LONDON, Uingereza
KOCHA wa zamani wa Manchester City, Pep Guardiola, amemtaja Neymar kuwa ndiye mchezaji aliyetamani zaidi kufanya naye kazi.
Wawili hao walipishana Barcelona kwani wakati Guardiola...
LONDON, Uingereza
MKONGWE wa soka, Zlatan Ibrahimovic, amemtaka Zinedine Zidane kutua katika benchi la ufundi la timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa endapo atarudi kazini.
Ibrahimovic...
KAMPALA, Uganda
AJALI ya basi la shule imesababisha vifo vya wanafunzi 20, pamoja na mtu mzima mmoja, katika eneo la Kapchorwa, Mashariki mwa Uganda.
Taarifa ya polisi imeeleza...
LAGOS, Nigeria
HUO ni ushauri wa staa wa mtandao wa TikTok nchini Nigeria, Amadou Elizabeth Aminata, maarufu kwa jina la Jarvis.
Jarvis amekuja na ujumbe huo kwa...
LAGOS, Nigeria
STAA wa Afrobeats, David Adeleke, maarufu Davido, amesema watoto wake wamemuuliza kwanini hawakupatikana kwa mama mmoja.
Mwanamuziki huyo ana watoto sita katika mahusiano yake na...
MIAMI, Marekani
AKIWA na umri wa miaka 91 kwa sasa, Enrique Macaya Marquez ni miongoni mwa waandishi wa habari walioko Marekani wakisubiri kuripoti mechi ya...
MIAMI, Marekani
LICHA ya matumaini makubwa waliyokuwa nayo, mashabiki wa timu ya soka ya Taifa ya England wamelikosa tena taji la fainali za Kombe la...
TEHRAN, Iran
TANGU Iran ilipomzika Ayatollah Ali Khamenei siku chache zilizopita, mamlaka za nchi hiyo zimeahidi kulipiza kisasi kwa wahusika wa mauaji ya kiongozi wao huyo.
Mtoto...
MIAMI, Marekani
NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi, amezipuuza taarifa zinazodai kuwa wanabebwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).
Messi...
MIAMI, Marekani
LEJENDARI wa soka, Zlatan Ibrahimovic, ameibuka baada ya timu ya soka ya Taifa ya England kufungwa mabao 2-1 na Argentina katika mchezo wa usiku...