Ads: info@gazetini.co.tz |
22.2 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Gaza katikati ya matumani, giza la hofu

JERUSALEM, Palestina KAULI ya Rais Donald Trump kwamba kundi la Hamas limekubali kuweka silaha chini limeibua matumaini kwa wananchi wa Palestina kuanza kuishi maisha ya...

Kwanini Venezuela imejitoa ICC?

CARACAS, Venezuela SIKU chache zilizopita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela, Felix Plasencia, alitangaza uamuzi wa nchi hiyo kuondosha uanachama wake katika Mahakama ya...

Hiki ndicho chanzo cha guvu ya waasi Nigeria?

LAGOS, Nigeria KWA miaka mingi sasa, Nigeria imegubikwa na matukio ya uhalifu katika maeneo yake mengi. Watu takribani 3,000 wametekwa kwa kipindi cha mwaka mmoja...

Simulizi ya mateso ya utawala wa kijeshi kutoka Myanmar

NAYPYIDAWA, Myanmar KWA wananchi wa Myanmar, siasa zinawapitisha katika ukurasa mpya uliojaa machungu ya kukimbia nyumba na familia zao ili kujinusuru na utawala wa kijeshi...

Marekani, Iran kukaa tena mezani

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema wanatarajia kukaa mezani na viongozi wa Iran kujadili mustakabali wa vita vyao vilivyoanza Febrauri 28, 2026. Kwa...

Wawili wafariki ajali ya helikopta

ATHENS, Ugiriki AJALI ya helikopta mbili za kukabiliana na majanga ya moto zilizogongana nchini Ugiriki imesababisha vifo vya wafanyakazi wake wawili. Katika ajali hiyo iliyotokea wakati...

Wales yatangaza kutokumtambua Infantino

CARDIFF, Wales WALES imekuwa nchi ya kwanza kutangaza kutokumuunga mkono Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, katika mpango wake wa kuwania...

Liverpool yamaliza vibaya ‘pre-season’

CHICAGO, Marekani LIVERPOOL chini ya kocha mpya, Andoni Iraola, imetandikwa mabao 4-2 na Leeds United katika mchezo wao wa mwisho wa maandalizi ya msimu ujao...

Semenyo amvulia kofia Enzo Maresca

MANCHESTER, Uingereza MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Antoine Semenyo, amesifia aina ya uchezaji wa timu hiyo chini ya kocha mpya raia wa Italia, Enzo Maresca. Semenyo ametoa...

Kocha atimka Man United kisa ‘ubahili’ sokoni

MANCHESTER, Uingereza PIGO zito! Kocha wa timu ya soka ya wanawake ya klabu ya Manchester United, Marc Skinner, amejiuzulu, zikiwa zimebaki wiki chache kabla ya...

Infantino kung’oka FIFA, nani kuchukua nafasi yake?

NYON, Uswis MAMBO hayuko vizuri kwa Rais Gianni Infantino. Ameachana na mpango wake wa kuuza hisa za michuano ya FIFA, ikiwamo Kombe la Dunia, baada...

Penzi la ujana hadi ndoa; kapo za mastaa zilizodumu miaka mingi

LOS ANGELES, Marekani KUDUMU muda mrefu kwenye mahusiano ya kimapenzi au hata ndoa si jambo rahisi, hasa unapokuwa na jina na mafanikio makubwa. Mastaa wengi...

Recent articles

spot_img