28.2 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Wizara ya Madini yaomba kuidhinishiwa Sh 224, kuwawezesha wachimbaji wadogo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ameliomba bunge kuidhinisha makadirio ya bajeti ya jumla ya Sh 224.98 bilioni kwa ajili ya kutekeleza...

Balile awashauri waandishi wa habari wanaoripoti kesi ya Lissu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, ameshauri waandishi wa habari kuwa na alama za utambuzi wakati wa kuripoti...

Rais Samia aongeza kima cha chini cha mshahara, sasa ni Sh 500,000

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan ametangaza kuongeza   kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa...

Yanga bingwa Muungano Cup

Na Mwandishi Wetu Wananchi Yanga wametwaa ubingwa wa Kombe la Muungano 2025 kwa kuifunga JKU bao 1-0 katika michuano iliyomalizika leo Mei 1, 2025 visiwani...

Padri Kitima ajeruhiwa, Polisi yamshikilia mmoja

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemkamata Rauli Mahabi kwa tuhuma za kumjeruhi Katibu Mkuu wa Baraza la...

Msanii Chemical apongezwa kufaulu mtihani wa PhD, rasmi ni Dk Lubao

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mashabiki wa msanii wa muziki wa hip-hop Tanzania, Claudia Lubao maarufu Chemical, wamempongeza msanii huyo kwa kufanikiwa kufaulu mtihani wake wa...

JWTZ yatangaza nafasi kuandikishwa jeshini, yaonya matapeli

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) limetangaza nafasi za kuandikishwa jeshini kwa vijana wa Kitanzania wenye elimu kuanzia Sekondari hadi...

Waziri Chana ateta na Sekretarieti ya mkataba wa Lusaka

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk Pindi Chana, amekutana na kufanya mazungumzo na Sekretarieti ya mkataba wa Lusaka (Lusaka Agreement) kuhusu...

Ofisi ya Makamu wa Rais kutekeleza mradi  mazingira yaliyoathiriwa na maji chumvi Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajia kutekeleza mradi wa kuhimili mabadiliko ya tabianchi katika jamii za Wazanzibari zilizoathiriwa na...

Kisa Simba, mkandarasi  uwanja wa Mkapa ahesabiwa siku

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma 'Mwana FA' amemuagiza mkandarasi anayesimamia ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa...

‘Mawinga’ matapeli mtandaoni kudhibitiwa, serikali yavuna mabilioni kwenye kubeti

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali imekiri kuwepo kwa ujanja ujanja katika biashara ya mtandaoni, hivyo imeanza kuchukua hatua na kupunguza changamoto hiyo kwa kuwa na...

Serikali yafikiria kuwapa posho wazee

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali imesema inaangalia uwezekano wa kuwanusuru wazee kutoka kwenye umasikini kwa kuanza kuwalipa posho kila mwezi endapo hali ya uchumi itaruhusu. Hayo...

Recent articles

spot_img