30.4 C
Dar es Salaam

Africa

Ebola yarejea DRC, yaua watu 15

KINSHASA, DRCSERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imetangaza maambukizi mapya ya Ebola na vifo 15 vitokanavyo na ugonjwa huo.Ikumbukwe, hizi ni taarifa...

Mwelekeo wa makoloni ya Ufaransa barani Afrika

Na mwandishi wetu, GazetiniMIAKA 65 iliyopita, mataifa 14 ya Afrika yalipata uhuru kutoka kwa Ufaransa. Je, ni kwa kiasi gani yamepiga hatua tangu mwaka...

Mechi nne tu zafukuzisha kocha Al Ahly

CAIRO, MisriUONGOZI wa klabu ya Al Ahly umemfuta kazi kocha wake raia wa Hispania, Jose Riveiro, ikiwa ni baada ya mechi nne tu za...

M23 kugomea mkataba wa amani; DRC hatarini zaidi?

Na mwandishi wetu, GazetiniHATUA ya wawakilishi wa M23 kutohudhuria mkutano wa kusaini mkataba wa amani kati yake na Serikali umeibua hofu, wengi wakiamini bado...

Waasi 35 wauawa shambulizi la anga Nigeria

LAGOS, Nigeria JESHI la Nigeria limedai kuua wapiganaji 35 wa moja ya vikundi vya waasi baada ya kufanya shambulizi la anga jirani na mpaka wa...

Nini chanzo ajali za ndege Afrika?

Na mwandishi wetu, GazetiniMIEZI ya hivi karibuni imeshuhudia ajali za ndege zikitisa na kuacha majonzi barani Afrika, ikitosha kutolewa mfano katika mataifa ya Ghana...

Jeshi Mali na jaribio la kupindua Serikali

BAMAKO, Mali HALI ya taharuki imeibuka nchini Mali baada ya wanajeshi takarbani 50 kushikiliwa kwa madai ya kusuka mpango wa kuipindua Serikali inayoliongoza Taifa hilo...

ADF tishio jipya la ugaidi Afrika Mashariki?

KINSHASA, DRCWIKI iliyopita, watu wenye silaha walioripotiwa kuwa ni wapiganaji wa Kundi la The Allied Democratic Forces (ADF) walivamia kanisa mjini Komanda, Jamhuri ya...

Urafiki wa wanasiasa, waganga wa kienyeji

KAMPALA, Uganda ACHANA na vurugu, wizi wa kura na hata 'figisu' zingine. Kwa miaka mingi, huenda taswira nyingine kubwa zaidi ya siasa za Afrika ni...

Rais wa zamani Zambia, Edgar Lungu afariki dunia

Na Mwandishi Wetu Rais   wa  zamani  wa Zambia, Edgar Lungu, amefariki dunia  akiwa na umri wa miaka 65 baada ya kuugua kwa muda mfupi.  Lungu amefariki akita latina matibabumaalum kwenye...

Mjumbe Maalum wa Rais Samia, Jakaya Kikwete akutana na Rais wa Burkina Faso

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, amehitimisha...

Chart: Nchi 10 barani Afrika zinazokumbwa zaidi na ugaidi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kwa mujibu wa ripoti ya GTI ya 2025 iliyochapishwa na Taasisi ya Uchumi na Amani, ukanda wa Sahel umeendelea kuwa kitovu...

Recent articles

spot_img