Ads: info@gazetini.co.tz |
29 C
Dar es Salaam

Jamii

Watoto wa mitaani, ‘mateja’, machangudoa; mfupa uliozishinda mamlaka?

Na Hassan Mwasha, Gazetini UKIKATIZA mitaa miwili hadi mitatu, hasa katika majiji makubwa kama ilivyo kwa hapa Dar es Salaam, ni jambo lisilowezekana kukutana na...

Kamanda wa polisi Mkoa wa Tabora afariki dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 akiwa...

Vifo vya wahamiaji vyaongezeka nchini Marekani

WASHINGTON DC, Marekani IDADI ya vifo vya wahamiaji wanaoshikiliwa katika magereza nchini Marekani imeongezeka mara dufu tangu Rais Donald Trump aliporejea madarakani. Kwa mujibu wa Gazeti...

Baba yake Kim Kardashian alivyobadili jinsia na kuwa mwanamke

LOS ANGELES, Marekani OKTOBA 28,1976, dunia ilikuwa ikimtazama mwanaume aitwaye Bruce Jenner akitwaa medali ya dhahabu katika michuano ya Olimipiki kwa upande wa mchezo wenye...

Dar yaimarisha utayari dhidi ya mafuriko

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na Taasisi ya OpenMap Development Tanzania (OMDTZ) imechukua hatua mpya za kuimarisha utayari...

UN: Watu milioni 118 wamekimbia makazi yao

NEW YORK, Marekani KATIKA ripoti yake ya hivi karibuni, Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limeeleza kuwa watu milioni 118 walikimbia makazi...

Mradi wa maziwa waiongezea tija Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Tanga SERIKALI imeomba kuendelezwa kwa ushirikiano kati ya Tanzania na Ireland kupitia Awamu ya Pili ya Mradi wa Maziwa Faida kuanzia mwaka...

Shabiki afariki akiingia uwanjani Kombe la Dunia

MEXICO CITY, Mexico SHABIKI wa soka mwenye umri wa miaka 80 amefariki muda mfupi kabla ya kuingia uwanjani kuitazama Mexico ikivaana na Afrika Kusini katika...

Wanawake watajwa chachu ya mafanikio katika operesheni za kulinda amani duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini WANAWAKE wameelezwa kuwa nguzo muhimu katika kuimarisha amani, usalama na ustawi wa jamii, huku ushiriki wao katika operesheni za kulinda amani...

OWM kuimarisha ushirikiano na WFP katika usimamizi wa maafa

Na mwandishi wetu, Gazetini MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Brigedia Jenerali Hosea Ndagala...

Staa wa filamu afunguka mazito aliyofanyiwa na mkewe

LAGOS, Nigeria MWIGIZAJI mkongwe wa Nigeria, Tioruju Mondusi, amefichua kuwa aliwahi kuambiwa na mkewe, kwamba kati ya watoto wao watano kwenye ndoa yao, wawili wana...

Wananchi wa Iran walia vita kupaisha bei ya vyakula

TEHRAN, Iran KUPANDA kwa gharama za maisha ni moja ya changamoto kubwa wanazopitia raia wa Iran kipindi hiki nchi yao ikiwa kwenye vita dhidi ya...

Recent articles