26.9 C
Dar es Salaam

Makala

Inashangaza kuona hakuna anayejali, maisha yanaendelea!

Na Hassan Mwasha, GazetiniTUMEKUWA tukiishi kwa mazoea hata katika mambo yanayoweza kuhatarisha maisha yetu. Cha kushangaza, hakuna anayejali. Tuko 'bize' kwa lipi wakati maisha...

Peru na historia ya marais wastaafu kutupwa gerezani

LIMA, PeruKUTOKANA na sababu mbalimbali, nyingi zikihusiana na vitendo vya rushwa, marais wastaafu nchini Peru wamejikuta wakianza maisha mapya ya gerezani baada ya kutoka...

Singida Black Stars na safari yao ya kibabe CAF

Na mwandishi wetu, GazetiniBAADA ya kuisukuma nje ya mashindano Rayon Sports ya Rwanda, Singida Black Stars wameonga mbele na kuingia hatua ya pili ya...

Hawa hapa wapinzani wa Yanga raundi ya pili CAF

Na mwandishi wetu, GazetiniMABINGWA wa Ligi Kuu Bara, Yanga, nao wametinga raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Ni baada ya kuing'oa Wiliete...

Ramani ya Simba kuingia makundi CAF

Na mwandishi wetu, GazetiniBAADA ya kuing'oa Gaborone United ya Botswana, sasa Simba itaivaa Nsingizini Hotspurs ya Ligi Kuu ya Eswatini katika raundi ya pili...

Usiyoyajua kuhusu Askofu Mkuu wa kwanza mwanamke Kanisa la Anglikana

LONDON, UingerezaKANISA la Anglikana limeandika historia baada ya kumteua Dame Sarah Mullally kuwa Askofu Mkuu wa Canterbury, akiwa ni mwanamke wa kwanza kushika nafasi...

Dhambi ya usaliti inamtafuna Nicolas Sarkozy?

Na mwandishi wetu, GazetiniHIVI karibuni, Mahakama ya Uhalifu ya Paris, Ufaransa, ilimuhukumu kifungo cha miaka mitano gerezani aliyewahi kuwa Rais wa nchi hiyo, Nicolas...

Marekani, Urusi na vita ya kugombania rasilimali Afrika Magharibi

Na mwandishi wetu, GazetiniTUJIKUMBUSHE; Septemba 14, mwaka huu, Gazeti la Washington Post liliutangazia ulimwengu juu ya mazungumzo kati ya Marekani na Serikali inayoongozwa kijeshi...

Changamoto zinazomsubiri Rais mpya Malawi

Na mwandishi wetu, GazetiniPETER Mutharika, licha ya umri wake mkubwa wa miaka 85 na wakati mwingine afya yake ikizua mijadala, amerejea katika siasa za...

Utafiti: Wasiopiga mswaki hatarini kupata saratani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini BAKTERIA wa kinywani wanaoweza kuondoshwa kwa kupiga mswaki husababisha saratani ya kongosho, kwa mujibu wa utafiti mpya nchini Marekani. Kwa miaka...

Wananchi wa aina hii wanaijua thamani ya boksi la kura?

Na Hassan Mwasha, GazetiniMIKUTANO ya kampeni inaendelea kote nchini. NI takribani mwezi mmoja tu umebaki kabla ya Watanzania kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika...

Utafiti: Uvutaji wa bangi chanzo ugumba kwa wanawake

Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI nchini Canada umebaini kuwa wanawake wanaojihusisha na utumizi wa dawa za kulevya aina ya bangi wako hatarini kupata tatizo la...

Recent articles

spot_img