25.9 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Ripoti ya CAG yaibua mazito ujenzi wa uwanja wa AFCON Arusha

Na Mwandishi Wetu RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere imeanika mapungufu katika mchakato wa ununuzi na ujenzi wa...

Deni la Serikali lafikia trilioni 110

Na Mwandishi Wetu MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema deni la Serikali limeongezeka na kufikia sh.  trilioni 110, hali...

Mhasibu afikishwa Kisutu kwa mashtaka 43 ya uhujumu uchumi

Na Imani Nathaniel, Dar es Salaam Mhasibu Hamid Ahmed Hussein, mkazi wa Ocean Road jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

Ugonjwa unaomtesa Lil Wayne

NEW YORK, Marekani TAHARUKI imezuka juu ya hali ya afya ya rapa maarufu wa Marekani, Lil Wayne, ambaye inaelezwa kuwa staa huyo hayuko sawa. Hivi karibuni,...

United watajiwa dau la Guimaraes

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United italazimika kuweka mezani kitita cha Pauni milioni 60.5 ili kukamilisha usajili wa kiungo wa Newcastle United, Bruno Guimaraes. Man United...

Enzo atamani kutimkia Real Madrid

LONDON, Uingereza KIUNGO wa Chelsea, Enzo Fernandez, inaelezwa kuwa ni ndoto yake kubwa kujiunga na vigogo wa Ligi Kuu ya Hispania (La Liga), Real Madrid. Taarifa...

Barcelona yawatega Bastoni, Alvarez

CATALUNYA, Hispania BARCELONA imewaweka kwenye rada zake mastaa wakubwa wawili, beki Alessandro Bastoni na mshambuliaji Julian Alvarez. Bastoni wa Inter Milan anatakiwa kwenda kuziba pengo la...

Zidane na mzigo wa kuinoa Ufaransa

PARIS, Ufaransa INAELEZWA kuwa Zinedine Zidane 'Zizou' amefikia makubaliano ya kuinoa timu ya taifa ya Ufaransa na ataanza kazi hiyo baada ya fainali za Kombe...

Unaweka pesa benki ili ‘utoboe’? Soma hapa

Na Benjamin Madaha WAFANYABIASHARA, waajiriwa na vijana wanaojitafuta - kuna ukweli mgumu kidogo kwenye elimu ya fedha ambao watu wengi hawafundishwi. Akaunti yako ya kuhifadhi...

Kama Senegal, timu hizi nazo zilipokonywa ubingwa

LONDON, Uingereza HABARI kubwa iliyotikisa soka la Afrika ni timu ya taifa ya Senegal kuvuliwa ubingwa wa fainali za AFCON zilizomalizika miezi michache iliyopita. Na badala...

Pete Hegseth: Mtaalamu wa vita anayempa jeuri Donald Trump

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA sasa ndiye 'Katibu wa Vita', jina ambalo amepewa na Rais Donald Trump. Kiuhalisia, Pete Hegseth ni Katibu wa Wizara ya...

HaloPesa yawawezesha mahitaji ya Sikukuu wakazi wa Visiga

Na Iman Nathaniel, Gazetini KUELEKEA sikukuu ya Eid El Fitr, Kampuni ya Halotel kupitia HaloPesa imetoa msaada wa mahitaji muhimu kwa familia zaidi ya 60...

Recent articles

spot_img