Ads: info@gazetini.co.tz |
29.4 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Tume ya Taifa ya Mipango yaongoza mjadala wa Afrika kujitegemea kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TUME ya Taifa ya Mipango imeongoza mjadala wa wanazuoni na wadau mbalimbali kuhusu mustakabali wa maendeleo na kujitegemea kiuchumi kwa nchi...

Yametimia! Mourinho asaini miaka mitatu Madrid

MADRID, Hispania NI rasmi Real Madrid imemrejesha Jose Mourinho kuwa kocha wao mpya na Mreno huyo amesaini mkataba wa miaka mitatu Hata hivyo, 'Special One' mwenye...

Búlamu ya Sela Mulonda yazidi kupeta

Na Christopher Msekena, Gazetini MSANII wa muziki wa Injili anayeishi Ireland, Sela Mulonda, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa wimbo wake mpya ya Búlamu. Sela Mulonda mwenye...

Waislamu Serengeti watakiwa kudumisha umoja

Na Malima Lubasha, Serengeti WAUMINI wa dini ya Kiislamu wilayani Serengeti mkoani Mara wametakiwa kuendeleza ibada, kudumisha umoja, upendo na mshikamano ili kuendelea kulinda amani...

Viongozi 16,000 wa elimu kunufaika na mafunzo ya uongozi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-TAMISEMI imezindua rasmi programu ya mafunzo ya uongozi...

Serikali yatambua mchango wa JET katika uhifadhi wa mazingira

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI kupitia Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetunuku Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) tuzo...

Miaka 17 baada ya kifo, filamu ‘yamrudisha’ Michael Jackson

LOS ANGELES, Marekani NI miaka 17 imepita tangu staa wa muziki wa Pop, Michael Jackson, alipofariki Juni 25, 2009, lakini sasa ni kama amezaliwa upya...

Afrika na ndoto ya Pele fainali za Kombe la Dunia 2026

CAIRO, Misri MKONGWE wa soka la Brazil, Pele, aliwahi kutabiri kuwa siku moja Kombe la Dunia litatua Afrika. Alisema hilo lingetokea mwaka 2000. Isivyo habari,...

Carlo Ancelotti na ‘mzimu’ wa Neymar, kikosi cha mastaa Brazil

RIO, Brazil UNAPOITAJA timu ya soka ya Taifa ya Brazil, unazungumzia mabingwa mara nyingi zaidi katika historia ya Kombe la Dunia. Wamelibeba taji hilo mara...

Serengeti Boys yamkosha Arsene Wenger

Na mwandishi wetu, Gazetini ALIYEWAHI kuwa kocha wa Arsenal, Arsene Wenger, amekunwa na kiwango kizuri cha timu ya soka ya vijana wa U-17 ya Tanzania...

Virusi hivi vya Ebola vimeshindikana, havina chanzo wala tiba

Na mwandishi wetu, Gazetini MAAMBUKIZI ya virusi vya Ebola yameendelea kuripotiwa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kama ilivyo kwa majirani zao, Uganda, huku...

Machafuko Afrika Kusini, Ghana yaondosha raia wake 300

ACCRA, Ghana SERIKALI ya Ghana imepeleka ndege maalumu nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kuchukua raia wake 300 wakati huu wa machafuko yanayoendelea. Baadhi ya wananchi...