LONDON, Uingereza
PSG wataikaribisha Bayern Munich katika nusu fainali ya kwanza msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, mchezo utakaochezwa kesho Aprili 28, 2026 mjini...
WASHINGTON DC, Marekani
SAKATA la mtuhumiwa wa tukio la kufyatua risasi katika halfa aliyokuwemo Rais Donald Trump limechukua sura mpya.
Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka...
LONDON, Uingereza
MKONGWE wa Manchester United, Wayne Rooney, anaamini kurejea dimbani kwa Bukayo Saka kutaipa nguvu kubwa Arsenal katika mbio zake za ubingwa wa Ligi...
MERSEYSIDE, England
MLINDA mlango wa Liverpool, Alisson Becker, yuko kwenye hatua nzuri ya kujiunga na vigogo wa Serie A, Juventus.
Juventus wanampigia hesabu Mbrazil huyo mwenye...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WATOTO wa mjini wakikwambia ‘utaacha ndala’, huwa wanamaanisha utakutana na kitu kizito. Je, ni mashabiki wa Yanga au Simba watakaokutwa na...
TEHRAN, Iran
WIZARA ya Afya ya Iran imeeleza kuwa watu zaidi ya 1,300 wamefariki na wengine zaidi ya 9,000 kujeruhiwa tangu nchi hiyo ilipoingia kwenye...
Na mwandishi wetu, Gazetini
DUNIA inaendelea kushuhudia mageuzi makubwa ya teknolojia yanayobadilisha namna shughuli mbalimbali zinavyotekelezwa kila siku, huku sehemu kubwa ya maendeleo hayo ikilenga...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TANZANIA imepiga hatua kubwa katika kupunguza athari za malaria, huku takwimu za hivi karibuni zikionyesha kupungua kwa vifo, maambukizi na wagonjwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SERIKALI imesema jumla ya watu 3,557 wamepata ajali wakiwa kazini katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2023 hadi 2025, huku watu...
Na mwandishi wetu, Gazetini
JUMLA ya watoto na vijana wapatao 75,500 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili kubaini mapema hali zao za...
Mantra Tanzania Limited has proudly welcomed ten newly trained equipment operators to support the next phase of development at the Mkuju River Project in...