Ads: info@gazetini.co.tz |
22.1 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Macho yote sasa WAFCON 2026

CAIRO, Misri BAADA ya kumalizika kwa fainali za Kombe la Dunia, sasa macho na masikio ya mashabiki ya wapenzi wa soka yataelekezwa katika michuano ya...

Urusi inasiaidia Iran kuitandika Marekani?

WASHINGTON DC, Marekani HIVI karibuni, Katibu Mkuu wa Ikulu ya Marekani, Marco Rubio, alikuwa Manila, Ufilipino, ambako alikutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Wizara...

Matajiri wanapoiomba Serikali iwatoze kodi zaidi

LONDON, Uingereza WAKATI ikiwapo dhana kuwa wafanyabiashara wakubwa wamekuwa na kawaida ya kukwepa kodi za serikali katika nchi zao, kwa Uingereza imekuwa tofauti. Kundi la mamilionea...

Ugonjwa wa Ebola bado kizungumkuti DRC

KINSHASA, DRC WATU zaidi ya 1,000 wameshapoteza maisha ndani ya miezi miwili ya ugonjwa wa Ebola nchini DRC, idadi kubwa zaidi, ikilinganishwa na mlipuko wa...

Pirlo anukia ukocha Italia

MILAN, Italia MKONGWE wa klabu ya AC Milan, Andrea Pirlo, anakaribia kutangazwa kuwa kocha mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Italia. Kwa mujibu wa...

Mkongwe Arsenal apata ulaji Ujerumani

MUNICH, Ujerumani BEKI wa kati wa zamani wa Arsenal, Per Mertesacker, ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Michezo wa Chama cha Soka cha Ujerumani (DFB). Mertesacker mwenye umri...

Chris Brown anukia jela miaka mitatu

LOS ANGELES, Marekani SUPASTAA wa muziki wa R&B, Chris Brown, amekutwa na hatia katika kesi ya kumshambulia mtu kwenye ukumbi wa starehe nyakati za usiku. Brown...

Nini kiliwakutanisha Trump, Rais wa Lebanon?

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Lebanon, Joseph Aoun, alikutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake nchini Marekani, Donald Trump, mapema wiki hii. Ziara ya Rais Aoun...

WAFCON 2026: Nini hatima ya makocha wanawake?

CAIRO, Misri FAINALI za mwaka huu Mataifa Afrika kwa timu za soka za Taifa za Wanawake (WAFCON 2026) zitaanza kutimua vumbi Julai 26, 2026. Timu 16...

Vijana na tatizo la ajira duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini TATIZO la ajira kwa vijana limeendelea kuzalisha maandamano katika nchi mbalimbali duniani, safari hii India ikichukua nafasi. Hamasa ya vijana wa Chama...

Nyota zao zimewaka kupitia Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza KABLA ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026), hawakuwa na majina makubwa, lakini sasa wanawindwa na klabu kubwa...

Meneja wa muziki ataka kujiua

LAGOS, Nigeria MENEJA maarufu wa wasanii wa muziki nchini Nigeria, Ubi Franklin, amefichua kuwa aliwahi kukaribia kujiua kwa kujirusha darajani jijini Lagos. Franklin ameanika hayo kupitia...

Recent articles

spot_img