Ads: info@gazetini.co.tz |
23.4 C
Dar es Salaam

World CUP

32 Bora: Morocco kuendeleza ‘uteja’ kwa Uholanzi?

TORONTO, Canada NI mtihani kwa timu zote mbili katika kuwania tiketi ya kwenda hatua inayofuata ya 16 Bora ya msimu huu wa fainali za Kombe...

32 Bora: Paraguay siyo kinyonge kwa Ujerumani

MEXICO CITY, Ujerumani ZITAKUTANA katika mchezo wa hatua ya 32 Bora msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Mechi itachezwa keshokutwa (Juni 29, 2026). Licha...

Japan kuishangaza Brazil hatua ya 32 Bora?

HOUSTON, Marekani MECHI ya kukata na shoka ya kusaka tiketi ya kutinga 16 Bora itakayochezwa Juni 29, 2026 kwenye Uwanja wa NRG mjini Houston, Marekani. Huo...

Mastaa wa muziki, filamu walivyoibukia Kombe la Dunia 2026

CALIFORNIA, Marekani KWA miaka mingi, soka limekuwa likiwaunganisha si tu wachezaji, bali pia mastaa wa tasnia ya burudani, kama ilivyoshuhudiwa wakati wa ufunguzi wa msimu...

Hii ndiyo Bosnia ya Edin Dzeko inayotamba Kombe la Dunia

TORONTO, Canada BOSNIA and Herzegovina ni miongoni mwa timu zilizokata tiketi ya kucheza hatua inayofuata ya 32 Bora ya fainali za Kombe la Dunia za...

Mastaa hawa wameyakataa mataifa waliyozaliwa Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeshuhudia idadi kubwa zaidi kuwahi kutokea ya wachezaji walioyapa kisogo mataifa waliyozaliwa. Takwimu zinaonesha...

Shearer apanga kikosi cha ubingwa England

LONDON, Uingereza MKONGWE Alan Shearer ametaja 'first eleven' inayoweza kuipa ubingwa wa msimu wa Kombe la Dunia timu ya soka ya Taifa ya England. England chini...

Uholanzi kuivaa Morocco, Brazil mikononi mwa Japan

MEXICO CITY, Mexico KATIKA hatua ya 32 Bora ya msimu huu wa Kombe la Dunia, timu ya soka ya Taifa ya Uholanzi itakuwa na kibarua...

Hizi hapa zilizoaga Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY, Mexico JUMLA ya timu 10 zimeshaaga michuano ya msimu huu wa Kombe la Dunia baada ya Curacao kutolewa kwa kichapo cha mabao 2-0...

Huyu ndiye Mourinho, atoa kauli tata Kombe la Dunia

MADRID, Hispania KAMA kawaida yake. Kocha Jose Mourinho ni mtu wa kauli zenye utata, kama ambayo ameitoa safari hii juu ya fainali za Kombe la...

Morocco, Brazil zatinga hatua ya 32 bora, Qatar yaaga

SEATTLE, Marekani MOROCCO imefuzu hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Haiti katika...

Matukio ya kusisimua Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY, Mexico UHONDO wa mechi za fainali za Kombe la Dunia unaendelea huko Marekani, Mexico na Canada, huku yakijitokeza matukio kadhaa yaligusa hisia za...

Recent articles