24.5 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Makaa ya mawe injini mpya ya mageuzi ya viwanda

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amesema makaa ya mawe yana nafasi ya kimkakati katika kuharakisha mageuzi ya uchumi wa Tanzania kuelekea...

TAKUKURU yafichua wizi wa Sh bilioni 147.5 kupitia kadi za benki

Na mwandishi wetu, Gazetini MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Crispin Chalamila, amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwapo kwa mtandao...

Jengo la kanisa laua watatu, waziri afunguka

ACCRA, Ghana WATU watatu, wakiwamo wanawake wawili, wameripotiwa kupoteza maisha baada ya jengo la ghorofa mbili la kanisa kuporomoka mjini Accra. Waziri wa Mambo ya Ndani,...

Wawili wanyongwa Iran

TEHRAN, Iran WANAUME wawili nchini Iran wamekumbana na adhabu ya kunyongwa baada ya kubainika kujihusisha na upinzani dhidi ya Serikali. Wawili hao waligundulika kuwa sehemu ya...

Huyu ndiye Katibu Mkuu mpya CAF, aanza na rekodi

CAIRO, Misri SAMSON Adamu raia wa Nigeria ndiye aliyeteuliwa kukalia kwa muda kiti cha Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Uteuzi wake ndani ya...

United yamtaka Tonali, yampotezea Guimaraes

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imeelekeza nguvu zake kwa Sandro Tonali na kuachana na staa mwenzake wa Newcastle United, Bruno Guimaraes. Hata hivyo, kumshawishi Tonali...

Liverpool kung’oa straika Ureno

MERSEYSIDE, England KINARA wa upachikaji mabao wa Sporting Lisbon ya Ureno, Luis Suarez Charris, ameingia kwenye rada za vigogo wa Ligi Kuu ya England, Liverpool. Liverpool...

Lewandowski kukatwa mshahara Barcelona

CATALUNYA, Hispania MABOSI wa Barcelona wamempa sharti la kukubali kupunguziwa mshahara mshambuliaji wao raia wa Poland, Robert Lewandowski. Ofa waliyofika nayo mezani kwake ni ya mkataba...

Straika wa mabao 17 aibukia Arsenal

LONDON, Uingereza ARSENAL wako mstari wa mbele katika mbio za kuinasa saini ya mshambuliaji tishio wa Ligi Kuu ya Ubelgiji, Nicolo Tresoldi. Nyota huyo wa U-21...

Beckham amtolea uvivu Tuchel

LONDON, Uingereza KIUNGO wa zamani wa timu ya taifa ya England, David Beckham, amesema haelewi sababu ya kocha Thomas Tuchel kutomuita kikosini beki Trent Alexander-Arnold. Tuchel...

Israel kazi wanayo, magaidi Yemen waingia vitani

TEHRAN, Iran KIKUNDI kinachohusishwa na ugaidi cha Houthis cha nchini Yemen kimeanzisha mashambulizi dhidi ya Israel. Siasa za kimataifa zinakitaja kikundi hicho kupata ufadhili wa fedha,...

Sinner atinga fainali Miami Open

MIAMI, Marekani NYOTA anayeshika nafasi ya pili kwa ubora duniani, Jannik Sinner, ameingia fainali ya michuano ya Miami Open baada ya kumtandika Alexander Zverev. Sinner ameshinda...