Ads: info@gazetini.co.tz |
31.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Baada ya Tupac, sasa ni msako wa aliyemuua B.I.G.?

LOS ANGELES, Marekani UTATA uliodumu wa miaka 30 umepatiwa ufumbuzi hivi karibuni baada ya Duane Davis, maarufu kwa jina la Keffe D, kukutwa na hatia...

Vijana Afrika wanavyotumika vita vya Urusi, Ukraine

YOUNDE, Cameroon CAMEROON inatajwa kuwa moja ya nchi zinazotoa vijana wengi walioko vitani kulisaidia jeshi la Urusi dhidi ya Ukraine. Mbaya zaidi, vijana hao hawaendi...

Nini hatima ya Novak Djokovic?

NEW YORK, Marekani STAA huyo wa tenesi raia wa Serbia anapitia wakati mgumu. Ametoka kutolewa katika raundi ya kwanza ya msimu huu wa michuano ya...

Messi hana deni Argentina, akapumzike tu!

BUENOS AIRES, Argentina ‘NIMETOA kila kitu, sina nilichobakiza.’ Ni kauli ya Lionel Messi wakati alipotangaza hivi karibuni, kwamba amestaafu kuitumikia timu ya soka ya Taifa...

Lionel Richie; Mtoto wa mwanajeshi aliyeacha uchungaji kisa muziki

LOS ANGELES, Marekani LEJENDARI wa muziki wa Soul na R&B nchini Marekani, Lionel Richie, alikimbizwa hospitali wikiendi iliyopita, kisha kuwekwa ‘ICU’ mjini St. Louis. Richie (77),...

Msigwa atoa onyo kutumia vibaya vitambulisho vya NIDA

Na Esther Mnyika, Gazetini MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewaonya wananchi dhidi ya kukabidhi vitambulisho au namba zao za Taifa kwa watu wengine kwa...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (3)

Na mwandishi wetu, Gazetini UHASAMA mkubwa wa jamii ya Wahutu na Watutsi ulishuhudiwa tena mwaka 1990. Ni baada ya kundi la Rwandan Patriotic Front (RPF)...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (2)

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMA tulivyoanza katika sehemu iliyopita, mauaji ya halaiki yaliyotokea Rwanda mwaka 1994 yaliwahusisha Wahutu na Watutsi, ambayo ndiyo makabila makubwa zaidi...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (1)

Na mwandishi wetu, Gazetini SIKU chache zilizopita, Mahakama mjini The Hague, Uholanzi, ilimuhukumu kifungo cha maisha mwanaume aliyetambulika kwa jina la Eugene N baada ya...

EU yapiga marufuku nyama kutoka Brazil

RIO, Brazil UMOJA wa Ulaya (EU) umeweka katazo kwa nchi zake kuingiza nyama kutoka Brazil, ikieleza kuwa hatua hiyo inatokana na sababu za kiafya. Kwa mujibu...

Mahakama: Keffe D ndiye aliyemuua Tupac

LOS ANGELES, Marekani MAHAKAMA nchini Marekani imemkuta na hatia kiongozi wa zamani wa genge la uhalifu, Duane Davis 'Keffe D', katika kesi ya mauaji ya...

Benzema avunjiwa mkataba Saudi Arabia

RIYADH, Ureno KLABU ya Al Hilal imethibitisha kuachana rasmi na straika wake raia wa Ufaransa, Karim Benzema, ikieleza kuwa ni makubaliano ya pande mbili. Benzema aliyewahi...