Ads: info@gazetini.co.tz |
23.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

PSG, Bayern ni ‘weka tuweke’ nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya

LONDON, Uingereza PSG wataikaribisha Bayern Munich katika nusu fainali ya kwanza msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, mchezo utakaochezwa kesho Aprili 28, 2026 mjini...

Aliyetaka kumuua Trump aliacha ujumbe kwa familia

WASHINGTON DC, Marekani SAKATA la mtuhumiwa wa tukio la kufyatua risasi katika halfa aliyokuwemo Rais Donald Trump limechukua sura mpya. Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka...

Rooney: Saka amerudi kuipa ubingwa Arsenal

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Manchester United, Wayne Rooney, anaamini kurejea dimbani kwa Bukayo Saka kutaipa nguvu kubwa Arsenal katika mbio zake za ubingwa wa Ligi...

Becker akaribia kutua Juventus

MERSEYSIDE, England MLINDA mlango wa Liverpool, Alisson Becker, yuko kwenye hatua nzuri ya kujiunga na vigogo wa Serie A, Juventus. Juventus wanampigia hesabu Mbrazil huyo mwenye...

Yanga v Simba: Nani ‘ataacha ndala’ huko Visiwani?

Na mwandishi wetu, Gazetini WATOTO wa mjini wakikwambia ‘utaacha ndala’, huwa wanamaanisha utakutana na kitu kizito. Je, ni mashabiki wa Yanga au Simba watakaokutwa na...

WHO: Vita vya Iran ‘pasua kichwa’ sekta ya afya

TEHRAN, Iran WIZARA ya Afya ya Iran imeeleza kuwa watu zaidi ya 1,300 wamefariki na wengine zaidi ya 9,000 kujeruhiwa tangu nchi hiyo ilipoingia kwenye...

AI yaanza kuchukua kazi za watu

Na mwandishi wetu, Gazetini DUNIA inaendelea kushuhudia mageuzi makubwa ya teknolojia yanayobadilisha namna shughuli mbalimbali zinavyotekelezwa kila siku, huku sehemu kubwa ya maendeleo hayo ikilenga...

Mamelodi V Fa Rabat: ‘Litakufa jitu’ fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika

CAIRO, Misri MAMELODI Sundowns ya Afrika Kusini dhidi ya vigogo wa soka la Morocco, FA Rabat, katika mtanange wa kukata na shoka wa fainali ya...

Hatua za Tanzania katika kutokomeza Malaria

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA imepiga hatua kubwa katika kupunguza athari za malaria, huku takwimu za hivi karibuni zikionyesha kupungua kwa vifo, maambukizi na wagonjwa...

Siku ya Usalama kazini 2026: Mambo muhimu kujua

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imesema jumla ya watu 3,557 wamepata ajali wakiwa kazini katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2023 hadi 2025, huku watu...

Watoto 75,500 nchini kuchunguzwa Sikoseli

Na mwandishi wetu, Gazetini JUMLA ya watoto na vijana wapatao 75,500 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili kubaini mapema hali zao za...

Mantra Tanzania LTD Empowers Local Talent, Inspires Hope with New Workforce for Mkuju River Project

Mantra Tanzania Limited has proudly welcomed ten newly trained equipment operators to support the next phase of development at the Mkuju River Project in...