Ads: info@gazetini.co.tz |
25 C
Dar es Salaam

Makala

Netanyahu kukamatwa Marekani, kupelekwa ICC?

WASHINGTON DC, Marekani WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, atakuwa Ikulu ya Marekani Jumanne ya wiki ijayo alikoalikwa na mwenyeji wake, Rais Donald Trump. Netanyahu amealikwa...

Jurgen Klopp: ‘Nabii’ aliyekabidhiwa mzigo mzito Ujerumani

MUNICH, Ujerumani WIKI chache zilizopita, alikuwa kwenye meza ya uchambuzi wa mechi za Kombe la Dunia akiishuhudia timu yake ya Taifa ya Ujerumani ikiondoshwa na...

Wagombea sita, nani Katibu Mkuu UN?

NEW YORK, Marekani BAADA ya miaka 10 ya kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres, atakabidhi kijiti hicho kwa mtu mwingine ifikapo...

Sikia hii ya Arteta na makocha EPL

LONDON, Uingereza KATI ya makocha 20 wa Ligi Kuu ya England (EPL) kwa msimu ujao wa 2026-27, ni watatu tu walioziongoza timu zao kwa zaidi...

Hawa hapa makocha wa makombe EPL

LONDON, Uingereza MPAKA sasa, Alex Ferguson anabaki katika historia ya soka la Ulaya kama kocha mwenye mataji mengi ya Ligi Kuu ya England (EPL). Alistaafu...

Kwa makocha hawa, mambo yalikuwa magumu Kombe la Dunia 2026

BOSTON, Marekani RUDI GARCIA wa Ubelgiji ni miongoni mwa makocha waliojikuta kwenye wakati mgumu katika fainali zilizopita za Kombe la Dunia. Itakumbukwa kuwa Garcia aliondoka kwenye...

Watekaji wa wanafunzi Nigeria wafungwa maisha

LAGOS, Nigeria MAHAKAMA nchini Nigeria imewahukumu kifungo cha maisha jela wanaume watatu baada ya kupatikana na hatia ya makosa yanayohusiana na utekaji wa makumi ya...

Emery atarudi kwa staili gani EPL 2026-27?

LONDON, Uingereza WAKATI anakabidhiwa mikoba ya kuinoa Aston Villa mwaka 2022, Unai Emery aliikuta timu hiyo ikiwa nafasi ya 14 kwenye msimamo wa Ligi Kuu...

Urusi v Ukraine: Mawaziri, wakuu wa majeshi viti havikaliki

KYIV, Ukraine HIVI karibuni, Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, alimfuta kazi Mkuu wa Majeshi, jenerali Oleksandr Syrskii, siku chache baada ya 'kumtumbua' Waziri wa Ulinzi,...

Macho yote sasa WAFCON 2026

CAIRO, Misri BAADA ya kumalizika kwa fainali za Kombe la Dunia, sasa macho na masikio ya mashabiki ya wapenzi wa soka yataelekezwa katika michuano ya...

Urusi inasiaidia Iran kuitandika Marekani?

WASHINGTON DC, Marekani HIVI karibuni, Katibu Mkuu wa Ikulu ya Marekani, Marco Rubio, alikuwa Manila, Ufilipino, ambako alikutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Wizara...

Matajiri wanapoiomba Serikali iwatoze kodi zaidi

LONDON, Uingereza WAKATI ikiwapo dhana kuwa wafanyabiashara wakubwa wamekuwa na kawaida ya kukwepa kodi za serikali katika nchi zao, kwa Uingereza imekuwa tofauti. Kundi la mamilionea...

Recent articles