Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA sehemu iliyopita, tuliona Israel, Uingereza na hata India zikisitisha mahusiano ya kidiplomasia na Uganda ya Idi Amin, huku Libya, Umoja...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TULIISHIA wapi? Katika sehemu ya tano ya makala haya, tuliishia tukio la Juni 25, 1976, ambapo Baraza la Ulinzi la Uganda...
Na mwandishi wetu, Gazetini
VURUGU na chuki dhidi ya wageni zina uhusiano wa moja kwa moja na maisha magumu walionao wananchi wa Afrika Kusini katika...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAKATI fulani, Peoples Democratic Party (PDP) kilikuwa Chama tawala nchini Nigeria. Chama kikongwe kilichoasisiwa mwaka 1998.
Kwa miaka 16, kabla ya kuangushwa...
LAGOS, Nigeria
KAMPENI kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Januari, 2027, zilianza wiki hii nchini Nigeria. Rais aliyeingia madarakani mwaka 2023, Bola Tinubu, anagombea muhula wake wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA sehemu iliyopita, aliyekuwa Waziri wa Afya katika uongozi wa Idi Amin, Henry Kyemba, alisimulia kupitia Kitabu chake cha 'State of...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA sehemu ya tatu ya mfululizo wa makala haya, tuliona namna Idi Amin akiwa Mkuu wa Majeshi alivyopindua Serikali ya Rais...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HISTORIA inakumbusha, kwamba kwa amri ya Obote, Idi Amin aliongoza jeshi kuvamia makazi ya Kabaka, vurugu zilizosababisha vifo vya raia zaidi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA siasa za Afrika na dunia kwa ujumla, Idi Amin ni mfano mzuri wa marais walioamua kuipuuza misingi ya demokrasia na...
RABAT, Morocco
MSIMU huu wa fainali za Mataifa ya Afrika kwa soka la Wanawake utafikia ukomo Jumapili hii, yaani Agosti 16, 2026. Michuano hiyo inafanyika...