29.7 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Historia ya siasa za ‘Banana Republic’

Na mwandishi wetu, Gazetini 'BANANA', kama inavyotamkwa kwa Kiingereza, ni neno lenye maana ya 'ndizi' kwa tafsiri ya lugha ya Kiswahili. Katika duru za kisiasa, 'Banana...

Zanzibar yavunja rekodi ya watalii wa kimataifa chini ya Dk. Mwinyi

Na mwandishi wetu, Gazetini ZANZIBAR imeshuhudia ongezeko kubwa na la kihistoria la watalii wa kimataifa katika kipindi cha miaka sita iliyopita, mafanikio yanayohusishwa moja kwa...

PMM Estates (2001) Ltd: Nguzo ya huduma za bandari kavu na usafirishaji Tanzania

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA zaidi ya miongo miwili sasa, kampuni ya PMM Estates (2001) Limited imeendelea kujijengea heshima kama moja ya taasisi muhimu katika...

Hatimaye CAF yazishughulikia Senegal, Morocco

CAIRO, Misri SHIRIKISHO la Soka barani Afrika (CAF) limeziadhibu timu za taifa za Senegal na Morocco kwa vitendo vya utovu wa nidhamu vilivyooneshwa katika mechi...

Waziri Mkuu aonya wafanyabiasha kuelekea mfungo wa Ramadhani, Kwaresma

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amewataka wafanyabiashara wa vyakula nchini kuacha kuwaumiza wananchi katika kipindi cha mfungo wa Ramadhani na Kwaresma...

Al Ahly yaanza safari kuifuata Yanga Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Klabu ya Al Ahly ya nchini Misri imeanza safari kuelekea Zanzibar kwa ajili ya mchezo wa hatua ya makundi ya...

TFF yaupiga kufuri Uwanja wa KMC

Na Mwandishi Wetu, Gazetini  SHIRIKISHO la Soka Tanzania, (TFF) limeufungia uwanja wa KMC, uliopo Mwenge, jijini Dar es Salaam kutumika kwa  mechi za  Ligi kutokana...

Simba SC: ‘Do or Die’ kuwavusha makundi Ligi ya Mabingwa Afrika?

Na mwandishi wetu, Gazetini 'DO or Die' ndicho kitu pekee wanachohitaji Simba ili kuvuka makundi na kuingia robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu...

India inavyochangamkia nafasi za ajira Urusi

NEW DELHI, India UHABA wa wafanyakazi unaoikumba Urusi kwa sasa umegeuka fursa kwa raia wa India, ambao sasa wanamimilika kwa wingi nchini humo.Raia wa India...

Visual| Makusanyo Sekta ya Madini wafikia Trilioni 1.07

Na mwandishi wetu, Gazetini WIZARA ya Madini imetangaza mafanikio makubwa katika utekelezaji wa ahadi na maelekezo ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ndani ya siku...

Adamu, kaka yake jela kwa wizi msikitini

ABUJA, Nigeria MAHAKAMA ya Wilaya ya Wuse mjini Abuja imewahukumu ndugu wawili kifungo cha miezi minne gerezani kila mmoja baada ya kukutwa na hatia katika...

Mwanasiasa wa upinzani anusurika kuuawa

NAIROBI, Kenya RIGATHI Gachagua, ambaye ni mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Kenya, amedai kuponea chupuchupu katika jaribio la kuuawa. Kwa mujibu wa Gachagua, polisi walivamia kanisa...