kuwania Tuzo ya Klabu Bora Afrika ambapo CAF imetangaza timu tatu zilizoingia fainali ya kuwania...
Na Mwandishi Wetu
Mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias 'MC Pilipili' amefariki dunia leo, Novemba 16, 2025.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma,...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba leo Novemba 15, 2025 amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Rais Samia Suluhu Hassan amesema amehuzunishwa na vurugu zilizotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 na kusema kuwa Serikali imeunda...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Rais Samia Suluhu Hassan amemuapisha Dk. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku akimtaka kuhakikisha anaongeza kasi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza uteuzi Mawaziri 20, watakaunda Baraza jipya litakalosimamia...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Baada ya timu ya JKT Queens kutoa sare mbili mfululizo Ligi ya Mabingwa Wanawake Afrika (CAFWCL), bado ina matumaini ya kutinga...