23.4 C
Dar es Salaam

Jamii

AU yaweka maji na usafi wa mazingira kipaumbele ajenda 2026 Afrika

Na mwandihi wetu, Gazetini  WAKATI Dunia leo Machi 22, 2026 ikiadhimisha Siku ya Maji, Muungano wa Afrika (AU) umeweka wazi dhamira yake ya kuhamisha mjadala...

Shincheonji yaadhimisha miaka 42: Lee Man-hee asisitiza imani ya kweli ijengwe…

Na mwandishi maalum, Gazetini IBADA ya kuadhimisha miaka 42 tangu kuanzishwa kwa Shincheonji Kanisa la Yesu imefanyika Machi 15 katika Kanisa la Cheongju, Korea Kusini,...

Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-5

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale KWA mujibu wa kifungu cha 15, mtoto aliye chini ya umri wa miaka 18 hawezi kushikiliwa kikamilifu kwa adhabu zinazohusiana...

Baadhi ya Waislamu Afrika Mashariki waadhimisha sikukuu ya Eid

Na mwandishi wetu, Gazetini Baadhi ya Waislamu wa Afrika Mashariki wanaadhimisha Eid-ul-Fitr leo Ijumaa baada ya kuthibitishwa kuonekana kwa mwezi jioni ya Alhamisi, tukio linaloashiria...

Sababu 6 kubaki masikini ukiwa unapata pesa nyingi

HII ndiyo 'psychology' ya pesa ambayo watu wengi hawaielewi. Wengi wanafikiri umasikini unatokana na kukosa pesa. Lakini ukweli ni kwamba mara nyingi hunasababishwa na mtazamo...

Unavyoweza kumkuza mtoto mwenye upendo na kujali wengine

Na mwandishi wetu, Gazetini MALEZI ya mtoto hayahusu chakula, mavazi au elimu pekee, bali pia maadili anayojifunza akiwa mdogo. Wazazi wengi hutamani kuona watoto wao...

Mwangwi wa sheria| Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-4

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale IFAHAMIKE kuwa kukiri kosa hakufungi mjadala wa kisheria. Kukiri kosa ni kitendo cha mshitakiwa kukubali kuwa alihusika katika kitendo cha...

Raia wa China akamatwa JKIA akijaribu kusafirisha zaidi ya siafu 2,000

NAIROBI, Kenya       Kwa mujibu wa mamlaka za Kenya, Zhang alikamatwa wakati wa ukaguzi wa usalama uwanjani hapo baada ya maafisa kugundua shehena kubwa ya siafu...

TARURA yajenga barabara za lami karatu, bodaboda waonywa

Na Catherine Sungura, Tarura Hata hivyo, waendesha bodaboda wametakiwa kupunguza mwendo kufuatia kuimarika kwa barabara hizo ili kuepuka ajali zinazoweza kusababisha vifo au majeraha. Akizungumza na...

Mufti asisitiza upendo, kupuuza wanaoeneza chuki

Na mwandishi wetu, Gazetini MUFTI na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally ametoa rai dhidi ya vitendo vya kueneza chuki za kidini...

FCT yawajengea uwezo wafanyabiashara Lindi kuhusu sheria za ushindani na rufaa

Na mwandishi wetu, Gazetini ILI kuongeza uelewa wa sheria za ushindani na taratibu za rufaa katika shughuli za kibiashara, Fair Competition Tribunal (FCT) imewakutanisha wafanyabiashara...

Changamoto wanazopitia wanafunzi Ukanda wa Gaza

JERUSALEM, Palestina MIAKA miwili iliyopita, Sarah Qanan alikuwa miongoni mwa wanafunzi waliokuwa wakifanya vizuri darasani. Ndoto ya kuwa daktari ilikuwa kichwani kwake na kumuongezea morali...

Recent articles

spot_img