Ads: info@gazetini.co.tz |
22.2 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Watu milioni tatu hatarini kupata Ukimwi mwaka 2030

RIO, Brazil KWA mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa kupitia Programu yake ya Ukimwi (UNAIDS), watu zaidi ya milioni tatu watakuwa na maambukizi ya...

Vyakula hivi kiboko ya ugonjwa wa kiharusi

Na mwandishi wetu, Gazetini WATU takribani 795,000 hupata kiharusi (kupooza) kila mwaka nchini Marekani, huku wataalamu wakionya juu ya mtindo wa maisha, pia wakishauri aina...

Sikia hii ya unga wa protini kujenga mwili, kupunguza uzito

Na mwandishi wetu, Gazetini MARA kadhaa baadhi ya wataalamu wa mazoezi ya viungo huko mitandaoni, hasa TitTok na Instagram wamekuwa wakihimiza matumizi ya protini kwa...

Argentina, Uingereza zinagombea Visiwa hivi

LONDON, Uingereza 'MALVINA ni Argentina' ni ujumbe uliosomeka katika bango walilobeba wachezaji wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina baada ya kuifunga England katika...

Usajili unaoakisi uchumi wa klabu au mfuko wa tajiri?

Na Hassan Mwasha NIMEFUATILIA ubize wa vigogo wa soka la Tanzania, Yanga na Simba, katika soko la usajili wa dirisha kubwa kuelekea msimu mpya wa...

Nyota sita Argentina kupigwa ‘stop’ Kombe la Dunia

NYON, Uswis WACHEZAJI wapatao sita wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina huenda wakafungiwa kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwaka 2030. Kwa...

Davido kuibukia uigizaji wa ‘muvi’

LAGOS, Nigeria SUPASTAA wa muziki wa Afrobeats, Davido, ameeleza nia yake ya kuwa mwigizaji kwenye soko la filamu nchini Nigeria (Nollywood). Katika mahojiano yake ya hivi...

Infantino anyoosha mikono, aachana na mpango wake

NYON, Uswis HATIMAYE Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametangaza kuachana na mpango wake wa kuuza hisa za Kombe la Dunia...

Rais aliyehukumiwa miaka 15 gerezani aachiwa

LIMA, Peru MAHAKAMA ya Katiba ya Peru imeamuru kuachiwa huru kwa Rais wa zamani wa Taifa hilo, Ollanta Humala, ambaye alihukumiwa kifungo cha miaka 15...

Kocha Bafana Bafana aachia ngazi

PRETORIA, Afrika Kusini LICHA ya kuiwezesha timu ya soka ya Taifa ya Afrika Kusini 'Bafana Bafana' kufika hatua ya mtoano katika fainali za Kombe la...

Howe kuachia benchi Newcastle

LONDON, Uingereza HUENDA kocha wa Newcastle United, Eddie Howe, akaachia ngazi katika benchi la ufundi la timu hiyo, kwa mujibu wa mwandishi wa habari maarufu,...

Arteta asema msimu ujao wanabeba tena

LONDON, Uingereza KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amewaahidi makubwa mashabiki wa timu hiyo, akisema watarajie tena ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL). Arsenal walimaliza msimu...

Recent articles

spot_img