Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

Africa

Life for Relief and Development Calls for Support for Victims of Wars

As the scope of humanitarian crises continues to expand worldwide, World Humanitarian Day serves as a reminder that behind the statistics of wars and...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti na udikteta wake (10)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya tisa, tuliishia pale bi. Madina alipomuomba Yoweri Museveni amruhusu Idi Amin kurudi Uganda. Rais huyo akasema ‘Idi Amin...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti na udikteta wake (9)

Na mwandishi wetu, Gazetini “KAMA hamtaki kupigana, nitapigana peke yangu.” Ni kauli aliyoitoa Idi Amin kuwaambia wanajeshi wake waliomfuta Machi, 1997, wakimuomba ajiuzulu baada ya...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti na udikteta wake (8)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya saba, tuliona namna Idi Amin alivyoagiza Wakenya waliokuwa wakiishi Uganda kuuawa, akiamini nchi hiyo jirani iliwasaidia makomandoo wa...

Chuki dhidi ya wageni; ‘Wasauzi’ wanawafundisha nini viongozi Afrika?

Na Hassan Mwasha, Gazetini RAIA wa kigeni zaidi ya 17,600 wameondoka Afrika Kusini tangu Aprili, 2026 kutokana na vurugu walizofanyiwa na wenyeji wao. ‘Wasauzi’ hawataki...

Utata wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu Zambia

LUSAKA, Zambia KIONGOZI wa siasa za upinzani nchini Zambia kupitia Chama cha National Reconciliation Party for Unity, Brian Mundubile, ameyapinga matokeo yaliyomrejesha madarakani Rais Hakainde...

Bibi wa miaka 101 akamatwa kwa kuuza bangi

LAGOS, Nigeria KIKONGWE mwenye umri wa miaka 101, bi. Esther Ogunmabo, anashikiliwa na polisini nchini Nigeria kwa kosa la kuuza dawa za kulevya aina ya...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti, na udikteta wake (7)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu iliyopita, tuliona Israel, Uingereza na hata India zikisitisha mahusiano ya kidiplomasia na Uganda ya Idi Amin, huku Libya, Umoja...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti, na udikteta wake (6)

Na mwandishi wetu, Gazetini TULIISHIA wapi? Katika sehemu ya tano ya makala haya, tuliishia tukio la Juni 25, 1976, ambapo Baraza la Ulinzi la Uganda...

ANC imepoteza ushawishi siasa za Afrika Kusini?

Na mwandishi wetu, Gazetini VURUGU na chuki dhidi ya wageni zina uhusiano wa moja kwa moja na maisha magumu walionao wananchi wa Afrika Kusini katika...

Chama tawala kilichogeukia siasa za upinzani

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKATI fulani, Peoples Democratic Party (PDP) kilikuwa Chama tawala nchini Nigeria. Chama kikongwe kilichoasisiwa mwaka 1998. Kwa miaka 16, kabla ya kuangushwa...

Rais Bola Tinubu kurudi madarakani?

LAGOS, Nigeria KAMPENI kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Januari, 2027, zilianza wiki hii nchini Nigeria. Rais aliyeingia madarakani mwaka 2023, Bola Tinubu, anagombea muhula wake wa...

Recent articles