LONDON, Uingereza
KLABU ya Sunderland imeanza kuiwinda saini ya winga wa kimataifa wa England, Jack Grealish, kwa mujibu wa mtandao wa Football Insider.
'Black Cats' wanaitaka...
MERSEYSIDE, Uingereza
KOCHA wa Everton, David Moyes, ameungana na mashabiki wa timu hiyo akisema walikuwa sahihi kwa kile walichokifanya wakati wa mchezo wao wa sare...
QUITO, Ecuador
RAIS wa zamani wa Ecuador, Lenín Moreno, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano gerezani baada ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya rushwa.
Mwanasiasa huyo...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester City imeanza mazungumzo na Liverpool ikijaribu kuishawishi iwauzie winga raia wa Ureno, Cody Gakpo.
Man City imechukua hatua huku dirisha kubwa...
LUSAKA, Zambia
KIONGOZI wa siasa za upinzani nchini Zambia, Brian Mundubile, na mgombea mwenzake wake katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni, Makebi Zulu, wameshikiliwa na...
LUSAKA, Zambia
LICHA ya kutangazwa mshindi katika Uchaguzi Mkuu wa hivi karibuni, Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema, anakabiliwa na presha kubwa ya ‘kumtuliza’ mpinzani wake,...
LOS ANGELES, Marekani
UNAMFAFAMU Selena Gomez? Bibiye anayefanya vizuri kwenye soko la muziki nchini Marekani, pia akiwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na staa wa...
LONDON, Uingereza
MPACHIKAJI mabao wa Arsenal raia wa Brazil, Gabriel Jesus, yuko mbioni kujiunga na wakongwe wa La Liga, Atletico Madrid.
Mtaalamu wa habari za usajili...
RIYADH, Saudi Arabia
NAHODHA wa Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, ameweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa klabu hiyo.
Ronaldo ameandika historia hiyo jana Agosti...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS Donald Trump amesema Marekani imefikia makubaliano ya kudhibiti mapipa zaidi ya bilioni 65 ya mafuta ghafi kutoka Venezuela.
Kwa mujibu wa Rais...
NIAMEY, Niger
WANANCHI wa Niger wamelala usiku wa kuamkia leo wakiwa na hofu baada ya milio ya risasi na risasi na bunduki kusikika mjini Niamey.
Washambuliaji...