25.9 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Tanzania yajipanga kuandika historia mpya duniani, wenyeji Miss World 2027

Na Winfrida Mtoi TANZANIA imethibishwa rasmi kuwa mwenyeji wa mashindano makubwa la urembo duniani ‘Miss World 2027’, huku Serikali ikisema imejipanga kuhakikisha linafanyika kwa mtindo...

Simbu ang’ara tena Boston Marathon, ashika nafasi ya pili

Na Mwandishi Wetu Mwanariadha nyota wa Tanzania, Sajinitaji Alphonce Simbu, ameendelea kufanya vizuri Boston Marathon baada ya kushika nafasi ya pili kwa mwaka wa pili...

Latra yatangaza nauli mpya za mabasi, daladala

Na Mwandishi Wetu, GazetiniMamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imetoa bei mpya za nauli kwa mabasi yanayofanya safari za mikoani, mabasi ya mijini (daladala),...

Watoto wang’ara mashindano ya kuogelea, Serikali yaahidi makubwa

Na Winfrida Mtoi ​MASHINDANO ya kuogelea kwa watoto ya ‘East Africa Development Swimming Gala’ yameanza kwa kishindo leo jijini Dar es Salaam, huku vipaji vilivyoonyeshwa...

Waziri Mkuu ahimiza ufungaji wa kamera  viwanjani kudhibiti ushirikina

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu, Dk.Mwigulu Nchemba, amehimiza ufungaji wa kamera nyingi katika viwanja vya michezo, ikiwamo uwanja Arusha ili kudhibiti vitendo vya ushirikina na...

Simba yapewa kina Chobwedo, Yanga maafande robo fainali shirikisho

Na Mwandishi Wetu DROO ya hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho, imefanyika leo Aprili 17, 2026, jijini Dar es Salaam, ambapo...

Kocha Bilo afariki dunia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MMILIKI wa Kituo cha Soka cha Bilo Jijini Mwanza, Kocha Athuman Bilal ambaye pia amewaki kuwa kocha wa timu mbalimbali nchini,...

Chipukizi wa kuogelea kushindana ‘ East Africa Development Swimming Gala’

Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya waogeleji 600 wanatarajiwa kushiriki katika mashindano ya kuogelea ya chipukizi kwa vijana wadogo ‘East Africa Development Swimming Gala’ yatakayoanza Aprili...

Simba yaipasua Fountain Gate

Na Mwandishi Wetu SIMBA imechukua alama zote tatu kwa Fountain Gate kufuatia ushindi wa 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa dimba la...

Simba yamtupia Sowah  U-20 kwa utovu wa nidhamu

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Uongozi wa Klabu ya Simba umeweka wazi hatua kali za kinidhamu zilizochukuliwa dhidi ya mshambuliaji wao, Jonathan Sowah, ikiwemo kuondolewa kwenye...

Mchezaji auawa na majambazi kwa risasi nchini Ghana

MCHEZAJI nchini Ghana, Dominic Frimpong, ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya jana Jumapili usiku  na majambazi wenye silaha kushambulia basi la timu yake ya...

Taliss IST yaendeleza ubabe Mashindano ya Taifa ya Kuogelea, nahodha afichua siri

Na Winfrida Mtoi, Gazetini KLABU ya Taliss IST imezidi kujikita kileleni mwa mchezo wa kuogelea nchini baada ya kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Mashindano ya Taifa...

Recent articles

spot_img