Ads: info@gazetini.co.tz |
28 C
Dar es Salaam

Jamii

Ajali ya moto hotelini yaua watu 21

NEW DELHI, India RAIA wa kigeni 21, wakiwamo wa Nigeria, Msumbiji na Liberia, wamepoteza maisha katika ajali ya moto iliyotokea katika hoteli moja mjini Delhi. Wizara...

Usiyoyajua kuhusu matumizi ya mirungi

Na mwandishi wetu, Gazetini MATUMIZI ya mirungi yana historia ndefu barani Afrika, yakitajwa kuanza miaka mingi iliyopita katika nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na Somalia. Mirungi...

Meja Jenerali wa jeshi, mkewe watekwa

LAGOS, Nigeria MEJA Jenerali Mstaafu wa jeshi nchini Nigera, Rabe Abubakar, ametekwa na watu wasiojulikana akiwa na mkewe kwenye gari wakati wakiwa safarini katika Jimbo...

Sheria ya malezi ya watoto inayotesa ‘ma-ex’ Japan

TOKYO, Japan KABLA ya kufanyiwa marekebisho Aprili Mosi, 2026, Sheria ya Malezi nchini Japan ilimtaka mzazi mmoja pekee kumiliki mtoto/watoto pale ilipotokea ndoa au mahusiano...

Waislamu Serengeti watakiwa kudumisha umoja

Na Malima Lubasha, Serengeti WAUMINI wa dini ya Kiislamu wilayani Serengeti mkoani Mara wametakiwa kuendeleza ibada, kudumisha umoja, upendo na mshikamano ili kuendelea kulinda amani...

Moto shule ya wasichana wasababisha vifo 16

GILGIL, Kenya MOTO ambao chanzo chake hakijafahamika umeripotiwa kusababisha vifo vya watu 16, wengi wao wakiwa ni wanafunzi, katika shule ya bweni ya Sekondari ya...

Afrika Magharibi na mtandao wa biashara ya cocaine

DAKAR, Senegal TAKWIMU zinaeleza kuwa asilimia 30 ya dawa za kulevya zinazokwenda Ulaya hupita barani Afrika, hasa katika mataifa ya Magharibi, ikiwamo Senegal. Hiyo ni kwa...

Mshindi Big Brother ajuta kuwasaidia ndugu

LAGOS, Nigeria MSHINDI wa Msimu wa 7 wa Shindano la Big Brother Naija, Josephina Ijeoma Otabor 'Phyna', ameeleza kujutia uamuzi wake wa kutumia fedha alizopata...

Mama mzazi wa Hayati Magufuli afariki dunia Chato

Na mwandishi wetu, Gazetini MAMA mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dk. John Pombe Magufuli, Mama...

Usiyoyajua kuhusu Siku ya Fistula itokanayo na uzazi

Na mwandishi wetu, Gazetini MEI 23, kama ambavyo hufanyika kila mwaka, Dunia inaadhimisha Siku ya Fistula itokanayo na uzazi, ambayo husababisha kwa asilimia 90 visa...

Mastaa wa soka ‘waliotoka’ na mabinti wa makocha wao

LONDON, Uingereza UKARIBU wa wachezaji wa soka na makocha wao hauishii uwanjani tu, bali wakati mwingine huenda mbali zaidi na kufika hadi ngazi ya familia. Lakini,...

Vilio, simanzi vyatawala msibani kwa mmiliki wa kiwanda cha XIL LI

Na mwandishi wetu, Gazetini VILIO na simanzi vilitawala katika eneo la kiwanda cha kuchakata chupa za plastiki cha XIL LI kilichopo Mabibo Sokoni, Wilaya ya...

Recent articles