Ads: info@gazetini.co.tz |
23.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Hapatoshi! Ni nusu fainali ya wanawake Ligi ya Mabingwa Ulaya

BERLIN, Ujerumani TIMU ya soka ya wanawake ya Arsenal ndiyo mabingwa watetezi na sasa wataivaa Lyon katika hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa...

Minaj kuibukia sherehe ya waandishi wa Ikulu

WASHINGTON DC, Marekani KIPENZI cha Rais Donald Trump, Nicki Minaj ni miongoni mwa mastaa wa muziki watakaohudhuria halfa ya chakula cha jioni itakayofanyika kesho Aprili...

Gallas: Simeone ataipa mataji Chelsea

LONDON, Uingereza BEKI wa kati wa zamani wa Chelsea, William Gallas, anaamini Diego Simeone ndiye kocha sahihi wa kupewa mikoba ya kuinoa timu hiyo. Chelsea wanahitaji...

Mkakati wa kutokomeza saratani ya kizazi

EDINBURGH, Scotland SARATANI ya kizazi ni moja ya saratani nne zinazotesa wanawake duniani, ikihusishwa pia na vifo vingi kwa jinsia hiyo. Hata hivyo, hadithi ni tofauti...

Vita vya Iran vilivyotikisa usafiri wa anga Afrika

CAIRO, Misri WIKI sita za vita kati ya Marekani na Israel zinazoishambulia Iran imesababisha mtikisiko mkubwa katika sekta ya usafiri wa anga barani Afrika. Makala...

Sababu 3 za Chelsea kumtimua Rosenior

LONDON, Uingereza BAADA ya mfululizo wa matokeo mabaya na kiwango kisichoridhisha cha timu yao, mabosi wa Chelsea walimfuta kazi kocha Liam Rosenior hivi karibuni. Alifukuzwa baada...

Harry Winks na mshahara mkubwa kuliko mastaa EPL

LONDON, Uingereza LEICESTER City imeshuka kutoka Championship (Daraja la Kwanza England) hadi League One (Daraja la Pili).  Hali ni tete kwao. Hata hivyo, licha ya mwenendo...

Vifo vya watoto vyapungua Afrika

KINSHASA, DRC BARA la Afrika limepiga hatua kubwa tangu mwaka 2000 katika kukabiliana na vifo vya watoto wachanga, kwa mujibu wa utafiti wa Shirika la...

Usiyoyajua kuhusu Siku ya Malaria Duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini LEO Aprili 25, 2026 ni Siku ya Malaria Duniani na kaulimbiu ni "Lengo ni Kutokomeza Malaria: Sasa Tunaweza. Tunapaswa Kutokomeza." Kaulimbiu hiyo...

Nyuma ya pazia ‘bifu’ zito la Peter, Paul wa P-SQUARE

LAGOS, Nigeria MAMBO yamezidi kuwa mabaya kwa mapacha waliowahi kutikisa soko la muziki barani Afrika kupitia Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye. Okoye ametangaza rasmi...

Tume yaanika idadi walipoteza maisha Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imesema kuwa...

Makocha wanaosikilizia kibarua Chelsea

LONDON, Uingereza CHELSEA haina kocha mkuu baada ya kumfungashia virago Liam Rosenior, ambaye aliajiriwa Januari, 2026 kuchukua nafasi ya Enzo Maresca. Rosenior amefutwa kazi akiwa ameiongoza...