28.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Jela maisha kwa kumuua Waziri Mkuu

TOKYO, Japan TETSUYA Yamagami ambaye ni mshitakiwa wa mauaji ya Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe, amehukumiwa kifungo cha maisha. Yamagami amekuwa chini ya...

Anayeshutumiwa kusuka mauaji ya Traore akamatwa

OUAGADOUGOU, Burkina Faso RAIS wa zamani wa Burkina Faso, Paul-Henri Sandaogo Damiba, amekamatwa na vyombo vya dola vya Togo, na kisha kurejeshwa nchini kwake, ambako...

Waziri Mkuu atangaza Uchaguzi New Zealand

WELLINGTON, New Zealand WAZIRI Mkuu wa New Zealand, Christopher Luxon, ametangaza kuwa Uchaguzi Mkuu nchini humo utafanyika Novemba 7, 2026. Akizungumza na waandishi wa habari leo...

Apple yaiburuza Samsung mauzo ya simu

BEIJING, China BAADA ya miaka 14 ya kuwa nyuma ya Samsung kwa mauzo ya simu, kampuni ya Apple imeamka na kushika nafasi ya kwanza duniani. Kwa...

Aston Villa wamfungia kazi Abraham

LONDON, Uingereza KLABU ya Aston Villa haijarudi nyuma katika mkakati wao wa kumsajili mpachikaji mabao wa zamani wa Chelsea, Tammy Abraham. Nyota huyo wa kimataifa wa...

Martinez awindwa Inter Milan

MILAN, Italia KLABU ya Inter Milan imeanza harakati za kuinasa saini ya mlinda mlango wa Aston Villa na timu ya taifa ya Argentina, Emi Martinez. Inter...

Kovac atajwa kibarua Man United

MANCHESTER, Uingereza JINA la Niko Kovac limeingia rasmi katika orodha ya makocha wanaohusishwa na kibarua cha kuinoa Manchester United msimu ujao. Taarifa rasmi zinaeleza kuwa kocha...

Mwangwi wa sheria| Polisi haihusiki na kesi hizi

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKATI mwingine, kutokujua sehemu sahihi ya kupeleka malalamiko yako kunaweza kukupotezea muda, nguvu, na hata haki yako. Mathalan, kwenda polisi kwa suala...

Polisi wachunguza kilichomuua Destiny Boy

LAGOS, Nigeria POLISI wanamshikilia mtu mmoja, huku wakiendelea na uchunguzi juu ya kifo cha mwanamuzi wa Nigeria, Destiny Boy. Destiny Boy, ambaye jina lake halisi ni...

Miji 10 kinara kwa ubora wa maisha Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini MAISHA katika miji yote barani Afrika yanatofautiana, hiyo ikitokana na gharama za maisha, ikiwamo uwezo wa watu wake kufanya manunuzi. Haiishii hapo....

Morocco yakimbilia FIFA kisa fainali ya AFCON

RABAT, MoroccoSHIRIKISHO la Soka la Morocco (FRMF) limeweka wazi mpango wake wa kuiandikia barua ya malalamiko Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kupinga kile...

Magaidi 1,500 watoroka gerezani

DAMASCUS, Syria WAPIGANAJI wa kundi la kigaidi la IS nchini Syria wametoroka gerezani wakati vikosi vya jeshi la Serikali vikipigana na waasi wa SDF. Taarifa zinaeleza...