Na Hassan Mwasha, Gazetini
YANGA imerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara bada ya ushindi mnono wa mabao 3-1 walioupata mbele ya Namungo katika...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HIYO ni kwa mujibu wa takwimu za tovuti ya Our World in Data, kwamba mbu ndiyo wadudu/wanyama wanaosababisha vifo vingi vya...
TEHRAN, Iran
MAREKANI inaitaja Iran kama mfadhili wa vikundi vyote vya kigaidi vilivyopo Mashariki ya Kati. Kwamba tangu ilipofanya mapinduzi mwaka 1979, imekuwa chanzo cha...
LONDON, Uingereza
ALIPOTEULIWA kuinoa Tottenham, kocha Roberto De Zerbi alikiri wazi mbele ya waandishi wa habari, kwamba ana bahati mbaya kuajiriwa wakati ambao timu timu...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
BAO pekee la Elie Mpanzu katika mchezo dhidi ya Dodoma Jiji limeiwezesha Simba kushika usukani wa msimamo wa Ligi Kuu Bara...
LONDON, Uingereza
UKIWEKA kando Arsenal kutwaa ubingwa, msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL) umeshuhudia viwango bora vya wachezaji waliosajiliwa na klabu mbalimbali.
Nyota hao...
MANCHESTER, Uingereza
PEP Guardiola amekamilisha projekti aliyopewa wakati anaajiriwa na Manchester City mwaka 2016. Kuifanya klabu hiyo kuwa tishio barani Ulaya. Amefanikiwa.
Wakati huu akijiandaa kuondoka,...
NYON, Uswis
HIVI unafahamu kuwa zimeshafungwa 'hat-trick' 54 katika historia ya michuano ya soka ya Kombe la Dunia kwa wanaume tangu ilipoanza mwaka 1930?
Chukua hiyo....
WASHINGTON DC, Marekani
ALIYEWAHI kuwa mke wa mtoto wa Rais Donald Trump aitwaye Donald Trump Jr, Vanessa, amegundulika kuwa na ugonjwa wa saratani ya matiti.
Vanessa...
MOGADISHU, Somalia
MAHARAMIA wanaoteka meli nchini Somalia wameripotiwa kunufaika na mgogoro unaoendelea Mashariki ya Kati ukizihusisha Marekani na Israel kwa upande mmoja na na Iran...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres, atamaliza muda wake Desemba, 2026, na tayari mbio za kusaka mrithi wake...