28.2 C
Dar es Salaam

Makala

Guinea-Bissau na historia ya mapinduzi ya kijeshi

Na mwandishi wetu, GazetiniSIKU chache zilizopita, maofisa waandamizi wa jeshi nchini Guinea-Bissau walitangaza kuipindua Serikali ya Rais Umaro Sissoco Embalo. Ni hatua iliyofuatiwa na...

Simba ni ‘do or die’, hesabu kali huko Mali

Na mwandishi wetu, GazetiniBAADA ya kupoteza mechi yao ya kwanza ya hatua ya makundi msimu huu wa Ligi ya Mabingwa, Simba inahitaji ushindi wikiendi...

‘Wazee’ watakaokipiga Kombe la Dunia 2026

LONDON, UingerezaWALIKUWEPO Kombe la Dunia mwaka 2006 na sasa wanajiandaa kushiriki fainali za mwakani wakiwa miongoni mwa wachezaji wenye umri mkubwa zaidi. Ni miaka...

Wachezaji wa bei mbaya waliofeli EPL

LONDON, UingerezaWAKATI mwingine, mambo huwa hayaendi kama yalivyotarajiwa, hasa katika soko la usajili wa wachezaji wa soka barani Ulaya.Kwa ufupi, wapo wanasoka waliosajiliwa kwa...

Rekodi zinazomsubiri Messi kabla ya kustaafu

MIAMI, MarekaniKUWEKA na kuvunja rekodi si jambo geni kwa Lionel Messi. Amefanya hivyo kwa miaka mingi, tangu akiwa Barcelona, hadi alipokuwa PSG, na sasa...

Makocha wanaovizia kibarua Liverpool

MERSEYSIDE, EnglandLIVERPOOL imepoteza mechi sita kati ya saba za Ligi Kuu ya England (EPL) ilizocheza hivi karibuni. Mwenendo huo umeibua presha kubwa kwa kocha...

Vinicius na mastaa waliowahi kutibuana na Alonso

MADRID, HispaniaTANGU alipoajiriwa kuchukua mikoba ya Carlo Ancelotti majira ya kiangazi, mwaka huu, kocha Xabi Alonso amekuwa akitajwa kuingia kwenye uhusiano mbaya na staa...

Mastaa hawa Bundesliga kukimbilia EPL?

MUNICH, UjerumaniKWA miaka ya hivi karibuni, Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) ni kama imepoteza ushawishi wake mbele ya Ligi Kuu ya England (EPL). Kivipi?Iko...

Estevao, Yamal na vita ya ufalme

LONDON, UingerezaWAKATI Chelsea ikiitandika Barcelona mabao 3-0 katika mchezo wa usiku wa jana wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Estevao alikuwa mwiba mchungu kwa Wacatalunya...

Makocha waliotimuliwa wakiwa na siku chache kazini

LONDON, UingerezaMWEZI uliopita, Ange Postecoglou aliweka rekodi ya kuwa kocha aliyefukuzwa ndani ya muda mfupi zaidi katika historia ya Ligi Kuu ya England (EPL).Mabosi...

Haaland, Mbappe, Kane na kufuru ya mishahara Ulaya

LONDON, UingerezaKLABU za Ulaya zinaendelea kumwaga mishahara minono kwa nyota wao, huku zile za Ligi Kuu ya England zikitajwa kuongoza.Katika makala haya, hawa ni...

Makocha hawa kiboko kwa kadi nyekundu

LONDON, UingerezaWAKATI mwingine, makocha wamejikuta wakizidiwa na presha ya kile kinachoendelea uwanjani na mwishowe kuadhibiwa kwa kadi nyekundu.Ni kama ilivyotokea kwa makocha hawa, ambao...

Recent articles

spot_img