29.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Kiongozi Boko Haram auawa

LAGOS, Nigeria JESHI nchini Nigeria limefanikiwa kumuua aliyekuwa kiongozi wa Kundi la kigaidi la Boko Haram, Abu Khalid, katika operesheni iliyofanyika katika Msitu wa Sambisa...

Simba maji ya shingo CAF, yaambulia sare kwa Esperance

Na mwandishi wetu, Gazetini LICHA ya kuongoza kwa mabao 2-0, Simba imejikuta ikiambulia pointi moja baada ya kulazimishwa sare ya 2-2 na Esperance, mchezo uliochezwa...

UAE yachangia chakula Sudan

DUBAI, UAE UMOJA wa Falme za Kiarabu (UAE) umechangia kiasi cha Dola za Marekani milioni 20 kwa ajili ya chakula nchini Sudan, ambako vita vya...

Mkeka! Walioingia, waliotoka dirisha dogo EPL

LONDON, Uingereza USAJILI dirisha dogo wa Januari, 2026, umefungwa kwa klabu za Ligi Kuu ya England (EPL). Je, klabu yako imefanya sokoni? Arsenal Walioingia: Hakuna Waliotoka: Harrison Dudziak...

Israel yaua Wapalestina 32

JERUSALEM, Palestina WANAJESHI wa Israel wameua jumla ya raia wa Palestina wanaotajwa kufikia 32 katika mashambulizi yao ya wiki chache za hivi karibuni. Taarifa hiyo imeelezwa...

Arsenal yafikia rekodi ya Man United, Chelsea

LONDON, Uingereza USHINDI wa mabao 4-0 dhidi ya Leeds United umeifanya Arsenal kuifikia rekodi iliyodumu kwa miaka 26 katika michuano ya Ligi Kuu ya England...

Dira ya madini 2030: Mwelekeo wa utafiti na ukuaji wa mapato

Na mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaendelea kuchukua hatua madhubuti katika kuimarisha sekta ya madini kama nguzo muhimu ya ukuaji...

Mourinho apewa Madrid

NYON, Uswis HATIMAYE Droo ya mechi za 'play off' za kusaka tiketi ya kucheza hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imechezeshwa leo...

Grealish nje hadi msimu ujao

MERSEYSIDE, England NI pigo kwa Jack Grealish, ambapo mshambuliaji huyo wa Everton atalazimika kuwa nje ya uwanja kwa kipindi chote cha msimu huu. Grealish anayecheza kwa...

Tanzania yajipanga kuwa kitovu cha uwekezaji wa madini Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA kuhakikisha kuwa Tanzania inaendelea kujiimarisha kama kitovu cha uwekezaji wa kimkakati barani Afrika, Serikali kupitia Wizara ya Madini imekaribisha kampuni...

Wacharazwa viboko 140 kwa uzinzi, ulevi

JAKARTA, Indonesia WATU wawili wa jinsia tofauti wamecharazwa jumla ya viboko 140 kwa makosa makubwa mawili ya uzinzi na ulevi wa pombe. Ifahamike kuwa vitendo hivyo...

Yanga yamponza staa Al Ahly, afungiwa wiki mbili

CAIRO, Misri KLABU ya Al Ahly imemtoza faini kiungo wake raia wa Misri, Emam Ashour, kwa kitendo chake cha kushindwa kusafiri na kikosi kitakachoivaa Yanga. Timu...