Ads: info@gazetini.co.tz |
22.7 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Tabu iko pale pale, Yanga kumtambulisha Aziz Ki kesho

Na mwandishi wetu, Gazetini ANAREJEA! Hatimaye klabu ya Yanga inatarajiwa kumtambulisha kiungo raia wa Burkina Faso, Stephanie Azizi Ki, ifikapo kesho Agosti 15, 2026. Kwa miezi...

Sekta za Mageuzi zinazoibeba Dira 2050: Utalii

Na mwandishi wetu, Gazetini Kama ilivyo kilimo, utalii ni sekta nyingine nyeti katika uchumi wa Tanzania. Kwa takwimu halisi, inachangia asilimia 25 ya mapato ya...

Sekta za Mageuzi zinazoibeba Dira 2050: Kilimo

Na mwandishi wetu, Gazetini DIRA 2050 inaanisha vigezo vitano vya kuchagua sekta za mageuzi. Vigezo hivyo vinatokana na umuhimu na mchango ambao umekuwa ukitolewa na...

Vichocheo vya kufikia malengo ya Dira 2050: Mageuzi ya Kidijitali

Na mwandishi wetu, Gazetini MAGEUZI ya Kidijitali ni kichocheo kingine muhimu cha maendeleo katika karne hii ya 21. Kwa maana nyingine, mageuzi ya kidijitali ni...

Vichocheo vya kufikia malengo ya Dira 2050: Utafiti na Maendeleo

Na mwandishi wetu, Gazetini KADRI nchi inavyoendelea, utfiti na maendeleo ni nyenzo muhimu katika kuongeza ubunifu, kutatua changamoto za ndani, na kuongeza tija katika uzalishaji. Vilevile,...

Zidane amvuta Barthez, apewa ajira Ufaransa

PARIS, Ufaransa MLINDA mlango wa zamani wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Fabien Barthez, ameajiriwa kuwa sehemu ya wasaidizi wa kocha mkuu wa...

PSG yazoa bil. 15/- kuifunga Villa

LONDON, Uingereza KWA mujibu wa Gazeti la Daily Mirror, PSG ya kocha Luis Enrique imejiondokea na kitita cha Pauni milioni 4.3 (Zaidi ya Sh bil....

Motsepe aibuka kumkingia kifua Infantino

CAIRO, Misri RAIS wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe, amesema hakuna namna ya kumng'oa Gianni Infantino ndani ya FIFA zaidi ya kusubiri...

Ligi Kuu ya Uturuki msimu ujao ni balaa zito

INSTANBUL, Uturuki KAMA hujawahi kufuatilia Ligi Kuu ya Uturuki, basi hebu jaribu kufanya hivyo msimu ujao (2026-27) kwani kuna uhondo wa 'kufa mtu' kutokana na...

Rekodi iliyoshindikana ulimwengu wa riadha

LONDON, Uingereza KWA miaka 43 sasa, rekodi ya dunia ya mbio ndefu za mita 800 kwa wanawake haijawahi kuvunjwa. Bado inashikiliwa na mwanariadha raia wa...

Hizi ndizo nchi zinazoendeleza hukumu ya kifo

BEIRUT, Lebanon LEBANON imekuwa nchi ya kwanza ya Mashariki ya Kati kufuta sheria ya hukumu ya kifo kwa wafungwa wake. Hatua hiyo ilifikiwa hivi karibuni...

Simba hoi, Yanga ‘yapiga kwenye mshono’ ikibeba Ngao ya Jamii

Na mwandishi wetu, Gazetini  WAKATI maumivu ya kupokonywa Selemani Mwalimu yakiwa hayajapoa, Yanga imeipiga tena Simba kwenye mshono kwa kuifunga bao 1-0 na kutwaa taji...

Recent articles

spot_img