Ads: info@gazetini.co.tz |
28 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Shabiki auawa, mabasi yachomwa moto ubingwa wa NBA

LOS ANGELES, Marekani VURUGU zilizotokana na shangwe la ubingwa wa New Knicks ya Ligi Kuu ya Kikapu ya Marekani (NBA) zimesabaisha kifo cha shabiki, huku...

Ujerumani yaweka rekodi mpya Kombe la Dunia

NEW YORK, Ujerumani BAADA ya ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Curacao, timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani imeandika historia mpya katika michuano ya...

Kipigo cha Sweden kufukuzisha kocha Tunisia

NEW YORK, Marekani SHIRIKISHO la Soka la Tunisia linaweza kumfuka kocha wa timu yake ya Taifa, Sabri Lamouchi. Taarifa hizo zinakuja baada ya Tunisia kupoteza mchezo...

Irankunda: Kutoka kambi ya wakimbizi Tanzania hadi rekodi Kombe la Dunia

TORONTO, Canada WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea Marekani, Mexico na Canada, jina la kinda Nestory Irankunda limeandika historia mpya katika michuano hiyo. Ni...

Kiboko ya Wabrazil anayezitoa udenda Arsenal, Liverpool

TORONTO, Canada KATIKA mchezo uliomalizika kwa sare ya bao 1-1 kati ya timu ya soka ya Taifa ya Brazil na Morocco, kinda Ayyoub Bouaddi alikuwa...

Rihanna alivyozama mazima penzi la A$AP Rocky

LOS ANGELES, Marekani MIAKA mitano iliyopita, ndipo wanamuziki wawili maarufu, Rihanna na A$AP Rocky, walipoianza safari yao ya mapenzi iliyozalisha familia ya baba, mama na...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: ARGENTINA

LONDON, Uingereza MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea tangu Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Takwimu zinaongea: Brazil v Morocco

NEW YORK, Marekani MECHI ya kwanza kwa timu hizo za Kundi C msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Itachezwa usiku wa kuamkia kesho...

Arsenal wanamtaka huyu kutoka La Liga

LONDON, Uingereza MABINGWA wa Ligi Kuu ya England (EPL), Arsenal, wanaangalia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wa Real Sociedad ya La Liga, Ander Barrenetxea. Ripoti zinaeleza kuwa...

Ibrahimovic: Haaland? Hajafikia uwezo wangu

NEW YORK, Marekani MKONGWE wa timu ya soka ya Taifa ya Sweden, Zlatan Ibrahimovic, amejitaja kuwa mshambuliaji bora kuliko Erling Haaland wa Manchester City. Akihojiwa na...

Michel Soro: Bondia aliyemnyima Mwakinyo ubingwa wa IBO

Na mwandishi wetu, Gazetini AKIWA ugenini nchini Ivory Coast, bondia wa uzito wa Middle nchini, Hassan Mwakinyo, alishindwa kutwaa ubingwa wa dunia wa IBO baada...

Dar yaimarisha utayari dhidi ya mafuriko

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na Taasisi ya OpenMap Development Tanzania (OMDTZ) imechukua hatua mpya za kuimarisha utayari...

Recent articles

spot_img