Na mwandishi wetu, Gazetini
WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amesema makaa ya mawe yana nafasi ya kimkakati katika kuharakisha mageuzi ya uchumi wa Tanzania kuelekea...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Crispin Chalamila, amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwapo kwa mtandao...
ACCRA, Ghana
WATU watatu, wakiwamo wanawake wawili, wameripotiwa kupoteza maisha baada ya jengo la ghorofa mbili la kanisa kuporomoka mjini Accra.
Waziri wa Mambo ya Ndani,...
TEHRAN, Iran
WANAUME wawili nchini Iran wamekumbana na adhabu ya kunyongwa baada ya kubainika kujihusisha na upinzani dhidi ya Serikali.
Wawili hao waligundulika kuwa sehemu ya...
CAIRO, Misri
SAMSON Adamu raia wa Nigeria ndiye aliyeteuliwa kukalia kwa muda kiti cha Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF).
Uteuzi wake ndani ya...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United imeelekeza nguvu zake kwa Sandro Tonali na kuachana na staa mwenzake wa Newcastle United, Bruno Guimaraes.
Hata hivyo, kumshawishi Tonali...
MERSEYSIDE, England
KINARA wa upachikaji mabao wa Sporting Lisbon ya Ureno, Luis Suarez Charris, ameingia kwenye rada za vigogo wa Ligi Kuu ya England, Liverpool.
Liverpool...
CATALUNYA, Hispania
MABOSI wa Barcelona wamempa sharti la kukubali kupunguziwa mshahara mshambuliaji wao raia wa Poland, Robert Lewandowski.
Ofa waliyofika nayo mezani kwake ni ya mkataba...
LONDON, Uingereza
ARSENAL wako mstari wa mbele katika mbio za kuinasa saini ya mshambuliaji tishio wa Ligi Kuu ya Ubelgiji, Nicolo Tresoldi.
Nyota huyo wa U-21...
LONDON, Uingereza
KIUNGO wa zamani wa timu ya taifa ya England, David Beckham, amesema haelewi sababu ya kocha Thomas Tuchel kutomuita kikosini beki Trent Alexander-Arnold.
Tuchel...
TEHRAN, Iran
KIKUNDI kinachohusishwa na ugaidi cha Houthis cha nchini Yemen kimeanzisha mashambulizi dhidi ya Israel.
Siasa za kimataifa zinakitaja kikundi hicho kupata ufadhili wa fedha,...
MIAMI, Marekani
NYOTA anayeshika nafasi ya pili kwa ubora duniani, Jannik Sinner, ameingia fainali ya michuano ya Miami Open baada ya kumtandika Alexander Zverev.
Sinner ameshinda...