Ads: info@gazetini.co.tz |
21.6 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

DCEA yateketeza ekari 68 za bangi Tabora

Na mwandishi wetu, Gazetini Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) pamoja...

Manunuzi ya silaha za kivita yashika kasi duniani

NEW YORK, Marekani TAASISI ya Tafiti za Amani ya Stockholm nchini Sweden (SIPRI) imebaini kuwa manunuzi ya silaha za kivita duniani yamekuwa makubwa zaidi kuwahi...

Nini chanzo UAE kujitoa OPEC? Ni ushindi kwa Rais Trump?

WASHINGTON DC, Marekani UMOJA wa Falme za Kiarabu (UAE) umetangaza kujitoa katika Umoja wa nchi zinazozalisha mafuta duniani (OPEC), hatua inayotafsiriwa kuwa ni ushindi mkubwa...

John Stone: Nyota iliyofunikwa na majeraha Man City

MANCHESTER, Uingereza AMETANGAZA kuwa huu ni msimu wake wa mwisho kucheza Manchester City. Ni John Stone, beki wa kati wa kimataifa wa England. Stones atakuwa amemaliza...

Kuelekea uchaguzi mkuu Nigeria: Rais Tinubu ‘atatoboa’ urais 2027?

LAGOS, Nigeria NIGERIA itafanya Uchaguzi Mkuu wake mwaka 2027, huku suala la usalama likiendelea kuwa 'pasua kichwa' katika maeneo mengi ya Taifa hilo. Pia, utawala wa...

Heavenly Voice Gospel Band kuwafikia mashabiki

Na Mwandishi Wetu Heavenly Voice Gospel ambayo ni bendi ya muziki wa injili yenye maskani yake Marekani, imesema imeandaa nyimbo nyingi za kuwabariki mashabiki duniani...

Rais Ruto kuhutubia Bunge la Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini RAIS wa Kenya, William Ruto, anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania Mei 5, 2026, hotuba itakayofuatliwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa. Akisoma tangazo...

Adaiwa kumuua ‘EX’ kwa panga kisa nguvu za kiume

Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi mkoani Lindi linamshikilia Hassan Athuman Mpogo (46), mvuvi na mkazi wa Kata ya Somanga wilayani Kilwa, kwa tuhuma za...

Sekta ya Madini Tanzania; bajeti 2026/2027

Na mwandishi wetu, Gazetini BUNGE la Jamhuru ya Muungano wa Tanzania, limeridhia na kupitisha bajeti ya Wizara ya Madini ya sh bilioni 174.9 kwa Mwaka...

Changamoto ya afya ya akili kwa wajawazito

Na mwandishi wetu, Gazetini CHANGAMOTO ya afya ya akili ni moja ya maeneo nyeti kwa sasa, ikipewa umuhimu mkubwa kutokana na athari zake si tu...

Upinzani kumng’oa madarakani Benjamin Netanyahu?

JERUSALEM, Israel WAZIRI Mkuu wa Israel, Banjamin Netanyahu, anakabiliwa na upinzani mkali katika Uchaguzi Mkuu ujao utakaofanyika mwishoni mwa Oktoba, 2026. Ni baada ya vyama vikubwa...

Arsenal, Atletico kumaliza ubishi nusu fainali Ligi ya Mabingwa

LONDON, Uingereza ARSENAL watakuwa ugenini nchini Hispania kuwakabili Atletico Madrid katika mchezo wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya utakaochezwa kesho Aprili 29, 2026. Baada...