Ads: info@gazetini.co.tz |
23.6 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Polisi Kilimanjaro wakamata watuhumiwa 188, mmoja ahukumiwa kifo

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 188 wa makosa mbalimbali ya jinai, huku mmoja akihukumiwa kunyongwa...

Marekani yashambulia tena meli ya mafuta

TEHRAN, Iran Mvutano kati ya Marekani na Iran umechukua sura mpya baada ya jeshi la Marekani kushambulia meli ya mafuta katika Ghuba ya Uajemi, huku...

Mtanzania anyakua tuzo ya uandishi bora wa filamu ya malaria Marekani

Na mwandishi wetu, Gazetini MTANZANIA, Gloria Majule, ameendelea kuiwakilisha vyema Tanzania katika jukwaa la kimataifa la sanaa baada ya kuibuka mshindi wa tuzo ya uandishi...

Norway yatoa Sh bilioni 8 kuchochea matumizi ya nishati safi nchini

Na mwandishi wetu, Gazetini Tanzania imepata nyongeza ya nguvu katika jitihada za kuhamia kwenye matumizi ya nishati safi baada ya TaTEDO – Sustainable Energy Services...

Serikali yatoa Sh milioni 400 kwa vijana Ludewa

Na mwandishi wetu, Ludewa SERIKALI imetoa mkopo usio na riba wenye thamani ya Shilingi milioni 400 kwa vijana 117 kutoka vikundi vinne vya Kata ya...

Wageni walivyoendeleza moto Bongo Star Search 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE msimu huu 16 wa Shindano maarufu la vipaji la Bongo Star Search umefikia ukomo kwa mwimbaji Praise Wisdom kuibuka mshindi. Mwanamuziki...

Marekani, Iran: Dunia bado gizani bei ya mafuta

WASHINGTON DC, Marekani MAREKANI imefanya shambulizi la usiku kwa mara ya tatu huko Iran. Katika shambulizi la mwisho, watu wawili wamefariki huko Kusini-Magharibi mwa Iran,...

Porro: Kufuzu fainali ni ndoto iliyotimia

NEW YORK, Marekani BEKI wa Hispania na mchezaji bora wa mechi, Pedro Porro, amesema kufuzu kwa timu yake fainali ni ndoto aliyokuwa akiisubiri kwa muda...

WHO yaanza majaribio ya dawa ya kuzuia maambukizi ya ebola

DRC, Congo SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuanza kwa majaribio ya kwanza ya kitabibu ya dawa inayolenga kuzuia maambukizi ya Ebola kwa watu waliokaribiana...

Hii ndiyo sababu ya ingia, toka ya wanawake kwa Diamond?

Na mwandishi wetu, Gazetini HIVI karibuni, mwanamuziki nyota kutoka Wasafi Classic Baby (WCB), Zuchu, alifichua kuachana na supastaa wa Bongo Fleva na bosi wa Lebo...

Joshua atapona kwa huyu mwamba?

LOS ANGELES, Marekani BONDIA wa ngumi za uzito wa juu ambaye pia ni mshindi wa medali ya dhahabu katika michuano ya Olimpiki, Anthony Joshua, atapanda...

Andrey Santos; Jembe jipya ndani ya Old Trafford

MANCHESTER, Uingereza USAJILI wake umekamilika baada ya Manchester United kuipa Chelsea kitita cha Pauni milioni 48. Ni kiungo wa Kibrazil, Andrey Santos. Man United imeachana na...

Recent articles

spot_img