24.7 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Taifa Stars yakabidhiwa bendera tayari kwa AFCON 2025

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, ameiaga rasmi na kuikabidhi bendera timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa...

Sowah, Kante matatani, Aucho naye yumo

Na Winfrida Mtoi, Gazetini NYOTA wa Simba Jonathan Sowah na Allasane Kante wamefungiwa michezo mitano na faini ya Sh 1,000,000 kila mmoja kwa kosa la...

Dk. Mwigulu: Tutamuenzi kwa vitendo marehemu Jenista

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itayaendeleza mambo yote mema yaliyofanywa na aliyekuwa mbunge wa Peramiho mkoani Ruvuma, marehemu Jenista Mhagama...

Bokya: Tyson wa Bongo ataomba maji ulingoni

Na Winfrida Mtoi, Gazetini BONDIA Ismail Khalid maarufu Boyka ametamba kutoa kipigo kikali kwa mpinza wake Hassan Ndonga ‘Tyson Wa Bongo’  hadi  aombe maji ulingoni. Bokya...

Jenista kuzikwa Desemba 16

Na Mwandishi Wetu MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama unatarajiwa kuzikwa Jumanne ya Desemba 16, 2025 katika Kijiji cha Ruanda, Mbinga mkoani...

Jeshi la Polisi lathibitisha kumshikilia Waziri wa zamani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha  kuwa  linamshikilia Waziri wa zamani, Geoffrey Mwambe, kwa tuhuma za  jinai...

Jenista Mhagama afariki dunia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini ALIYEKUWA Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Jenista Mhagama (58) amefariki dunia leo Disemba 11, 2025 jijini Dodoma. Kwa...

Jeshi la Polisi laonya wanaondelea kuhamasisha maandamano

Na Mwandishi Wetu, Gazetini JESHI la Polisi nchini limesema  kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama  litaendelea kuimarisha hali ya usalama nchini na kulinda...

Rais Samia azungumza na Kaimu Balozi wa Marekani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini RAIS  Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andrew Lentz, wakijikita katika  kudumisha ushirikiano wa...

Waziri Simbachawene  aagiza Jeshi la Polisi  kukamata watuhumiwa kwa staha

Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amemuagiza  Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Camillus Wambura kuhakikisha ukamataji wa watuhumiwa unafanywa kwa kufuata...

Yanga, Azam FC zachekelea, Simba akifa kwa Mkapa

Na Winfrida Mtoi, Gazetini LIGI Kuu Tanzania Bara imeendelea leo Novemba 7, 2025 kwa michezo miwili kupigwa ambapo Yanga na Azam zimefanikiwa kuondoka na alama...

Mnyama achezea kichapo kingine Ligi ya Mabingwa Afrika

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SIMBA imepoteza mchezo wa pili wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kufungwa na Stade Malien ugenini nchini Mali. Mchezo...

Recent articles

spot_img