Ads: info@gazetini.co.tz |
23.9 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Barcelona mbioni kumchukua Gordon

CATALUNYA, Hispania KLABU ya Barcelona imeripotiwa kuingia kwenye hatua za mwisho za kumsajili winga wa Newcastle United, Anthony Gordon, ambaye pia anazitoa udenda Arsenal na...

Arteta: PSG hawasumbui, tumejipanga

LONDON, Uingereza KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, ana imani kubwa na kikosi chake, akisema wamejipanga kuikabili PSG na kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya...

Uganda, Kenya macho yote Yanga, Simba vita ya ubingwa Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini WAKATI Uganda na Kenya zikiwa zimeshapata mabingwa wa msimu huu katika Ligi Kuu zao, hapa nchini bado 'ugali moto, mboga moto'...

Mabilionea wenye umri mdogo zaidi duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini TAKRIBANI nusu ya mabilionea wenye umri mdogo duniani (chini ya miaka 30) walipata utajiri huo kupitia biashara walizorithi kutoka katika familia...

Arsenal yatabiriwa kipigo fainali ya UEFA

LONDON, Uingereza BEKI wa zamani wa Manchester United, Gary Neville, ameitabiria ushindi PSG katika fainali yao ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Washika Bunduki...

Xabi Alonso apewa ushauri Chelsea

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Ligi Kuu ya England (EPL), Paul Merson, amemtaka kocha mpya wa Chelsea, Xabi Alonso, kumrudisha kikosini straika Nicolas Jackson. Baada ya kushindwa...

Mabosi United wamrudisha mezani Bruno

MANCHESTER, Uingereza UONGOZI wa Manchester United umesitisha mpango wake wa kumpiga bei Bruno Fernandes baada ya kiwango kizuri alichokionesha kiungo huyo raia wa Ureno msimu...

Olise: Ureno haimtegemei tena Ronaldo

MUNICH, Ujerumani WINGA wa Bayern Munich, Michael Olise, amesema kwa sasa timu ya Taifa ya Ureno haimtegemei nahodha wake, Cristiano Ronaldo. Na badala yake, Olise raia...

Mama mzazi wa Hayati Magufuli afariki dunia Chato

Na mwandishi wetu, Gazetini MAMA mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dk. John Pombe Magufuli, Mama...

Nchi zinazoongoza matumizi ya AI duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA utafiti wake, Kampuni ya Microsoft imebaini kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ndiyo nchi inayoongoza kwa matumizi ya 'akili-unde'...

Urafiki uliogeuka uadui kati ya Rais, Waziri Mkuu Senegal

DAKAR, Senegal IJUMAA ya wiki hii, Mei 22, 2026, Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, alimfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, hatua iliyoambatana na...

Yanga yaibamiza Namungo, yarudi kileleni ikiisubiri Mashujaa

Na Hassan Mwasha, Gazetini YANGA imerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara bada ya ushindi mnono wa mabao 3-1 walioupata mbele ya Namungo katika...