LIBREVILLE, Gabon
SERIKALI ya Gabon imetangaza kuvunja benchi la ufundi la timu ya soka ya taifa, ikiwa ni pamoja pia na kumtimua kikosini mshambuliaji wake,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HATIMAYE miezi 12 ya mwaka 2025 imetamatika. Mwaka huu, 2026, una matukio mengi ya kusubiriwa kwa hamu na wapenzi wa michezo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HAKIKA ulikuwa ni mwaka wa kashikashi nyingi katika uga wa siasa barani Afrika. Ndiyo, ni mwaka 2025.Ni yapi matukio yaliyoacha alama...
TAIPEI, Taiwan
KATIKA salamu zake za Mwaka Mpya wa 2026, Rais wa Taiwan, Lai Ching-te, amejiapiza kuilinda nchi yake dhidi ya uvamizi wa China.
China imekuwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
YAMEKUWAPO maandamano makubwa nchini Iran, ikikumbukwa kuwa yalianza Desemba 28, 2025 mjini Tehran. Wachambuzi wa siasa wanayataja maandamano hayo kuwa makubwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
LEO ni Januari Mosi, 2026, tukiwa na miezi 12 ya kuhesabu ili kuumaliza mwaka huu. Mwaka 2025 umekwenda zake. Hata hivyo,...
BAMAKO, Mali
KAMA ambavyo Marekani iliweka marufuku kwa raia wa Mali na Burkina Faso kuingia nchini humo, mataifa hayo nayo yamejibu mapigo.
Mali na Burkina Faso...
HONG KONG, China
BINTI wa bilionea Jimmy Lai amesema baba yake anayesota gerezani anakabiliwa na changamoto kubwa ya kiafya, ikiwamo kung'oka meno na kucha.
Lai mwenye...
MOSCOW, Urusi
UMOJA wa Ulaya (EU) umekanusha madai ya Urusi iliyolalamikia ofisi zake za umma kushambuliwa na vikosi vya Ukraine.
Kwa mujibu wa mwanadiplomasia mwandamizi wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
JENERALI wa jeshi, Mamady Doumbouya, ametangazwa kuwa mshindi wa kinyang'anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni nchini Guinea.
Kwa mujibu...