Ads: info@gazetini.co.tz |
28.8 C
Dar es Salaam

World CUP

Huyu hapa refa wa fainali Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani  ANAITWA Slavko Vincic, mwamuzi wa kati aliyeteuliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kucheza mechi ya fainali msimu huu wa Kombe la...

Mechi 10 za kiume Kombe la Dunia 2026

BOSTON, Marekani MSIMU huu wa Kombe la Dunia unaelekea ukingoni. Fainali itachezwa kesho Jumapili, Julai 19, 2026, katika Uwanja wa MetLife nchini Marekani, ikizikutanisha Argentina...

Mwandishi mkongwe zaidi Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani AKIWA na umri wa miaka 91 kwa sasa, Enrique Macaya Marquez ni miongoni mwa waandishi wa habari walioko Marekani wakisubiri kuripoti mechi ya...

England ya makocha 15 ‘haijatoboa’ Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani  LICHA ya matumaini makubwa waliyokuwa nayo, mashabiki wa timu ya soka ya Taifa ya England wamelikosa tena taji la fainali za Kombe la...

Argentina v Hispania: Messi dhidi ya kivuli cha Yamal

MIAMI, Marekani JUMAPILI ya wiki hii, Julai 19, 2026, nyasi za Uwanja wa MetLife nchini Marekani zitawaka moto kwa mchezo wa fainali ya msimu huu...

Messi anacheka kwa dharau, atuma ujumbe

MIAMI, Marekani  NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi, amezipuuza taarifa zinazodai kuwa wanabebwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Messi...

Ibrahimovic aanika kilichoiua England kwa Argentina

MIAMI, Marekani LEJENDARI wa soka, Zlatan Ibrahimovic, ameibuka baada ya timu ya soka ya Taifa ya England kufungwa mabao 2-1 na Argentina katika mchezo wa usiku...

Porro: Kufuzu fainali ni ndoto iliyotimia

NEW YORK, Marekani BEKI wa Hispania na mchezaji bora wa mechi, Pedro Porro, amesema kufuzu kwa timu yake fainali ni ndoto aliyokuwa akiisubiri kwa muda...

Ufaransa v Hispania: Nusu fainali ya heshima Kombe la Dunia 2026

TEXAS, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Ufaransa itamenyana na Hispania katika mchezo wa nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Mechi...

Vigogo walioangukia pua Kombe la Dunia 2026

BOSTON, Marekani NI timu nne pekee zilizobaki katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026). Kwamba timu 44 zimeshaaga mashindano hayo ya Shirikisho...

Kizazi cha dhahabu kilivyoifelisha Ubelgiji Kombe la Dunia

BOSTON, Marekani KICHAPO cha mabao 2-1 kutoka kwa Hispania katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Dunia kilihitimisha safari ya 'kizazi cha dhahabu' cha...

Argentina v England: Nusu fainali ya chuki, kisasi

LONDON, Uingereza NANI kutinga fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia katika mchezo huo wa Julai 15, 2026? Ni Argentina ya Lionel Messi au...

Recent articles