Ads: info@gazetini.co.tz |
22.4 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

RaceBetter, Mont International School kutoa mafunzo ya kuogelea bure Dar

Na mwandishi wetu, Gazetini WADAU wa mchezo wa uogeleaji Tanzania wanatarajiwa kunufaika na mafunzo ya kiwango cha kimataifa kupitia programu ya wiki tatu iliyolenga kukuza...

Dhahabu ya Sh bilioni 1.2 yakamatwa Dar, Mavunde atoa onyo

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI kupitia Wizara ya Madini imekamata dhahabu yenye uzito wa gramu 4,402.20 na thamani ya zaidi ya Sh bilioni 1.2 katika...

Rais wa Senegal azindua chama chake

DAKAR, Senegal RAIS wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amezindua chama kipya cha kisiasa kiitwacho Kiiray (Chama cha Wazalendo wa Jamhuri), hatua inayotajwa kuimarisha mgawanyiko...

Brazil yawapiga ‘stop’ viongozi wa Marekani

RIO, Brazil SERIKALI ya Brazil imewanyima vibali vya kuingia nchini humo viongozi wawili waandamizi wa Serikali ya Rais Donald Trump. Viongozi hao waliomba viza ya kuingia...

Meli ya mizigo yazama, watu 23 hawajulikani walipo

BEIJING, China MELI ya mizigo ya Vietnam imeripotiwa kuzama jirani na Mwamba wa Yongshu katika Bahari ya South China. Vyombo vya habari vya China vimeripotiwa taarifa...

Waisrael washutumiwa kuchoma misikiti ya Wapalestina

JERUSALEM, Palestina RAIA wa Israel wanaoishi West Bank wameripotiwa kuchomo moto misikiti, magari na mashamba ya Wapalestina katika eneo hilo. Madai hayo yanakuja zikiwa ni siku...

IWPG: Tusikubali vita kuwa jambo la kawaida

Na mwandishi wetu, Gazetini VIONGOZI wa wanawake kutoka Afrika, Ulaya na maeneo mengine duniani wametoa wito wa kuimarishwa kwa juhudi za kujenga amani duniani, wakisisitiza...

Hao ni wachambuzi au ‘wachafuzi’ wa Bongo Fleva?

Na Hassan Mwasha, Gazetini KICHEFUCHEFU! Ndicho unachoweza kuhisi pindi tu unapoingia kwenye mitandao ya kijamii na kukutana na hao wanaojiita 'wachambuzi' wa muziki wa kizazi...

Karim Khan: Kuigusa Israel kumemfukuzisha kazi ICC?

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE Karim Khan ameondoshwa katika kiti cha Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Kashfa ya unyanyasaji wa...

Maeneo wanayokimbilia wahamiaji nchini Marekani

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA mwaka 2025, idadi ya wahamiaji nchini Marekani ilipungua kutoka milioni 2.7 hadi milioni 1.3, idadi ndogo zaidi katika historia ya...

Rais Trump na maswali yanayokosa majibu kuhusu Iran

TEHRAN, Iran VITA vinaendelea. Si Marekani wala Iran, kila upande umekiuka makubaliano ya kusitisha vita yaliyoingiwa na pande mbili hizo wiki chache zilizopita. Wakati vita vinaanza...

Unaitumiaje wikiendi yako?

Na mwandishi wetu, Gazetini UTAFITI wa Shirika la Takwimu za Kazi la Marekani umefichua namna watu nchini humo wanavyozitumia siku zao mbili za mapumziko ya...