LOS ANGELES, Marekani
STAA wa mchezo wa gofu, Tiger Woods, amerejea uraiani tangu alipokamatwa kwa kesi ya kuendesha gari akiwa amelewa pombe.
Woods, bingwa wa dunia...
MANCHESTER, Uingereza µ
BARCELONA iko tayari kukaa mezani na Manchester United na kujadili dili la mshambuliaji raia wa Hispania, Ferran Torres.
Torres aliyewahi kukipiga Manchester City,...
RIO, Brazil
MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Raphinha, amerejea klabuni hapo akitokea katika kambi ya timu ya taifa ya Brazil.
Raphinha amelazimika kurejea Barcelona kwa ajili ya matibabu...
KAMPALA, Uganda
MKUU wa majeshi wa Uganda amesema wako tayari muda wowote kuisaidia Israel endapo itazidiwa nguvu katika vita dhidi ya Iran.
Hata hivyo, Jenerali Muhoozi...
DHAKA, Bangladesh
WATU takribani 24 wamepoteza maisha baada ya basi walilokuwamo kupinduka na kuingia mtoni mjini Dhaka, Bangladesh.
Ajali hiyo imetokea leo Machi 26, 2026 wakati...
NYON, Uswis
MAHAKAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imekiri kupokea malalamiko ya Shirikisho la Soka la Senegal.
FSF wamefikisha ombi la kupinga kile kilichofanywa...
MANCHESTER, Uingereza
ANAONDOKA au anabaki? Beki wa kati wa Manchester United, Harry Maguire, amefunguka juu ya hatima yake klabuni hapo.
Mlinzi huyo wa kimataifa wa England...
MADRID, Hispania
HAKUNA kitu kama hicho. Staa wa Real Madrid, Vinicius Jr, amepuuzia ripoti zinazodai kuwa ataondoka klabuni hapo.
Vinicius alikuwa kwenye wakati mbaya chini ya...
Na Benjamin Madaha
WAFANYABIASHARA, vijana na hata waajiriwa kuna kanuni moja ya uchumi wa kipato ambayo watu wengi hawaielewi mapema.
Utajiri haujengwi kwa kipato cha...
Na Imani Nathaniel, Dar es Salaam
Mhasibu Hamid Ahmed Hussein, mkazi wa Ocean Road jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...
TEHRAN, Iran
MSEMAJI wa jeshi la Iran ametoa kauli ngumu akiimbia Marekani kuwa inapoteza muda katika mpango wa kutaka pande mbili hizo kukaa mezani.
"Watu kama...
LOS ANGELES, Marekani
LEJENDARI wa muziki wa Hip hop, Jay-Z, amesema hana upande katika bifu linaloendelea kati ya marapa Drake na Kendrick Lamar.
Kwa kauli hiyo,...