CATALUNYA, Hispania
KLABU ya Barcelona imeripotiwa kuingia kwenye hatua za mwisho za kumsajili winga wa Newcastle United, Anthony Gordon, ambaye pia anazitoa udenda Arsenal na...
LONDON, Uingereza
KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, ana imani kubwa na kikosi chake, akisema wamejipanga kuikabili PSG na kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
WAKATI Uganda na Kenya zikiwa zimeshapata mabingwa wa msimu huu katika Ligi Kuu zao, hapa nchini bado 'ugali moto, mboga moto'...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TAKRIBANI nusu ya mabilionea wenye umri mdogo duniani (chini ya miaka 30) walipata utajiri huo kupitia biashara walizorithi kutoka katika familia...
LONDON, Uingereza
BEKI wa zamani wa Manchester United, Gary Neville, ameitabiria ushindi PSG katika fainali yao ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Washika Bunduki...
LONDON, Uingereza
MKONGWE wa Ligi Kuu ya England (EPL), Paul Merson, amemtaka kocha mpya wa Chelsea, Xabi Alonso, kumrudisha kikosini straika Nicolas Jackson.
Baada ya kushindwa...
MANCHESTER, Uingereza
UONGOZI wa Manchester United umesitisha mpango wake wa kumpiga bei Bruno Fernandes baada ya kiwango kizuri alichokionesha kiungo huyo raia wa Ureno msimu...
MUNICH, Ujerumani
WINGA wa Bayern Munich, Michael Olise, amesema kwa sasa timu ya Taifa ya Ureno haimtegemei nahodha wake, Cristiano Ronaldo.
Na badala yake, Olise raia...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA utafiti wake, Kampuni ya Microsoft imebaini kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ndiyo nchi inayoongoza kwa matumizi ya 'akili-unde'...
DAKAR, Senegal
IJUMAA ya wiki hii, Mei 22, 2026, Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, alimfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, hatua iliyoambatana na...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
YANGA imerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara bada ya ushindi mnono wa mabao 3-1 walioupata mbele ya Namungo katika...