Na mwandishi wetu, Gazetini
MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kuhusu masuala ya hifadhi...
Na Malima Lubasha, Gazetini
WADAU mbalimbali wa maendeleo pamoja na taasisi wilayani Serengeti, mkoani Mara, wametakiwa kuwawezesha wanawake wajasiriamali wanaofanya biashara katika Soko Kuu la...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TAARIFA ya hali ya Dawa za Kulevya Duniani ya mwaka 2025 ilionesha kuwa matumizi ya dawa za kulevya yamefikia kiwango cha...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, amesema Serikali itaendelea kuheshimu...
WAZIRIi wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Prof. Palamagamba Kabudi, ameongoza viongozi mbalimbali katika Ibada ya Misa Takatifu...
JAKARTA, Indonesia
WATU takribani 47 wameripotiwa kupoteza maisha katika tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.7 lililotokea asubuhi ya leo Agosti 15, 2026, nchini Indonesia.
Kupitia...
BEIRUT, Lebanon
LEBANON imekuwa nchi ya kwanza ya Mashariki ya Kati kufuta sheria ya hukumu ya kifo kwa wafungwa wake. Hatua hiyo ilifikiwa hivi karibuni...
LOS ANGELES, Marekani
MAGARI zaidi ya 650,000 yaliibiwa nchini Marekani mwaka 2025, licha ya kwamba idadi ya matukio hayo imepungua katika miaka ya hivi karibuni.
Wakati...