Ads: info@gazetini.co.tz |
31.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Gari la watalii latumbukia mtoni Serengeti, wageni watoka salama

Na mwandishi wetu, Gazetini GARI la watalii limetumbukia mtoni katika eneo la Kogatende, Kivuko cha Nyumbu Namba Moja, ndani ya Hifadhi ya Taifa Serengeti, huku...

Dolly azikwa jirani na mumewe

LOS ANGELES, Marekani MKONGWE wa muziki wa Country, Dolly Parton, amezikwa Ijumaa ya wiki iliyopita, Agosti 29, 2026 mjini Tennessee, Marekani. Taarifa zinaeleza kuwa Dolly aliyefariki...

Liverpool yakamilisha usajili wa Barcola

MERSEYSIDE, Uingereza HATIMAYE mshambuliaji raia wa Ufaransa, Bradley Barcola, amejiunga na Liverpool akitokea PSG, usajili huo ukigharimu kitita cha Pauni milioni 123. PSG walitaka Pauni milioni...

Iran, Marekani zashambuliana tena

TEHRAN, Iran KWA mara ya kwanza baada ya wiki mbili, Iran na Marekani zimeshambuliana katika Mlango-Bahari wa Hormuz. Kwa mujibu wa taarifa, vikosi vya kijeshi vya...

Watkins: Sikutaka kuondoka Villa

LONDON, Uingereza STRAIKA Ollie Watkins ameeleza masikitiko yake ya kuondoka klabuni hapo, akisema hakupenda kuachana nayo kwa staili hiyo. Watkins (30), amejiunga na Al-Hilal ya Ligi...

Duh! Djokovic ang’olewa US Open

NEW YORK, Marekani STAA wa tenesi raia wa Serbia, Novak Djokovic, ameishia raundi ya kwanza ya michuano ya US Open. Safari yake kwenye michuano hiyo imeishia...

Utata wa kifo, uhai wa Mojtaba Khamenei

TEHRAN, Iran NI miezi sita sasa tangu Mojtaba Khamenei alipoteuliwa kuwa kiongozi mpya wa Iran baada ya baba yake kuuawa katika shambulizi la kwanza lililofanywa...

Mambo 5 kuhusu vita vya Iran, Marekani

WASHINGTON DC, Marekani IKIWA ni miezi sita imepita tangu vilipoanza vita kati ya Iran na Marekani inayoshirikiana na Israel, mambo yamezidi kuwa magumu kwa pande...

Mwandishi aliyemfuata mafichoni Osama bin Laden (3)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya pili ya makala haya, tuliona Osama akihojiwa na Miller akieleza chanzo cha uhusiano wake mbaya na Marekani, ambapo...

Mwandishi aliyemfuata mafichoni Osama bin Laden (2)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya kwanza, tuliona mwandishi wa habari wa Marekani, Miller, akimuuliza Osama kilichomsukuma kuacha utajiri wake na kuingia kwenye uwanja...

Mwandishi aliyemfuata mafichoni Osama bin Laden (1)

Na mwandishi wetu, Gazetini MWANDISHI wa habari wa kituo cha televisheni cha ABC cha Marekani, John Miller, anasimulia mahojiano aliyofanya Mei, 1998, na aliyekuwa kiongozi...

Marais ‘wazee’ waliogoma kuachia madaraka Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini PAUL Biya wa Cameroon ana umri wa miaka 93. Amekuwa Ikulu tangu mwaka 1982 na sasa anatumikia muhula wake wa nane...