23.4 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Mabondia kutishiana kabla ya Desemba 26

Na Winfrida Mtoi, Gazetini KUELEKEA pambano kubwa la kufunga mwaka maarufu ‘Boxing On Boxing Day, tayari mabondia wanaopanda ulingoni siku hiyo wakiongozwa na Hassan Mwakinyo,...

Dk.Mwigulu aagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima lifunguliwe

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba ameagiza kufunguliwa kwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, huku akielekeza lipewe miezi sita ya uangalizi katika...

Watuhumiwa 57 wa uhaini waachiwa huru

Na Mwandishi Wetu MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilemela imewaachia huru watuhumiwa 57 kati 61 wa kesi ya uhaini waliokuwa wakishikiliwa kufuatia  maandamano na matukio ya...

Miquissone aibipu Simba, atayaweza?

Na Winfrida Mtoi, Gazetini BAADA ya Simba kupoteza mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, winga wa zamani wa timu hiyo...

Simba hoi kwa Mkapa, Azam nayo mambo magumu

Na Winfrida Mtoi, Gazetini SIMBA imeshindwa kutamba nyumbani baada ya kufungwa na Petro de Luanda bao 1-0 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijjni Dar es...

Wadau mchezo wa kuogelea Afrika Mashariki wakutana, Serikali yaahidi kuunga mkono jitihada

Na Winfrida Mtoi, Gazetini WADAU wa mchezo wakuogelea Afrika Mashariki wamekutana kujadili maendeleo ya mchezo huo, huku Serikali ya Tanzania ikiahidi kuunga mkono jitihada zao...

Dube azima ngebe za waarabu

Na Winfrida Mtoi, Gazetini BAO pekee lililofungwa na Prince Dube dakika ya 58, limeipa Yanga alama tatu muhimu katika mchezo wa kwanza wa hatua ya...

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi akamatwe

Na Mwandishi WetuWaziri Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba, ameliagiza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzuia hati ya kusafiria ya mkandarasi anayejenga mradi...

Mexico yatwaa taji la Miss Universe 2025, Ivory Coast namba tano

Na Mwandishi Wetu Mexico imeibuka mshindi wa taji la Miss Universe 2025 kupitia mrembo wake Fatima Bosch, mwenye umri wa miaka 24.Fatima, anafahamika kwa uthubutu wake...

Yanga yaanika silaha za kuingamiza FAR Rabat

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Concalves amesema falsafa yake katika mechi ya kesho Novemba 22,2025 dhidi ya AS FAR Rabat ni...

Biteko akabidhi ofisi, aahidi kuendeleza ushirikiano

Na Mwandishi Wetu, Gazetini ALIYEKUWA Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko leo 20 Novemba, 2025 amemkabidhi  rasmi ofisi Waziri wa Nishati...

Rais Samia aagiza Tume kuchunguza, kujua haki wanayoidai vijana

Na Mwandishi Wetu, Gazetini RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ameielekeza Tume Huru ya Uchunguzi matukio yaliyotokea uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba...

Recent articles

spot_img