24.5 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Tiger Woods aachiwa kwa dhamana

LOS ANGELES, Marekani STAA wa mchezo wa gofu, Tiger Woods, amerejea uraiani tangu alipokamatwa kwa kesi ya kuendesha gari akiwa amelewa pombe. Woods, bingwa wa dunia...

United kumsajili Torres?

MANCHESTER, Uingereza µ BARCELONA iko tayari kukaa mezani na Manchester United na kujadili dili la mshambuliaji raia wa Hispania, Ferran Torres. Torres aliyewahi kukipiga Manchester City,...

Raphinha ang’olewa kikosini Brazil

RIO, Brazil MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Raphinha, amerejea klabuni hapo akitokea katika kambi ya timu ya taifa ya Brazil. Raphinha amelazimika kurejea Barcelona kwa ajili ya matibabu...

Uganda: Tutaishambulia Iran kuilinda Israel

KAMPALA, Uganda MKUU wa majeshi wa Uganda amesema wako tayari muda wowote kuisaidia Israel endapo itazidiwa nguvu katika vita dhidi ya Iran. Hata hivyo, Jenerali Muhoozi...

Basi laingia mtoni, watu 24 wafariki

DHAKA, Bangladesh WATU takribani 24 wamepoteza maisha baada ya basi walilokuwamo kupinduka na kuingia mtoni mjini Dhaka, Bangladesh. Ajali hiyo imetokea leo Machi 26, 2026 wakati...

Senegal walifikisha jambo lao CAS

NYON, Uswis MAHAKAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imekiri kupokea malalamiko ya Shirikisho la Soka la Senegal. FSF wamefikisha ombi la kupinga kile kilichofanywa...

Maguire aanika hatima yake Old Trafford

MANCHESTER, Uingereza ANAONDOKA au anabaki? Beki wa kati wa Manchester United, Harry Maguire, amefunguka juu ya hatima yake klabuni hapo. Mlinzi huyo wa kimataifa wa England...

Vinicius: Bado nipo sana Madrid

MADRID, Hispania HAKUNA kitu kama hicho. Staa wa Real Madrid, Vinicius Jr, amepuuzia ripoti zinazodai kuwa ataondoka klabuni hapo. Vinicius alikuwa kwenye wakati mbaya chini ya...

Mshahara haukupi utajiri, mwajiriwa zinduka mapema

Na Benjamin Madaha WAFANYABIASHARA, vijana na hata waajiriwa kuna kanuni moja ya uchumi wa kipato ambayo watu wengi hawaielewi mapema. Utajiri haujengwi kwa kipato cha...

Mhasibu afikishwa Kisutu kwa mashtaka 43 ya uhujumu uchumi

Na Imani Nathaniel, Dar es Salaam Mhasibu Hamid Ahmed Hussein, mkazi wa Ocean Road jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

Iran: Marekani isijisumbue, vita bado mbichi

TEHRAN, Iran MSEMAJI wa jeshi la Iran ametoa kauli ngumu akiimbia Marekani kuwa inapoteza muda katika mpango wa kutaka pande mbili hizo kukaa mezani. "Watu kama...

Jay-Z alikwepa ‘bifu’ la Drake, Lamar

LOS ANGELES, Marekani LEJENDARI wa muziki wa Hip hop, Jay-Z, amesema hana upande katika bifu linaloendelea kati ya marapa Drake na Kendrick Lamar. Kwa kauli hiyo,...