Ads: info@gazetini.co.tz |
23 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Marekani, Iran ‘kimenuka’ tena

WASHINGTON DC, Marekani JESHI la Marekani limeishambulia Iran, zikiwa ni saa chache tu tangu Rais Donald Trump aliposema wenzao hao wamekiuka makubaliano ya Juni 17,...

Japan kuishangaza Brazil hatua ya 32 Bora?

HOUSTON, Marekani MECHI ya kukata na shoka ya kusaka tiketi ya kutinga 16 Bora itakayochezwa Juni 29, 2026 kwenye Uwanja wa NRG mjini Houston, Marekani. Huo...

Mastaa wa muziki, filamu walivyoibukia Kombe la Dunia 2026

CALIFORNIA, Marekani KWA miaka mingi, soka limekuwa likiwaunganisha si tu wachezaji, bali pia mastaa wa tasnia ya burudani, kama ilivyoshuhudiwa wakati wa ufunguzi wa msimu...

Hii ndiyo Bosnia ya Edin Dzeko inayotamba Kombe la Dunia

TORONTO, Canada BOSNIA and Herzegovina ni miongoni mwa timu zilizokata tiketi ya kucheza hatua inayofuata ya 32 Bora ya fainali za Kombe la Dunia za...

DR Congo yafungua kesi dhidi ya Rwanda ICJ

DRC, Congo JAMHURI ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imefungua kesi dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) iliyoko The Hague, Uholanzi, ikiitaka...

Maisha, utata wa kifo, maziko ya Rais Edgar Lungu (2)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA toleo la kwanza lililopita, tuliona Lungu akikaimu urais baada ya Michael Sata kwenda nje ya nchi kwa ajili ya matibabu....

Kifo cha baba yake Minaj kilivyoipa mkwanja mrefu familia yake

LOS ANGELES, Marekani HATIMAYE mama mzazi wa rapa Nicki Minaj, Carol Maraj, amefuta kesi baada ya mtu aliyemuua mumewe kukubali kulipa fidia ya Dola za...

Amber Rose hapindui kwa marapa wa kiume

LOS ANGELES, Marekani UMARURU wake ulianza mwaka 2008 baada ya kutumika kama mrembo wa video katika ngoma ya rapa Young Jeezy iitwayo 'Put On'. Ni wimbo...

Mastaa hawa wameyakataa mataifa waliyozaliwa Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeshuhudia idadi kubwa zaidi kuwahi kutokea ya wachezaji walioyapa kisogo mataifa waliyozaliwa. Takwimu zinaonesha...

Israel, Marekani ‘zimechafua’ Uchaguzi Colombia?

BOGOTA, Colombia RAIS aliyeondoka madarakani nchini Colombia, Gustavo Petro, ameendelea kutokuyatambua matokeo yaliyompa ushindi Abelardo de la Espriella. De la Espriella (47), ameingia Ikulu akimpiku Ivan...

Klopp: Hakuna kama Ronaldo, Messi

MUNICH, Ujerumani KOCHA wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp, amewataja Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kuwa ndiyo wachezaji bora duniani kwa sasa. Klopp amesema siyo ishu...

Baba yake Haaland: Hakuna kama Guardiola

MANCHESTER, Uingereza BABA mzazi wa Erling Haaland, Alfie Haaland, amesema hakuna kocha wa kufikia daraja la Pep Guardiola. Alfie ametoa kauli hiyo baada ya Man City...