Ads: info@gazetini.co.tz |
22 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Kamati ya Miundombinu yaishauri Serikali kusimamia utekelezaji miradi ya barabara

Na Ramadhan Hassan,Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeishauri Serikali kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi yake yote ili iweze kuakisi viwango bora, uendelevu...

Vipaombele 10 vya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2025-2026

Na Ramadhan Hassan,Dodoma Wizara ya Ujenzi imetaja vipaombele 10 vya mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2025-2026 ikiwemo kuendelea na ujenzi wa barabara za...

Wizara ya Ujenzi yaja na mizani zisizotumia watu

Na Ramadhan Hassan,Dodoma Serikali imepanga kufunga mfumo wa kielektroniki ambao unawezesha magari kupimwa kwenye mizani bila usaidizi wa mtu (operator) Hayo yameelezwa leo bungeni Machi 5,2025...

Aliyempiga mkwara Padri Kitima kabla ya kushambuliwa akamatwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata na kumhoji Frey Edward Cossey ( 51) Mkazi wa Dodoma na...

Yanga yakomaa, yadai haina imani na waongoza soka la ndani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Uongozi wa Klabu ya Yanga umesema hauko yatari kupeleka shauri kwenye Kamati za Mamlaka za soka  ndani  kama iliyoelekezwa na Mahakama...

Nzali Next Level kuendelea kupambania Injili ya Kiswahili Marekani, Flora Mayala kutikisa Dallas

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Mdau maarufu wa burudani nchini mwenye makazi yake nchini Marekani, Lonely Nzali, ameendelea kusapoti muziki wa Injili Afrika Mashariki kupitia majukwaa yake...

Bilioni 23 kuboresha miundombinu hifadhi za Taifa

Na Mwandishi Wetu Wizara ya Maliasili na Utalii, kupitia Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) imetenga fedha kiasi cha Sh 23.18 bilioni  kwa ajili ya...

Serikali yazikubali Tuzo za EAGMA, yaahidi ushirikiano

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali imesema kuwa ipo tayari kushirikiana na waandaaji wa Tuzo za Muziki wa Injili Afrika Mashariki 'East Africa Gospel Awards',(EAGMA) ili...

Wizara ya Madini yaomba kuidhinishiwa Sh 224, kuwawezesha wachimbaji wadogo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ameliomba bunge kuidhinisha makadirio ya bajeti ya jumla ya Sh 224.98 bilioni kwa ajili ya kutekeleza...

Balile awashauri waandishi wa habari wanaoripoti kesi ya Lissu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, ameshauri waandishi wa habari kuwa na alama za utambuzi wakati wa kuripoti...

Rais Samia aongeza kima cha chini cha mshahara, sasa ni Sh 500,000

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan ametangaza kuongeza   kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa...

Yanga bingwa Muungano Cup

Na Mwandishi Wetu Wananchi Yanga wametwaa ubingwa wa Kombe la Muungano 2025 kwa kuifunga JKU bao 1-0 katika michuano iliyomalizika leo Mei 1, 2025 visiwani...

Recent articles

spot_img