25.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

City kuvunja rekodi usajili wa staa Newcastle

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City inataka kuvunja rekodi ya usajili duniani wa mchezaji wa ulinzi kwa kumchukua staa wa Newcastle United, Tino Livramento. Man City...

Trump atuma wawakilishi Pakistan, aionya Iran kwa kauli kali

WASHINGTON, Marekani Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema wawakilishi wa nchi hiyo wanaelekea Islamabad kwa ajili ya mazungumzo yanayolenga kupunguza mvutano kati ya Marekani na...

Papa Leo XIV amkwepa Trump

WASHINGTON DC, Marekani VITA ya maneno kati ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, na Rais wa Marekani, Donald Trump, imechukua sura mpya. Safari...

Kocha, mabosi Chelsea sasa maji ya shingo

LONDON, Uingereza KABLA ya mechi yao dhidi ya Manchester United kuanza, mashabiki wa Chelsea walionekana wakiandamana nje ya Uwanja wa Stamford Bridge wakishinikiza mabadiliko yanayoweza...

Mbappe achagua kocha mpya Madrid

MADRID, Hispania MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe, havutiwi na tetesi za klabu hiyo kumtaka Jurgen Klopp, na badala yake anatamani Zinedine Zidane aajiriwe. Klopp amekuwa...

Siku ya Kimataifa ya kuthamini Popo yaadhimishwa, Tanzania yaaswa kuwalinda

Na mwandishi wetu, Gazetini APRILI 17, ya kila mwaka Tanzania inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuthamini Popo, huku wadau wa...

Rekodi ya Raul yavunjwa Madrid

MADRID, Hispania REKODI ya mkongwe Raul Gonzalez iliyodumu kwa miaka 30 katika klabu ya Real Madrid imevunjwa rasmi. Ni katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya...

Neuer afika ‘levo’ za Messi

MUNICH, Ujerumani MLINDA mlango wa Bayern Munich, Manuel Neuer, amefikisha mechi 136 akiwa kikosi cha kwanza cha timu hiyo. Idadi hiyo ni sawa na aliyokuwa nayo...

Chelsea hesabu kali kwa Nunez

LONDON, Uingereza KLABU ya Chelsea imeonesha kuvutiwa na mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Darwin Nunez. Nunez raia wa Uruguay aliondoka Anfield mwaka jana na kutua Al-Hila...

Trump aitishia kuiangamiza Iran ikiwa Hormuz haitafunguliwa

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran kuwa inaweza “kuangamizwa ndani ya usiku mmoja” endapo haitafikia makubaliano kabla ya muda wa mwisho...

Mameya duniani wasaka suluhu la afya mijini wa miji

LYON, Ufaransa MAMEYA na wawakilishi waandamizi wa Serikali za mitaa kutoka sehemu mbalimbali duniani Aprili6, 2026 wamekutana jijini Lyon nchini Ufaransa na kuzindua muungano wa...

Arsenal kuanza na Olmo?

LONDON, Uingereza ARSENAL wanaangalia uwezekano wa kuanza na mshambuliaji wa Barcelona, Dani Olmo, pindi tu dirisha kubwa la usajili la kiangazi litakapofunguliwa. Ripoti zinaeleza kuwa Arsenal...

Recent articles

spot_img