Na mwandishi wetu, Gazetini
MKUU wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kufanya uchunguzi katika showroom za magari wilayani humo...
NEW YORK, Marekani
MIAKA 10 iliyopita, Umoja wa Mataifa ulipitisha azimio la kumaliza aina zote za umasikini, kuhakikisha usawa katika jamii, pamoja na kudhibiti majanga...
TOKYO, Japan
MAMLAKA za Tokyo zimewashauri wafanyakazi wa ofisini kuachana na suti, na badala yake kuvaa kaptula kipindi hiki cha joto kali.
Kwa mujibu wa mamlaka,...
BEIJING, China
KATIKA nchi nyingi duniani, maeneo ya mijini yameonekana kuwa ndiyo fursa ya kukimbilia, hasa kwa vijana wenye ndoto za kuishi maisha mazuri.
Kwa Beijing,...
JERUSALEM, Israel
MAMLAKA za Israel zimepitisha utaratibu wa kutumia mamba katika magereza yake, lengo likiwa ni kudhibiti wafungwa wanaotaka kutoroka.
Awali, Waziri wa Ulinzi wa Israel, Itamar...
KAMPALA, Uganda
AJALI ya basi la shule imesababisha vifo vya wanafunzi 20, pamoja na mtu mzima mmoja, katika eneo la Kapchorwa, Mashariki mwa Uganda.
Taarifa ya polisi imeeleza...
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 188 wa makosa mbalimbali ya jinai, huku mmoja akihukumiwa kunyongwa...
BANGKOK, Thailand
TUKIO la baa kuwaka moto na kuua watu 27, sambamba na kujeruhi wengine kadhaa, mjini Bangkok, Thailand, limeteka vichwa vya habari duniani.
Wakati huo...
LONDON, Uingereza
NJE ya soka, Erling Haaland ni baba wa mtoto mmoja wa kiume aliyezaliwa Desemba, 2024. Pia, mwanasoka huyo ni mpenzi wa mrembo Isabel...
Na mwandishi wetu, Gazetini
GAZETINI Communication, kupitia chombo chake cha habari cha Gazetini, imeingia makubaliano ya ushirikiano na International Women's Peace Group (IWPG) ya Korea...
NASSAU, Bahamas
AJALI ya ndege ndogo nchini Bahamas imesababisha vifo vya abiria tisa, pamoja na rubani wao, mamlaka za nchi hiyo zimeeleza.
Ndege hiyo ilikuwa ikifanya...
LOS ANGELES, Marekani
ZIMEIBUKA ripoti zinazodai kuwa kipa wa kimataifa wa Nigeria, Maduka Okoye, 'anatoka' na bibiye mwenye jina kubwa katika muziki wa Hip hop...