24.7 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

MwanaFA awaita wadau kujitokeza kusapoti ushiriki wa wanawake michezoni

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma 'MwanaFA' amewaomba wadau na wadhamini kujitokeza kusapoti ushiriki wa wanawake katika...

REA imefanya kazi kubwa ya kufikisha huduma za nishati vijijini- Waziri Ndejembi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi ameipongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kwa kufikisha umeme kwenye vijiji na maeneo ya pembezoni mwa...

Ridhiwani:Niko tayari kuhojiwa kuhusu tuhuma za Lake Oil

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema yuko tayari kuitwa na Sekretarieti...

Uwanja wa Mkwakwani wafungiwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeufungia Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kutumika kwa michezo ya Ligi kwa kukosa vigezo vya kikanuni na...

Tuzo za TFF za msimu wa 2024/25 zayeyuka

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa ya kuahirisha hafla ya utoaji tuzo za msimu  wa 2024/25 ziliyopangwa kufanyika Desemba 5, 2025,...

Bondia Mrembo akabidhiwa Mmalawi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini BONDIA Debora Mwenda maarufu Bondia Mrembo, ameahidi kuiwakilisha vizuri Tanzania dhidi ya Mariam Dick kutoka Malawi watakapokutana katika pambano la Box...

Chuo cha Malya chawafunda wakufunzi wa gym

Na Winfrida Mtoi, Gazetini CHUO cha Maendeleo ya Michezo Malya kinaendesha mafunzo maalum kwa wakufunzi wa gym  na makocha wa viungo ili kuwaongezea ujuzi na...

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu  ajiuzulu TEF

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKURUGENZI wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bakari Machumu amejiuzulu nafasi ya makamu mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF).Machumu amekabidhi barua...

Wanariadha 155 kuchuana Ladies First 2025 kwa Mkapa

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Jumla ya wanariadha wanawake 155, wanatarajiwa kushiriki katika msimu wa saba wa mashindano ya riadha maarufu 'Ladies First' yatakayofanyika kuanzia Novemba...

Waziri Mkuu aeleza sababu yakutotaja idadi vifo vilivyotokea Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema ni muhimu watanzania kutanguliza utu na heshima kwa familia zilizopoteza wapendwa wao, akipinga namna ambavyo...

Niffer arudishwa rumande, 20 kesi ya uhaini waachiwa huru

Na Mwandishi Wetu, Gezetini Watuhumiwa 20 kati ya 22 waliokuwa wanashtakiwa kwa makosa ya uhaini wameachiwa huru, huku mfanyabiashara wa vipodozi Jenifer Jovin (26) maarufu...

Wizara ya Madini yafuta leseni 73 za uchimbaji na utafiti

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amefuta leseni 73 za utafiti na uchimbaji wa kati baada ya wamiliki wake kushindwa kurekebisha makosa...

Recent articles

spot_img