MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester City inataka kuvunja rekodi ya usajili duniani wa mchezaji wa ulinzi kwa kumchukua staa wa Newcastle United, Tino Livramento.
Man City...
WASHINGTON, Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema wawakilishi wa nchi hiyo wanaelekea Islamabad kwa ajili ya mazungumzo yanayolenga kupunguza mvutano kati ya Marekani na...
WASHINGTON DC, Marekani
VITA ya maneno kati ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, na Rais wa Marekani, Donald Trump, imechukua sura mpya.
Safari...
LONDON, Uingereza
KABLA ya mechi yao dhidi ya Manchester United kuanza, mashabiki wa Chelsea walionekana wakiandamana nje ya Uwanja wa Stamford Bridge wakishinikiza mabadiliko yanayoweza...
MADRID, Hispania
MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe, havutiwi na tetesi za klabu hiyo kumtaka Jurgen Klopp, na badala yake anatamani Zinedine Zidane aajiriwe.
Klopp amekuwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
APRILI 17, ya kila mwaka Tanzania inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuthamini Popo, huku wadau wa...
MADRID, Hispania
REKODI ya mkongwe Raul Gonzalez iliyodumu kwa miaka 30 katika klabu ya Real Madrid imevunjwa rasmi.
Ni katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya...
MUNICH, Ujerumani
MLINDA mlango wa Bayern Munich, Manuel Neuer, amefikisha mechi 136 akiwa kikosi cha kwanza cha timu hiyo.
Idadi hiyo ni sawa na aliyokuwa nayo...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Chelsea imeonesha kuvutiwa na mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Darwin Nunez.
Nunez raia wa Uruguay aliondoka Anfield mwaka jana na kutua Al-Hila...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran kuwa inaweza “kuangamizwa ndani ya usiku mmoja” endapo haitafikia makubaliano kabla ya muda wa mwisho...
LYON, Ufaransa
MAMEYA na wawakilishi waandamizi wa Serikali za mitaa kutoka sehemu mbalimbali duniani Aprili6, 2026 wamekutana jijini Lyon nchini Ufaransa na kuzindua muungano wa...
LONDON, Uingereza
ARSENAL wanaangalia uwezekano wa kuanza na mshambuliaji wa Barcelona, Dani Olmo, pindi tu dirisha kubwa la usajili la kiangazi litakapofunguliwa.
Ripoti zinaeleza kuwa Arsenal...