27.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

AFCON yamponza Aubameyang, Serikali yamtimua

LIBREVILLE, Gabon SERIKALI ya Gabon imetangaza kuvunja benchi la ufundi la timu ya soka ya taifa, ikiwa ni pamoja pia na kumtimua kikosini mshambuliaji wake,...

Yatakayojiri ulimwengu wa michezo 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE miezi 12 ya mwaka 2025 imetamatika. Mwaka huu, 2026, una matukio mengi ya kusubiriwa kwa hamu na wapenzi wa michezo...

Matukio muhimu siasa za Afrika 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini HAKIKA ulikuwa ni mwaka wa kashikashi nyingi katika uga wa siasa barani Afrika. Ndiyo, ni mwaka 2025.Ni yapi matukio yaliyoacha alama...

Rais Taiwan aitangazia vita China

TAIPEI, Taiwan KATIKA salamu zake za Mwaka Mpya wa 2026, Rais wa Taiwan, Lai Ching-te, amejiapiza kuilinda nchi yake dhidi ya uvamizi wa China. China imekuwa...

Uganda yaacha historia AFCON 2025

RABAT, Morocco ACHANA na kichapo cha mabao 3-1 kutoka kwa Nigeria jana Desemba 31, 2025. Pia, sahau kuhusu kuishia hatua ya makundi ya fainali za...

Nini kiko nyuma ya pazia maandamano Iran?

Na mwandishi wetu, Gazetini YAMEKUWAPO maandamano makubwa nchini Iran, ikikumbukwa kuwa yalianza Desemba 28, 2025 mjini Tehran. Wachambuzi wa siasa wanayataja maandamano hayo kuwa makubwa...

Yaliyobamba ulimwengu wa soka 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini LEO ni Januari Mosi, 2026, tukiwa na miezi 12 ya kuhesabu ili kuumaliza mwaka huu. Mwaka 2025 umekwenda zake. Hata hivyo,...

Mali, Burkina Faso ‘zaivimbia’ Marekani

BAMAKO, Mali KAMA ambavyo Marekani iliweka marufuku kwa raia wa Mali na Burkina Faso kuingia nchini humo, mataifa hayo nayo yamejibu mapigo. Mali na Burkina Faso...

Bilionea atajwa kung’oka meno, kucha gerezani

HONG KONG, China BINTI wa bilionea Jimmy Lai amesema baba yake anayesota gerezani anakabiliwa na changamoto kubwa ya kiafya, ikiwamo kung'oka meno na kucha. Lai mwenye...

EU wakanusha Ukraine kuishambulia Urusi

MOSCOW, Urusi UMOJA wa Ulaya (EU) umekanusha madai ya Urusi iliyolalamikia ofisi zake za umma kushambuliwa na vikosi vya Ukraine. Kwa mujibu wa mwanadiplomasia mwandamizi wa...

Stars kumaliza ‘uteja’ kwa Morocco?

Na mwandishi wetu, Gazetini NI JUMAPILI ya wiki hii, Januari 4, 2025. Taifa Stars itakapoumana na Morocco katika mchezo wa hatua ya 16 Bora ya...

Kiongozi wa jeshi atangazwa rais mpya Guinea

Na mwandishi wetu, Gazetini JENERALI wa jeshi, Mamady Doumbouya, ametangazwa kuwa mshindi wa kinyang'anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni nchini Guinea. Kwa mujibu...